Rais Samia atoa Salamu za Pole kwa Boniface Mwamposa Kufuatia Kifo cha Msaidizi wake Mkuu

Rais Samia atoa Salamu za Pole kwa Boniface Mwamposa Kufuatia Kifo cha Msaidizi wake Mkuu

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.Mama mwenye moyo wa huruma, upendo, unyenyekevu na ukarimu ametoa salamu za pole kwa Mchungaji Boniface Mwamposa wa Kanisa la Inuka uangaze.kufuatia kifo cha Msaidizi wake Mkuu Jonathan Togolai.

Watanzania wenzangu Ndio Maana nawaambieni siku zote kuwa Rais Samia ni Mfariji wa Taifa.hana Makuu Mama wa watu,hana Majivuno wala dharau wala kujisikia .yupo na wananchi wake karibu na kumfariji kila mtu. Ni mama Mwenye huruma sana na mwenye kuguswa na matatizo ya watu na aliyetayari kumfikia mtu yeyote yule kwa mkono wake.

Ni Mama ambaye anafuatilia Maisha ya watanzania kila iitwapo leo na kutaka kujuwa watu wanaishije na nini afanye kusaidia au kuwawezesha watu.kwa hakika tuna kila sababu ya kuendelea kumuunga mkono Rais wetu Mpendwa na kumuombea Maisha Marefu yenye afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania
Screenshot_20241021-224437_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Cde haya maneno yalikuwa hayana ulazima kabisa, umeharibu taarifa yote 🤣🤣🤣
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.Mama mwenye moyo wa huruma, upendo, unyenyekevu na ukarimu ametoa salamu za pole kwa Mchungaji Boniface Mwamposa wa Kanisa la Inuka uangaze.kufuatia kifo cha Msaidizi wake Mkuu Jonathan Togolai.

Watanzania wenzangu Ndio Maana nawaambieni siku zote kuwa Rais Samia ni Mfariji wa Taifa.hana Makuu Mama wa watu,hana Majivuno wala dharau wala kujisikia .yupo na wananchi wake karibu na kumfariji kila mtu. Ni mama Mwenye huruma sana na mwenye kuguswa na matatizo ya watu na aliyetayari kumfikia mtu yeyote yule kwa mkono wake.

Ni Mama ambaye anafuatilia Maisha ya watanzania kila iitwapo leo na kutaka kujuwa watu wanaishije na nini afanye kusaidia au kuwawezesha watu.kwa hakika tuna kila sababu ya kuendelea kumuunga mkono Rais wetu Mpendwa na kumuombea Maisha Marefu yenye afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzaniaView attachment 3132011

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Samia anasoma Biblia!!!
Au kuna mtu amemuandikia hiyo meseji
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.Mama mwenye moyo wa huruma, upendo, unyenyekevu na ukarimu ametoa salamu za pole kwa Mchungaji Boniface Mwamposa wa Kanisa la Inuka uangaze.kufuatia kifo cha Msaidizi wake Mkuu Jonathan Togolai.

Watanzania wenzangu Ndio Maana nawaambieni siku zote kuwa Rais Samia ni Mfariji wa Taifa.hana Makuu Mama wa watu,hana Majivuno wala dharau wala kujisikia .yupo na wananchi wake karibu na kumfariji kila mtu. Ni mama Mwenye huruma sana na mwenye kuguswa na matatizo ya watu na aliyetayari kumfikia mtu yeyote yule kwa mkono wake.

Ni Mama ambaye anafuatilia Maisha ya watanzania kila iitwapo leo na kutaka kujuwa watu wanaishije na nini afanye kusaidia au kuwawezesha watu.kwa hakika tuna kila sababu ya kuendelea kumuunga mkono Rais wetu Mpendwa na kumuombea Maisha Marefu yenye afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzaniaView attachment 3132011

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tuwekeeni picha yake
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.Mama mwenye moyo wa huruma, upendo, unyenyekevu na ukarimu ametoa salamu za pole kwa Mchungaji Boniface Mwamposa wa Kanisa la Inuka uangaze.kufuatia kifo cha Msaidizi wake Mkuu Jonathan Togolai.

Watanzania wenzangu Ndio Maana nawaambieni siku zote kuwa Rais Samia ni Mfariji wa Taifa.hana Makuu Mama wa watu,hana Majivuno wala dharau wala kujisikia .yupo na wananchi wake karibu na kumfariji kila mtu. Ni mama Mwenye huruma sana na mwenye kuguswa na matatizo ya watu na aliyetayari kumfikia mtu yeyote yule kwa mkono wake.

Ni Mama ambaye anafuatilia Maisha ya watanzania kila iitwapo leo na kutaka kujuwa watu wanaishije na nini afanye kusaidia au kuwawezesha watu.kwa hakika tuna kila sababu ya kuendelea kumuunga mkono Rais wetu Mpendwa na kumuombea Maisha Marefu yenye afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzaniaView attachment 3132011

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Lazima angefanya hivyo kwa sababu ni influencer na ana wafuasi wengi wanamuamini!

Ni rahisi sana Kwa influencers kama hao kuhamisha mwelekeo na matamanio yenye mamlaka, hivyo wenye mamlaka mara nyingi wanajifungamanisha nao Ili kulinda nafasi zao za madaraka! Haijaanza na Samia Hassan, imeanza tangu enzi na enzi.

Kwanini ulaya watu wameachana na makanisa,? Mojawapo ya sababu kubwa ni kutokana na viongozi wa dini kujifungamanisha na wanasiasa ambao wamekua chanzo Cha dhuluma kwa umma.

Badala ya viongozi wa dini kukemea wanasiasa wanaokiuka misingi ya Haki na kuwa vinara wa uovu wanapokwenda kinyume na amri za Mungu, wamekua wakijifungamaisha na wanasiasa na kula nao meza moja.

State au Dola inawahakikishia wanasiasa Hawa ulinzi wa kibinadamu kwa namna yoyote. Hii ni kwa ahadi na Makubaliano kwamba tukindiane maslahi. Upo ushahidi tosha kwamba vyombo vya usalama wa juu vinaongozana na Mwamposa na wengine wanaofanana nae katika shughuli zao za Kila siku nchini na nje ya nchi.

Wafuasi wa mtu kama Mwamposa ni sawa na wafuasi wa kisiasa. Mfano dhahiri ni Gwajima na hamasa yake kwa waumini wake katika uchaguzi uliopita ambapo licha ya mchungaji kutakiwa kusimamia amri za Mungu ikiwemo kutokuiba., alishiriki na anafurahia matunda ya uchaguzi uliogubikwa na wizi wa kura.


Askofu Malasusa siyo Siri ni namna Gani alivyojigungamanisha na utawala wakati wa jiwe. Alihakikishiwa ulinzi pamoja na state owned motorcade Ili asikose Wala kukosoa mambo ya utawala wa Magufuli yaliyohusika Moja kwa Moja katika suala zima pa uporaji wa Haki kwa watu. Na kwakua waliokua kinyume nae waligombea nafasi aliyonayo, mnaweza kuona hata kuchaguliwa kwake kuwa mkuu wa Kkt Tanzania kuligubikwa na Hali ya kutoelweka, wanoona mbali wanajua kampeni ya Mheshimiwa Sanga na Bwana Madelu kuhakikisha Mwalasusa anarudi kwenye kiti alichohudumu kwa miaka kumi awali.

Ni dhahiri kwamba hata katika mauaji ya Mzee kibao, uma ulimshamgaa wazi wazi alipokaa kimya bila kutoa tamko lolote na Msimamo wa kanisa juu ya mauaji ya watu wasiokua na hatia, mpaka shinikizo lilipokua kubwa Ndipo alijiyokeza hadharani kwa aibu. Lakini ikumbukwe kwamba yeye huyu huyu ndiye aliyeweka wazi kwamba hawezi na hataikosoa serikali kwakua imemlea. Hivyo ni hauwezi kichora mstari kati ya Dola na taasisi za kidini na hivyo hata serikali zikiwa dhalimu hawawezi kuzinyooshea kidole, kwa sababu usajili wa hizo taasisi upo under control of the state.

Sitozungumzia Bakwata na viongozi wake Kwa sasa Ila nitajitimisha kwa kusema hivi:
Lucas acha ubumunda, mama Yako huyo hajatoa pole kama sign of empathy and compassion to comfort thel losers and so called prophet Mwamposa. Ni udhihirisho wa kuwawin wafuasi wake na watu wa mkoa wake akiwemo wewe hasa tunapoelekea kwenye chaguzi za mbeleni Ili kuona ana huruma na anajua uchungu wa kifo. Meanwhile ni hivi majuzi tu kwa sauti yake mwenyewe amesema kifo ni kifo tu kifo Cha Kibao kisilete taharuki!

Ujinga ni mzigo wa mavi ashakumu si matusi sababu tubatembea nayo kwenye matumbo
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.Mama mwenye moyo wa huruma, upendo, unyenyekevu na ukarimu ametoa salamu za pole kwa Mchungaji Boniface Mwamposa wa Kanisa la Inuka uangaze.kufuatia kifo cha Msaidizi wake Mkuu Jonathan Togolai.

Watanzania wenzangu Ndio Maana nawaambieni siku zote kuwa Rais Samia ni Mfariji wa Taifa.hana Makuu Mama wa watu,hana Majivuno wala dharau wala kujisikia .yupo na wananchi wake karibu na kumfariji kila mtu. Ni mama Mwenye huruma sana na mwenye kuguswa na matatizo ya watu na aliyetayari kumfikia mtu yeyote yule kwa mkono wake.

Ni Mama ambaye anafuatilia Maisha ya watanzania kila iitwapo leo na kutaka kujuwa watu wanaishije na nini afanye kusaidia au kuwawezesha watu.kwa hakika tuna kila sababu ya kuendelea kumuunga mkono Rais wetu Mpendwa na kumuombea Maisha Marefu yenye afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzaniaView attachment 3132011

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hee
Huyu Togolai kafariki lini jamani!

Pole Kwa Arise and Shine Ministry.
Apumzike kwa amani Mtumishi wa Mungu .
 
Back
Top Bottom