Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama atakua anaiona hiyo gari basi atakua anacheka sana huko alipo
Ungesubiri mpaka ufike miaka 18 ndio ujiunge katika hili jukwaa.Huyu mama analitia taifa hasara
Hujabalehe bwege wewe rudi kwenu facebookUngesubiri mpaka ufike miaka 18 ndio ujiunge katika hili jukwaa.
Bwege ni wewe unaona Rais anatumia vibaya pesa ya kodi, kama vile unaijua mipaka ya cheo chake.Hujabalehe bwege wewe rudi kwenu facebook
Katiba inasema hivyo??Ni sawa, maana ni mtoto wa makamu wa Rais wa zamani
Hamna unachojua kuhusu hii nchi mhutu wewe rudi kwenu Burundi.Ubwege ni wewe unaona Rais anatumia vibaya pesa ya kodi, kama vile unaijua mipaka ya cheo chake.
Nilifikiri una hoja... Kumbe ni cheo kutokuwa na mipaka!!📌📌Bwege ni wewe unaona Rais anatumia vibaya pesa ya kodi, kama vile unaijua mipaka ya cheo chake.
Ifike wakatii uwekwe utaratibu kabisa wa nini cha kufanya, inapo tokea jambo kama hili na utaratibu huo utumike hata na watawala wajao, Nchi inaendeshwa kwa show off sanaTetesi zilizopo ni kuwa raia namba moja, Rais Samia ametoa ndege maalum kwa ajili ya kusafirishia msiba wa William Malecela "Le Mutuz" atakayezikwa keshokutwa Mvumi huko Dodoma.
Ndege hiyo itabeba watu takribani 70 ikiwa ni pamoja na ndugu, jamaa na marafiki kuwatoa Dar na kuwapeleka Dodoma kwa ajili ya mazishi.
Swala sio mtu mdogo wala mkubwa swala ni iwekwe utaratibu na utumike bila kuulizwa mtu, hizi ni sanaaa kama za yule alie tangulia, utazani tuna Unwritten constututionJohn Malecela sio mtu mdogo Tz
Sio hasara ila utaratibu huu uwe written na utumike bila ya mtu kuulizwa,Huyu mama analitia taifa hasara
Kumbe MAUSHUNGI ana cheo kisicho na MIPAKA?Bwege ni wewe unaona Rais anatumia vibaya pesa ya kodi, kama vile unaijua mipaka ya cheo chake.
Jonh Malecela tunamjua, na lemtuz ndo nani katika mtiririko wa viongozi wa nchi hii?Tatizo la wachangiaji wengi wa JF kwa sasa wana umri mdogo.
Upeo wao wa uongozi wa Tanzania unaanzia awamu ya pili ya Mkapa (2000+)
Yeyote aliyepita nyuma ya hapo hawamjui.
Ukitaja viongozi wanamjua Kikwete na kaumu yake.
Wangekuwa wanaamini kuna kuchomwa wasingekuwa wanakwapua pesa za wananchi !Haijalishi kuchomwa kupo pale pale. Yote haya ni yakujifurahisha Duniani.
Tamaa zimemzidi na kumtawala mwanadamu.Wangekuwa wanaamini kuna kuchomwa wasingekuwa wanakwapua pesa za wananchi !
Duuu kuchomwa wapi?Haijalishi kuchomwa kupo pale pale. Yote haya ni yakujifurahisha Duniani.
Mzee Malecela mwaka mmoja baada ya uhuru alikuwa ni mmoja wa wasaidizi wa Nyerere, hawezi kuwa sawa na sisi.Nilifikiri una hoja... Kumbe ni cheo kutokuwa na mipaka!!📌📌
Mbona magufuli alikuwa anagawa ndege na fedha kama njugu na hukuona hasara?
Rais wetu aliyeapa mbele ya hadhara.Kumbe MAUSHUNGI ana cheo kisicho na MIPAKA?