Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 4,407
- 16,942
Ok, we all are entitled to our own opinions.Huna akili
Naamini una vigezo thabiti vya kuhitimisha kuwa sina akili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok, we all are entitled to our own opinions.Huna akili
Siyo mataahira ya chadema?Sukuma Gang wana roho mbaya sana.
Makamu wa Rais ni mtu mkubwa lakini hapa anayeongelewa ni mwanaye !Makamu wa raisi ni mtu mkubwa nafikiri hii ni kumuonesha bado tubatambua mchango wake
Kifupi Malecela ni mwanasiasa aliyeshika vyeo vyote Tanzania isipokua kimoja tu cha urais. Na ni mwanasiasa aliyeitembelea Tanzania kijiji kwa kijiji Tanzania nzima enzi hizo. Kashika cheo cha kuanzia level ya kijiji, kata, dc,rc,mp,pm,vc.Hakuna cha ajabu hapo. Hiyo heshima kapewa Mzee Malecela.
Kashika nyadhifa nyingi hapa nchi, kumfariji kwa hivyo hakuna ubaya wowote. Japo uliandika kama vile ni jambo la ajabu sana.
HILI NALO MKALITIZAME.jibu ni simple ,ndiyo ,kwa sababu katiba inamruhusu kupapasa kila taasisi .isipokuwa kudhuru uhai tu Basi.
Hizo ndege mama yenu amezitoa kwa mjomba wake huko Omani au ni ndege zetu wananchi tulio zinunua kwa kodi zetu?Tetesi zilizopo ni kuwa raia namba moja, Rais Samia ametoa ndege maalum kwa ajili ya kusafirishia msiba wa William Malecela "Le Mutuz" atakayezikwa keshokutwa Mvumi huko Dodoma.
Ndege hiyo itabeba watu takribani 70 ikiwa ni pamoja na ndugu, jamaa na marafiki kuwatoa Dar na kuwapeleka Dodoma kwa ajili ya mazishi.
Mbwa wewe.Huyu mama analitia taifa hasara
Hao wanywa damu za watu wapate wapi utu?Sukuma Gang wana roho mbaya sana.
Toa ushoga hapa maku wewe.Mbwa wewe.