900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
nchi hii wanawabambikizia wapinzani kesi za ugaidi,hadi magaidi sasa wanutumia mwanya huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nchi hii wanawabambikizia wapinzani kesi za ugaidi,hadi magaidi sasa wanutumia mwanya huo
Leo hii ndo mfumo uwe kisasa tulisha chelewa.Mfumo wa jeshi la police inabid liende kisasa.
inawezekana maaana mfadhili wa Ugaidi alikuwa anashabikia na kuratibu vitendo kama hivi.Eti huko nimekutana na kadi ya Huyo Gaidi kua ni mwamachama wa CHADEMA sijui ni real au edit
Sikiliza hapa..tukio hili linanirejesha kwa kilichomtokea Tundu Lissu.
..Nani aliondoa ulinzi area D? Walinzi wangekuwepo bila shaka wangepambana na magaidi waliomshambulia Lissu.
Yule jamaa ambae Serikali inamwita kuwa ni "gaidi" hana uwezo wa kuua Polisi.Lile tukio ni staged event.Limepangwa na muda siyo mrefu Serikali itaanza kujiumbua yenyewe kwa sababu hawajawahi kuwa na akili katika kupanga matukio.
Karekodi Mwanaume wa Kanda ya ziwa.
Nyie wadasalama mlikua mmejificha.
Kuna wanaume..na kuna wanaume wa Kanda ya ziwa ambao maisha ya risasi. Mabomu, walishayazoea.
Tukio hili lililotokea tarehe 23/8/2021 nchini KNY lilitosha kutoa taadhari (RED FLAG) kwa wanausalama. Inaonyesha Magaidi yamejipanga kuleta mtafaruku katika ukanda huu wa EA. Baadhi ya wasomali waliopo/wanaoingia nchini ni wa kuchukuliwa kwa taadhari kubwa sana haswa ikizingatiwa Somalia imeonekana kuwa na kambi za mafunzo ya Ugaidi kwa muda sasa. Inahitajika uchunguziwa kina kuhusu watu hawa.
https://citizentv.co.ke/news/two-terror-suspects-arrested-at-likoni-ferry-crossing-in-mombasa-13097443/
Salamu zake ni hizi:
Natoa pole kwa Jeshi la Polisi na familia za Askari 3, na Askari 1 wa kampuni ya ulinzi ya SGA waliopoteza maisha baada ya mtu aliyekuwa na silaha kuwashambulia katika eneo la Salenda, Dar es Salaam.
Mtu huyo amedhibitiwa na hali ni shwari. Nawaagiza Polisi kuchunguza kwa kina.
View attachment 1908144
PIA, SOMA:
- Kinondoni, Dar: Mtu asiyejulikana, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi
Nawapongeza watanzania wa maofisini na barabarani maeneo hayoBinafsi najiuliza ujasiri na zaidi utulivu wa hao raia waliorekodi hili tukio.
Kwahiyo manjagu walikuwa field, alafu wamefeli au siyo.Naomba niongezee kutoa pole kwa familia ya jambazi pia
Tumempoteza mtu jasiri
Anayeweza kuwapa askar wetu mafunzo kwa vitendo [emoji16][emoji16]
Kwa tabia za polisi tz am sure kuna wengi wamefurahi
Basi kazi ipo.inawezekana maaana mfadhili wa Ugaidi alikuwa anashabikia na kuratibu vitendo kama hivi.
Karekodi Mwanaume wa Kanda ya ziwa.
Nyie wadasalama mlikua mmejificha.
Kuna wanaume..na kuna wanaume wa Kanda ya ziwa ambao maisha ya risasi. Mabomu, walishayazoea.
Hili nimeshangaa kweli kweli yani huyo jamaa alikuwa kasimama barabarani peupe kabisa lakini polisi walimfyatulia risasi karibu 20 ndo wakampata na akadondoka chini....!..unakumbuka Maza alisema askari wa ccm wanaua kwa risasi zisizozidi tatu?
..sasa huyu gaidi wa leo mmeona risasi ngapi zimetumika pale?
Mnatafuta Kila upenyo muweke agenda zenuTukio hili linanirejesha kwa kilichomtokea Tundu Lissu.
Nani aliondoa ulinzi area D? Walinzi wangekuwepo bila shaka wangepambana na magaidi waliomshambulia Lissu.