Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Aliyetufanyia dhihaka ni huyu , mbona hakutuacha?Katiba mpya na Bora ndiyo itaweza kuwa mkombozi wa kila kitu bila hiyo basi chozi la mnyonge litabaki kuwa Kama chozi la samaki kupotelea majini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyetufanyia dhihaka ni huyu , mbona hakutuacha?Katiba mpya na Bora ndiyo itaweza kuwa mkombozi wa kila kitu bila hiyo basi chozi la mnyonge litabaki kuwa Kama chozi la samaki kupotelea majini
Kitu ambacho hutaki kukiamini ni katiba mpya na Bora kuwa msaada kwa watu wote ila ukweli haubatilishwi kwa uongo Bali ukweli zaidi nikisema katiba mpya ni muhimu naona zaidi ya hapa tulipo,, kumbuka katiba ya wananchi ilipendekeza kuwa katika Tanzania na Zanzibar kuwe na serikali tatu maana yake hasa ni hiyo inamaana Visiwani kuwe na serikali yake Bara kuwe na serikali yake then tupate serikali ya tatu kwa ajili ya muungano,, je unaweza vipi kutenganisha Uhuru wa Zanzibar na Katiba mpya na Bora?Zanzibar haihitaji katiba mpya , inahitaji UHURU wake ulioporwa Na Tanganyika
Huyu alifanya yake kwa wakati wake na upeo wake hivyo ni wakati na zamu yetu kufanya yetu kwa wakati wetu ili wajukuu zetu wasituone vilaza kwa kuendeshwa na fikra na mitazamo ya marehemuAliyetufanyia dhihaka ni huyu , mbona hakutuacha?
Tunazidi kufeli kila kukicha yaani Kuna shule hazina madarasa halafu tuna kazi ya kuenziana tu kweli Kama tz tumelogwa mchawi wetu yupo karibu Sana na sisi kuhakikisha hatufurukuti
Hii mradi kanda ya ziwa tu,,mikoa ya mbeya iringa njombe songea ccm wanawaona mapimbi sana
Huu ni muda wa kuifuta ccm mikoa ya nyanda za juu
Hongera Rais Samia kwa jicho lako kufika huku. Mwalimu Nyerere anastahili kuheshimishwa na wewe umeliona hilo.RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ATOA TZS 35BL KUJENGA UWANJA WA "MUSOMA AIRPORT " ILI KUMUENZI HAYATI BABA WA TAIFA KWA VITENDO.
Huu ni muonekano wa baadhi ya vifaa vya ujenzi vya mkandarasi Beijing kutoka nchini China ambavyo vinatarajiwa kutumika katika kazi za maboresho ya uwanja wa ndege wa Musoma karibu na Sehemu alikozaliwa muasisi wa Taifa hili Mwl Julius Kambarage Nyerere,![]()
Serikali sikivu ya Rais Samia Suluhu Hassan imesema inatarajia kutumia kiasi cha TZS 35BL ili kuboresha uwanja wa ndege wa Musoma uliotelekezwa na awanu zote tangu Uhuru,
Maboresho hayo ni pamoja na kuweka lami na kuongeza urefu wa uwanja huo ili kuruhusu ndege kubwa na ndogo kuweza kutua mkoa wa Mara,,Uwanja huu pia utahudumia na maeneo ya jirani kama Simiyu na Mwanza,
Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Dkt. Khalfani Haule, amesema kuwa mradi huo ukikamilika utarahisisha huduma za usafiri na usafirishaji kwa wananchi wa Musoma|Mara na pia kuchochea biashara ya utalii kupitia Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ambayo ipo mkoani humo kwani kabla Watalii wengi walishuka uwanja wa KIA,
Ameongeza kuwa Uongozi wa Wilaya tayari umejipanga kwa kuupokea mradi huo na wameahidi kutoa ushirikiano wa kutosha kwa Mkandarasi huyo kwa kumpatia eneo la kuchimba mchanga na kokoto za ujenzi.
Naye, Meneja wa Uwanja wa ndege wa Musoma, Mohammed Bakari, amesema kuwa uwanja huo utajengwa na Kampuni ya kikandarasi ya Beijing kutoka China na unatarajiwa kukamilika mwezi Desemba, 2022.
Amefafanua kuwa Mkandarasi huyo tayari ameshawasilisha vifaa vyake katika eneo la mradi kwa ajili ya kuanza rasmi ujenzi huo, na kusisitiza kuwa ujenzi wa uwanja huo unasimamiwa na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), mkoa wa Mara.Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan,
Mzimu Wake CCM bado unatuendesha mbioHuyu alifanya yake kwa wakati wake na upeo wake hivyo ni wakati na zamu yetu kufanya yetu kwa wakati wetu ili wajukuu zetu wasituone vilaza kwa kuendeshwa na fikra na mitazamo ya marehemu
Hahahahaaa Mimi sipo aisee huo mzimu wa marehemu Wala haunijui na hautakaa unijue ndiyo maana nakuwa kinyume na wafuasi wa CCM maana najua wanarumia akili ya marehemu mpaka leoMzimu Wake CCM bado unatuendesha mbio
Kitu ambacho hutaki kukiamini ni katiba mpya na Bora kuwa msaada kwa watu wote ila ukweli haubatilishwi kwa uongo Bali ukweli zaidi nikisema katiba mpya ni muhimu naona zaidi ya hapa tulipo,, kumbuka katiba ya wananchi ilipendekeza kuwa katika Tanzania na Zanzibar kuwe na serikali tatu maana yake hasa ni hiyo inamaana Visiwani kuwe na serikali yake Bara kuwe na serikali yake then tupate serikali ya tatu kwa ajili ya muungano,, je unaweza vipi kutenganisha Uhuru wa Zanzibar na Katiba mpya na Bora?
Unafikiri ni njia gani inafaa kutumia kutoka kwenye uvamizi huo bila kupitia kivuli Cha katiba mpya na Bora ? Maana kwa nguvu ya umma ni ngumu kwasababu usaliti upo mkubwa Sana tunasalitiana sisi kwa sisiTatizo Huo Si muungano ni uvamizi uliopewa Jina la muungano , huwezi haramu kuifanya halali
Sukuma gang mnapata tabu sanaCheap!
Kumuenzi Mwalimu Nyerere kiuhalisia ni kumaliza Bwawa la Nyerere hilo lilikuwa ni wazo lake na kuhamia Dodoma, Nyerere alianzisha Mji Mkuu mpya wa Dodoma.
Yote mawili Bwawa la Nyerere na Dodoma Samia anayapiga vita, kama si kwa maneno basi kwa vitendo, angalau kulingana na matendo ya watendaji wake.
Mengine yote usanii tu.
Hii lugha ya kijinga kuliko maelezo inalidharirisha mpk bunge in a way. Huu ujinga ukome sasa enough is enough jamani.Samia ametoa ni pesa ake mfukoni? hizi kodi za wananchi mbaya zaidi yeye hashiriki kulipa kodi mshahara wake haukatwi kodi. Ni dharau kubwa sn kwa wananchi
Usidhani kujenga umeme wa Stiglers Gorge watangulizi wa Magufuli walishindwa, la hasha. Nyerere pamoja na waliomfuata walishauriwa na wakashaurika kuwa madhara ya kujenga DAM ndani ya pori la Selous ni makubwa kuliko faida zake licha ya kwamba kuna nia nyingine ya kuzalisha Megawati 2,100.Cheap!
Kumuenzi Mwalimu Nyerere kiuhalisia ni kumaliza Bwawa la Nyerere hilo lilikuwa ni wazo lake na kuhamia Dodoma, Nyerere alianzisha Mji Mkuu mpya wa Dodoma.
Yote mawili Bwawa la Nyerere na Dodoma Samia anayapiga vita, kama si kwa maneno basi kwa vitendo, angalau kulingana na matendo ya watendaji wake.
Mengine yote usanii tu.
Unafikiri ni njia gani inafaa kutumia kutoka kwenye uvamizi huo bila kupitia kivuli Cha katiba mpya na Bora ? Maana kwa nguvu ya umma ni ngumu kwasababu usaliti upo mkubwa Sana tunasalitiana sisi kwa sisi
Kweli mkuuHii lugha ya kijinga kuliko maelezo inalidharirisha mpk bunge in a way. Huu ujinga ukome sasa enough is enough jamani.
Urais ni taasisi Jomba,