Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Nongwa zinawazidi mpaka wanapoteza uwezo wa kawaida wa kufikiri.Mbona magufuli alikuwa anagawa ndege na fedha kama njugu na hukuona hasara?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nongwa zinawazidi mpaka wanapoteza uwezo wa kawaida wa kufikiri.Mbona magufuli alikuwa anagawa ndege na fedha kama njugu na hukuona hasara?
Mimi nadhani yule anayekula bata hapa duniani kisha akifa tunamwambia rest in peace sio sahihi maana raha zote alizokuwa nazo ndio zimefikia mwisho wake ! Ila yule aliyekuwa akipigika hapa duniani ni sahihi kumwambia rest in peace maana suluba zake zote ndio zimefikia mwisho wake siku hiyo !Afadhali kula bata duniani kuliko upigike duniani na ukifa ukachomwe moto vile vile.
madhani ulimaanisha miaka 18 baada ya kuwa na akili sio baada ya kuzaliwaUngesubiri mpaka ufike miaka 18 ndio ujiunge katika hili jukwaa.
JIBU SWALI,Rais wetu aliyeapa mbele ya hadhara.
Umejawa chuki hasira na sonona. Siyo lazima ukielewe. Sipo hapa kusifia wafu.
Mm ni mtanzania, mpenda haki na amani.
Napenda viongozi bora wanaofuata sheria.
Sio muumini wa maendeleo vitu wala wenye mabavu
Ni muumini wa taasisi imara siyo watu imara.
Hata usiponielewa huo ndiyo msimamo wangu
Kwa kuongezea kwa vijana wetu wa dot comJohn Malecela sio mtu mdogo Tz
Rais amefanya jambo zuri sana; Mungu ambariki.Tetesi zilizopo ni kuwa raia namba moja, Rais Samia ametoa ndege maalum kwa ajili ya kusafirishia msiba wa William Malecela "Le Mutuz" atakayezikwa keshokutwa Mvumi huko Dodoma.
Ndege hiyo itabeba watu takribani 70 ikiwa ni pamoja na ndugu, jamaa na marafiki kuwatoa Dar na kuwapeleka Dodoma kwa ajili ya mazishi.
Je kwani ni mwanae wa mwazo kufa?Makamu wa Rais na Waziri mkuu mstaafu!
Baba wa Lemutuzi ameshashika nyazifa zonazompa uhalali wa kuhudumiwa na serikali mpaka kufa , kama waziri mkuu na makamo wa Raisi ya nchii hii Kwa hiyo sio hoja Kwa mwanaye kupelekwa na ndege.Bwege ni wewe unaona Rais anatumia vibaya pesa ya kodi, kama vile unaijua mipaka ya cheo chake.
Si ajabu hata tin no huna, kodi zipi ni zenu? humu mlio wengi hajui hata kodi ni nini?
kuongezea pia ametoa helikopta mbili na wanajeshi kusafirisha mwili wa MembeHata gharama za safari ya msiba wa Membe amegharamia Rais Samia kama Yeye!
Hata starehe nyingine ni mateso tu. Rest in peace itafaa kwao pia😀Mimi nadhani yule anayekula bata hapa duniani kisha akifa tunamwambia rest in peace sio sahihi maana raha zote alizokuwa nazo ndio zimefikia mwisho wake ! Ila yule aliyekuwa akipigika hapa duniani ni sahihi kumwambia rest in peace maana suluba zake zote ndio zimefikia mwisho wake siku hiyo !
Unalolirudia ndio jibu lenyewe, umeamua kupigia tu mstari.JIBU SWALI,
JE, MAUSHUNGI ana cheo kisicho na MIPAKA?
Pia ni kada maarufu alikuwa UVCCM ( msiniulize umri wake)Ni sawa, maana ni mtoto wa makamu wa Rais wa zamani
Huna akiliHakuna cha ajabu hapo. Hiyo heshima kapewa Mzee Malecela.
Kashika nyadhifa nyingi hapa nchi, kumfariji kwa hivyo hakuna ubaya wowote. Japo uliandika kama vile ni jambo la ajabu sana.
Huyu huyu aliyebadili dini ili aungwe mkono na Waarabu kwenye uchaguzi 1995John Malecela sio mtu mdogo Tz
Wengi hawajui mana hawatafuti maarifa wanakimbiloa uchawa..fikiria mtu ana lalamikia kitabu kinachomjadili kiongozi fulani bila hata kukosoma? Ukimuliza atakwambia ana masters ni viroja juu ya viroja. Yaani ukimprnda mtu asiandikwe au anayetoa opinion tofauti na wewe unamtukana! Hiyo ndiyo Tanzania
Ni wapi nimesema jambo la ajabu, wahedWaziri mkuu mstaafu Malecela. Aliyekufa ni mwanae...Malecela. Unategemea hilo liwe la ajabu?
Ujinga mzigoHaijalishi kuchomwa kupo pale pale. Yote haya ni yakujifurahisha Duniani.
Usihukumu usije ukahukumiwa.Haijalishi kuchomwa kupo pale pale. Yote haya ni yakujifurahisha Duniani.