Perfect!!Makamu wa Rais na Waziri mkuu mstaafu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Perfect!!Makamu wa Rais na Waziri mkuu mstaafu!
Afadhali kula bata duniani kuliko upigike duniani na ukifa ukachomwe moto vile vile.Haijalishi kuchomwa kupo pale pale. Yote haya ni yakujifurahisha Duniani.
Ee bata la ukiwa mzima sio la ukiwa kwenye sanduki.Afadhali kula bata duniani kuliko upigike duniani na ukifa ukachomwe moto vile vile.
Hizo ni stahiki za Makamu wa rais mstaafu huwezi kuzizuiaHuyu mama analitia taifa hasara
Kuna watu wamenuna mkuuMember mzito wa JF na Founder wa JF , Field Marshall ES, akipewa heshima kubwa na taifa lake ya kusafirisha mwili wake kwenda kuzikwa kwa nini mimi nikasirike?.
Naishukuru serikali kwa moyo wake mzuri!
Kuchezea kodi zetu tuTetesi zilizopo ni kuwa raia namba moja, Rais Samia ametoa ndege maalum kwa ajili ya kusafirishia msiba wa William Malecela "Le Mutuz" atakayezikwa keshokutwa Mvumi huko Dodoma.
Ndege hiyo itabeba watu takribani 70 ikiwa ni pamoja na ndugu, jamaa na marafiki kuwatoa Dar na kuwapeleka Dodoma kwa ajili ya mazishi.
Wacha wanune.Kuna watu wamenuna mkuu
Ni raha tu za binadamu. Baadae tutajijuaEe bata la ukiwa mzima sio la ukiwa kwenye sanduki.
Won't make the difference. Alipokuwa hai mikia mliikalia saizi mnapambana na kaburi nyie waandishi uchwara. Maandishi yenu ni masimango kwa watanzania.Mbali na hicho ulishawahi kusoma kipi?
Hii si tetesi, NI KWELI SERIKALI IMETOA NDEGE, kumsafirisha mtoto wa Waxiri Mkuu na Makamu wa Rais mstaafu, mzee ajohn Malecela.Tetesi zilizopo ni kuwa raia namba moja, Rais Samia ametoa ndege maalum kwa ajili ya kusafirishia msiba wa William Malecela "Le Mutuz" atakayezikwa keshokutwa Mvumi huko Dodoma.
Ndege hiyo itabeba watu takribani 70 ikiwa ni pamoja na ndugu, jamaa na marafiki kuwatoa Dar na kuwapeleka Dodoma kwa ajili ya mazishi.
Ili iweje sasaHii si tetesi, NI KWELI SERIKALI IMETOA NDEGE, kumsafirisha mtoto wa Waxiri Mkuu na Makamu wa Rais mstaafu, mzee ajohn Malecela.
Tambua tofauti ya mtizamo.
Acha makasiriko mkuu,duniani tunapitaHaijalishi kuchomwa kupo pale pale. Yote haya ni yakujifurahisha Duniani.
Tunapita kwenda wapiAcha makasiriko mkuu,duniani tunapita
Sio jambo la ajabu, unazaliwa halafu unakufa, kwa hiyo twanga Konyagi kiasi uko hai ukifa hunywi tena.