Rais Samia atoa Salamu za Pole kwa Boniface Mwamposa Kufuatia Kifo cha Msaidizi wake Mkuu

Rais Samia atoa Salamu za Pole kwa Boniface Mwamposa Kufuatia Kifo cha Msaidizi wake Mkuu

Ndugu zangu Watanzania,

Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.Mama mwenye moyo wa huruma, upendo, unyenyekevu na ukarimu ametoa salamu za pole kwa Mchungaji Boniface Mwamposa wa Kanisa la Inuka uangaze.kufuatia kifo cha Msaidizi wake Mkuu Jonathan Togolai.

Watanzania wenzangu Ndio Maana nawaambieni siku zote kuwa Rais Samia ni Mfariji wa Taifa.hana Makuu Mama wa watu,hana Majivuno wala dharau wala kujisikia .yupo na wananchi wake karibu na kumfariji kila mtu. Ni mama Mwenye huruma sana na mwenye kuguswa na matatizo ya watu na aliyetayari kumfikia mtu yeyote yule kwa mkono wake.

Ni Mama ambaye anafuatilia Maisha ya watanzania kila iitwapo leo na kutaka kujuwa watu wanaishije na nini afanye kusaidia au kuwawezesha watu.kwa hakika tuna kila sababu ya kuendelea kumuunga mkono Rais wetu Mpendwa na kumuombea Maisha Marefu yenye afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzaniaView attachment 3132011

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Akumbuke pia kuwapa pole na wale wahanga wa ajali zinazotokea kula siku nchini kwa sababu ya uzembe wa madereva, rushwa, na pia ubovu wa barabaraba!

Halafu huyo Mwamposa alishindwaje kumponya huyo msaidizi wake mkuu kwa kumpa yale maji yake ya upako, mafuta ya upako, udongo wa upako, nk!!

Nadhani watu wenye akili timamu mna kitu cha kujifunza hapa. Utapeli kwa watu wajinga, siyo poa hata kidogo. Ifikie wakati tuwasaidie waache kuibiwa na hawa wajasiriamali aina ya Boniface Mwamposa.
 
Haifai kuvurumishianeni matusi. Katoa rambi rambi tatizo ni nini? Toa zako au nyamaza.
Hizo rambirambi angezipeleka kanisani kwake au angemtumia kwenye email yake, kuileta kwenye public platform ni kufufanya wote sàwa na misikule yake.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.Mama mwenye moyo wa huruma, upendo, unyenyekevu na ukarimu ametoa salamu za pole kwa Mchungaji Boniface Mwamposa wa Kanisa la Inuka uangaze.kufuatia kifo cha Msaidizi wake Mkuu Jonathan Togolai.

Watanzania wenzangu Ndio Maana nawaambieni siku zote kuwa Rais Samia ni Mfariji wa Taifa.hana Makuu Mama wa watu,hana Majivuno wala dharau wala kujisikia .yupo na wananchi wake karibu na kumfariji kila mtu. Ni mama Mwenye huruma sana na mwenye kuguswa na matatizo ya watu na aliyetayari kumfikia mtu yeyote yule kwa mkono wake.

Ni Mama ambaye anafuatilia Maisha ya watanzania kila iitwapo leo na kutaka kujuwa watu wanaishije na nini afanye kusaidia au kuwawezesha watu.kwa hakika tuna kila sababu ya kuendelea kumuunga mkono Rais wetu Mpendwa na kumuombea Maisha Marefu yenye afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzaniaView attachment 3132011

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
ila leo umetuangusha sana wadau mbona sijaona machozi na kugaragara
 
Hakika kuwa muislamu mara zote lazima uepuke kutamka kufuru angalia huyo samia kakwepa kumuita Mwamposa kama Mtume na Nabii
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.Mama mwenye moyo wa huruma, upendo, unyenyekevu na ukarimu ametoa salamu za pole kwa Mchungaji Boniface Mwamposa wa Kanisa la Inuka uangaze.kufuatia kifo cha Msaidizi wake Mkuu Jonathan Togolai.

Watanzania wenzangu Ndio Maana nawaambieni siku zote kuwa Rais Samia ni Mfariji wa Taifa.hana Makuu Mama wa watu,hana Majivuno wala dharau wala kujisikia .yupo na wananchi wake karibu na kumfariji kila mtu. Ni mama Mwenye huruma sana na mwenye kuguswa na matatizo ya watu na aliyetayari kumfikia mtu yeyote yule kwa mkono wake.

Ni Mama ambaye anafuatilia Maisha ya watanzania kila iitwapo leo na kutaka kujuwa watu wanaishije na nini afanye kusaidia au kuwawezesha watu.kwa hakika tuna kila sababu ya kuendelea kumuunga mkono Rais wetu Mpendwa na kumuombea Maisha Marefu yenye afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzaniaView attachment 3132011

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
KWasababu aliwaambia waumini wake wachague CCM
 
Back
Top Bottom