Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #21
Wivu tu unakusumbuaKwamba akitoa pole nayo ni habari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivu tu unakusumbuaKwamba akitoa pole nayo ni habari?
kwakwel maana Pembe wa kitambo kuliko huyo mwamposaHajasikia Cha msanii mkubwa yeye PEMBE?
Dhihaka,wakati ndiyo ukweliAcha dhihaka zako
Huyu Katibu Mafuta ya Upako na Maji ya Upako havijamdaidia?
Haiwezekani sasa, hata alipokuwa anaumwa angempa maji na mafuta ya upako. Mazingaombwe yana mipaka yake, muhimu ni maokoto toka kwa watu walioamua kutokutumia akili zao inavyotakiwaAlitakiwa amfufue sasa sijui imekuwaje
Ova
Akumbuke pia kuwapa pole na wale wahanga wa ajali zinazotokea kula siku nchini kwa sababu ya uzembe wa madereva, rushwa, na pia ubovu wa barabaraba!Ndugu zangu Watanzania,
Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.Mama mwenye moyo wa huruma, upendo, unyenyekevu na ukarimu ametoa salamu za pole kwa Mchungaji Boniface Mwamposa wa Kanisa la Inuka uangaze.kufuatia kifo cha Msaidizi wake Mkuu Jonathan Togolai.
Watanzania wenzangu Ndio Maana nawaambieni siku zote kuwa Rais Samia ni Mfariji wa Taifa.hana Makuu Mama wa watu,hana Majivuno wala dharau wala kujisikia .yupo na wananchi wake karibu na kumfariji kila mtu. Ni mama Mwenye huruma sana na mwenye kuguswa na matatizo ya watu na aliyetayari kumfikia mtu yeyote yule kwa mkono wake.
Ni Mama ambaye anafuatilia Maisha ya watanzania kila iitwapo leo na kutaka kujuwa watu wanaishije na nini afanye kusaidia au kuwawezesha watu.kwa hakika tuna kila sababu ya kuendelea kumuunga mkono Rais wetu Mpendwa na kumuombea Maisha Marefu yenye afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzaniaView attachment 3132011
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hakuna panapovujaNgoja iendelee kunyesha tuone panapovuja
unataka kutuambia kwamba hujui nini kimemkuta yule mama?KAtibu mwenezi BAWACHA ametekwa na kuteswa. Je ametoa pole?
Hizo rambirambi angezipeleka kanisani kwake au angemtumia kwenye email yake, kuileta kwenye public platform ni kufufanya wote sàwa na misikule yake.Haifai kuvurumishianeni matusi. Katoa rambi rambi tatizo ni nini? Toa zako au nyamaza.
ila leo umetuangusha sana wadau mbona sijaona machozi na kugaragaraNdugu zangu Watanzania,
Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.Mama mwenye moyo wa huruma, upendo, unyenyekevu na ukarimu ametoa salamu za pole kwa Mchungaji Boniface Mwamposa wa Kanisa la Inuka uangaze.kufuatia kifo cha Msaidizi wake Mkuu Jonathan Togolai.
Watanzania wenzangu Ndio Maana nawaambieni siku zote kuwa Rais Samia ni Mfariji wa Taifa.hana Makuu Mama wa watu,hana Majivuno wala dharau wala kujisikia .yupo na wananchi wake karibu na kumfariji kila mtu. Ni mama Mwenye huruma sana na mwenye kuguswa na matatizo ya watu na aliyetayari kumfikia mtu yeyote yule kwa mkono wake.
Ni Mama ambaye anafuatilia Maisha ya watanzania kila iitwapo leo na kutaka kujuwa watu wanaishije na nini afanye kusaidia au kuwawezesha watu.kwa hakika tuna kila sababu ya kuendelea kumuunga mkono Rais wetu Mpendwa na kumuombea Maisha Marefu yenye afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzaniaView attachment 3132011
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Naunga mkono hoja ila pia hoja za sauti HII zisipuuzwe,Ndugu zangu Watanzania,
Kazi iendelee, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Na wewe Pascal Mayalla kuna hoja gani hapa kutoa rambirambi ni hoja.
Ni mwanaccm mwenzake.Na wewe Pascal Mayalla kuna hoja gani hapa kutoa rambirambi ni hoja.
KWasababu aliwaambia waumini wake wachague CCMNdugu zangu Watanzania,
Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.Mama mwenye moyo wa huruma, upendo, unyenyekevu na ukarimu ametoa salamu za pole kwa Mchungaji Boniface Mwamposa wa Kanisa la Inuka uangaze.kufuatia kifo cha Msaidizi wake Mkuu Jonathan Togolai.
Watanzania wenzangu Ndio Maana nawaambieni siku zote kuwa Rais Samia ni Mfariji wa Taifa.hana Makuu Mama wa watu,hana Majivuno wala dharau wala kujisikia .yupo na wananchi wake karibu na kumfariji kila mtu. Ni mama Mwenye huruma sana na mwenye kuguswa na matatizo ya watu na aliyetayari kumfikia mtu yeyote yule kwa mkono wake.
Ni Mama ambaye anafuatilia Maisha ya watanzania kila iitwapo leo na kutaka kujuwa watu wanaishije na nini afanye kusaidia au kuwawezesha watu.kwa hakika tuna kila sababu ya kuendelea kumuunga mkono Rais wetu Mpendwa na kumuombea Maisha Marefu yenye afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzaniaView attachment 3132011
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
CCM ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuuKWasababu aliwaambia waumini wake wachague CCM
Kaongeza uchafu akidhani ndio ananogesha.Cde haya maneno yalikuwa hayana ulazima kabisa, umeharibu taarifa yote 🤣🤣🤣