Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Yani hapo ndiyo kiasi chenyewe, zaidi ya hapo utanitaka nisiandike kitu.Kuwa na kiasi mkuu.....
Wewe unajua Kiswahili au unakurupuka tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani hapo ndiyo kiasi chenyewe, zaidi ya hapo utanitaka nisiandike kitu.Kuwa na kiasi mkuu.....
Hahahhaahhaaahahahhaaha aisee ww jamaa unahitajika kulee vunja mbavuJamaa alikuwa na uwezo wa kuvamia birthday ya mtoto halafu akachukua mic watu wamuone yeye wamuimbie yeye happy birthday.
Yani mpaka kanisani alikuwa anashindwa kujizuia nyege zake za mic!
Magufuli ni rais aliyeitukanisha Tanzania kuliko rais mwingine yeyote, bisha twende blow by blow kwa data hapa.Watanzania baadhi mna shida sana.Hata siku moja hamuwezi kuridhika hata ashuke malaika kuongoza nchi.Tulilia sana taifa lilipotea kwa ufisadi na ukosefu wa uzalendo akaja kiongozi shupavu aliyeziba mianya yote ya rushwa na kirudisha nidhamu ya utumishi wa uma na kuukarabati uchumi mpaka kufikia kati lakini bado kuna wapuuzi wachache kama nyie ambao mpo tu kupotosha watu.Inasikitisha
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Angekuwa ni Kayafa angeshajitokeza hadharani kueleza kuwa alitakiwa anyonge watu, ila kutokana na ucha-Mungu wake amewasamehe! Ili Apate sifa
Ufisadi ulio fanywa na mwendazake ndani ya miaka yake mitano ya Utawala ulikuwa Ni mkubwa maradufu ya ufisadi ulio fanyika kuanzia wakati wa nyerere Hadi jk..Watanzania baadhi mna shida sana.Hata siku moja hamuwezi kuridhika hata ashuke malaika kuongoza nchi.Tulilia sana taifa lilipotea kwa ufisadi na ukosefu wa uzalendo akaja kiongozi shupavu aliyeziba mianya yote ya rushwa na kirudisha nidhamu ya utumishi wa uma na kuukarabati uchumi mpaka kufikia kati lakini bado kuna wapuuzi wachache kama nyie ambao mpo tu kupotosha watu.Inasikitisha
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Mkuu upo sahihi. Kuna watu wanateseka sana na kesi ambazo hata hazieleweki. Alichofanya mama ni sawa ila wajaribu kuwafikiria na hili kundi la "upelelezi haujakamilka" na bado wapo ndani na hata dhamana wamenyimwa huku familia zao zikiumia bila sababu. Wengine kesi zinacheleweshwa hadi kero ila wape pesa tu uone kesi yako itavyowaishwa.Tunawaachia wafungwa mahabusu wanabaki ambao hawafanyi kazi, si mora tungewaachia mahabusu tukaacha wafungwa, wapo mahabusu wamekaa jela miaka mitano na zaidi unakuja achia mfungwa aalliyebakiza wiki mbili. Ifike wakati sasa tufikirie kuwaachia mahabusu ambao hata upelelezi haueleki wanasota tu jela kisa umasikini wao au kukomoana tu.
Commissioner of prison, nilitakiwa ninyonge wangapi, in mwendazake voice...Angekuwa ni Kayafa angeshajitokeza hadharani kueleza kuwa alitakiwa anyonge watu, ila kutokana na ucha-Mungu wake amewasamehe! Ili Apate sifa
Babu Jinga lilijiona liko so special haliwezi kupata madhara.Kinachowafanya watu washangae ni jinsi ambavyo alikuwa anajiachia free bila kuchukuwa tahadhari ya corona wakati anajua kuwa ana tatizo la moyo. Ulisikia ile hotuba yake kanisani siku ya mwisho kuonekana kanisani? Alikuwa anawaulaumu wazi wazi watu wanaosema tuchukuwe tahadhari ya corona. Tena akaenda mbali zaidi na kusema wale walinzi wake hajui hata jana walilala kwenye mazingira gani lakini hilo halimpi shida. Viongozi wa kanisa walipotangaza mapadri wao wamekufa hivyo waumini wachukue tahadhari yeye aliingilia kuwalaumu. Jamaa alikuwa na tatizo kubwa sana la akili si bure.
Nimeona post nikajibu.Sasa mbona unamuwaza hadi unaota?
Hata mkigegedewa wake zenu kwa ujinga wenu mtasingizia Magufuli.
Mataahira kabisa nyie
Wewe mpaka nikwambie nilimbikiri Bibi yako mzaa mama ndiyo utaleta heshima hapa?
Nyerere alikuwa anaenda kanisani kusali kila siku.
Kila siku alivyokuwa Dar, alikuwa anasimama kanisa la St. Peters Oysterbay, akiwa njiani kutoka Msasani kwenda Ikulu.
Huyu Mzee alikuwa si Mkristo wa Jumapili mpaka Jumapili. Alikuwa anasali kanisani kila siku.
Lakini hakuna hata siku moja Nyerere aliyokwenda mbele kanisani pale St. Peters akasema neno.
Nishasali anye kanisani St. Peters, hakuna siku Nyerere aliyoenda mbele pale.
Mkapa yeye alikuwa Mkatoliki wa kuingia kanisani kimagutu, yeye sakramenti yake ilikuwa kwenye atering holes za Palm Beach Upanga, pombe za Uskochi kuliko sakramenti ya kanisani.
Lakini na yeye alivyokuwa rais alisali Upanga St. Immaculata. Tumemuona miaka yake yote ya urais anasali pale.
Sikumbuki hata siku moja Mkapa kaenda mbele kanisani kutoa neno.
Hawa washua walijua falsafa za "separation of church and state".
Sasa kaja huyu rais mshamba mlugaluga hajui separation of church and state ni nini, mara nyingi sana anaenda kanisani halafu anaenda mbele, anaingilia watu kazi zao, anafikiri kwa sababu yeye rais yuko juu ya kanisa, anaanza kuwasema mpaka maaskofu na watawa kanisani.
Jamaa alikuwa bonge la mshamba!
Anamparamia bolo young.Awali ya yote, nafikiri unanifananisha na mtu tofauti na mimi.
Kama unataka kuwa serious usiparamie wanaume usiowajua, wengine watakufumua marinda.
Acha uhanithi unapojibizana nami. Lete hoja, acha viroja.Sio mbaya utakua Babu yangu sasa ubaya uko wapi? Au wewe bibi yako mzaa mama hakubikiriwa?
Mimi nimesali makanisa karibu yote na nimeingia mpaka msikitini na kwenye ma temple, hivyo kusali na Nyerere kusikupe fikira kwamba nilikuwa Mkatoliki.Mkuu Kiranga kumbe ulikuwa mkatoliki? Ulisali na Nyerere? Ikawaje ukaanza kuamini kuwa hakuna Mungu?
Bila Shaka Watafata Mdude Nyangari na uamsho wenye kesi za kubambikiwa.Rais Samia Suluhu ameadhimisha miaka 57 ya Muungano wa Tanzania kwa kutoa msamaha kwa wafungwa 5001 waliokuwa na adhabu za vifungo mbalimbali.
Kati ya wafungwa 5001 waliosamehewa 1,516 wameachiwa huru baada ya kupunguziwa robo ya adhabu ya vifungo vyao. 3495 waliopunguziwa robo ya adhabu zao wataendelea kutumikia vifungo vilivyobaki.
Rais Samia amewataka walioachiwa huru kutumia vyema mafunzo waliyoyapata wakiwa jela ili wayatumie katika kujenga taifa kwa kuzingatia sheria.
Hili nalo linafikirisha Kwamba Mungu anawaacha madikiteta kama magufuli wanaitesa nchi kwa miaka mitano. Huko sudani, somalia, syria na afighanistan Mungu anaruhusu watu wachache kuwafanya wengi kuishi jehanam kabla ya kiyama. Huyo Mungu ni wa ajabu sanaMimi nimesali makanisa karibu yote na nimeingia mpaka msikitini na kwenye ma temple, hivyo kusali na Nyerere kusikupe fikira kwamba nilikuwa Mkatoliki.
Nishamaliza makanisa karibu yote kusali.
Ukisema nimeanza kuamini kwamba hakuna Mungu ni sawa na kusema kipara ni style ya kusuka nywele.
Nimeacha kuamini kuwepo Mungu, sijaanza kuamini kuwa hakuna Mungu.
Zaidi, sitaki kuamini, nataka kujua.
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
Unaweza kueleza kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea wala kufikirika?
Mungu anawabania watu wasijue dawa nzuri na rahisi ya magonjwa ya bacteria kwa maelfu na maelfu ya miaka, watu wengi sana wanakufa kwa vidonda vidogo tu kwa kukosa dawa ya bacteria.Hili nalo linafikirisha Kwamba Mungu anawaacha madikiteta kama magufuli wanaitesa nchi kwa miaka mitano. Huko sudani, somalia, syria na afighanistan Mungu anaruhusu watu wachache kuwafanya wengi kuishi jehanam kabla ya kiyama. Huyo Mungu ni wa ajabu sana
Yaani alikua MDEMUKA si kidogo.Jamaa alikuwa na uwezo wa kuvamia birthday ya mtoto halafu akachukua mic watu wamuone yeye wamuimbie yeye happy birthday.
Yani mpaka kanisani alikuwa anashindwa kujizuia nyege zake za mic!
kiranga katika ubora wako aminia sana mkuu.Uzuri ni kwamba mimi sitegemei wewe kuniambia wapi nimeyumba.
Hususan kama huna hata uwezo wa kuniambia haya.
1. Unapoandika "hapo", unamanisha wapi? Paoneshe hapo "hapo" ni wapi.
2. Una sababu gani za kimantiki za kuonesha nimeyumba, zitaje tuzijadili.
3. Umejiridhishaje kwamba wewe una uwezo wa kuniambia mimi nimeyumba, na hilo ni kweli, na si wewe uliyeyumba na kuniona mimi nimeyumba kwa sabbau ya
"apparent motion"?
Jibu kwa kina tujadili.
Unapojibizana nami usiandike kizembezembe tu.
Huu msamaha unawahusu wafungwa, sio mahabusu ambao kesi zao zipo kwenye upelelezi na mahabusu ambao kesi zao zinendelea mahakamani, basi UAMSHO WAO SIO WAFUNGWA ni mahabusu.Uamsho hawajaachiwa?
Au wanaachiwa wagonjwa tu?