Rais Samia atoa TZS 35BL Ujenzi wa Musoma Airport kumuenzi Baba wa Taifa

Rais Samia atoa TZS 35BL Ujenzi wa Musoma Airport kumuenzi Baba wa Taifa

RAIS SAMIA SULUHU ATOA TZS 35BL KUJENGA UWANJA WA NDEGE WA "MUSOMA AIRPORT " ILI KUMUENZI BABA WA TAIFA KWA VITENDO​

3-25.jpg
Huu ni muonekano wa baadhi ya vifaa vya ujenzi vya mkandarasi Beijing kutoka nchini China ambavyo vinatarajiwa kutumika katika kazi za maboresho ya uwanja wa ndege wa Musoma sehemu aliyozaliwa muasisi wa Taifa hili.

Serikali ya Rais Samia Suluhu imesema inatarajia kutumia kiasi cha TZS 35BL ili kuboresha uwanja wa ndege wa Musoma,

Maboresho hayo ni pamoja na kuweka lami na kuongeza urefu wa uwanja huo ili kuruhusu ndege kubwa na ndogo kuweza kutua.

Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Dkt. Khalfani Haule, amesema kuwa mradi huo ukikamilika utarahisisha huduma za usafiri na usafirishaji kwa wananchi wa Musoma na pia kuchochea biashara ya utalii kupitia Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ambayo ipo mkoani humo.

Ameongeza kuwa Uongozi wa Wilaya tayari umejipanga kwa kuupokea mradi huo na wameahidi kutoa ushirikiano wa kutosha kwa Mkandarasi huyo kwa kumpatia eneo la kuchimba mchanga na kokoto za ujenzi.

Naye, Meneja wa Uwanja wa ndege wa Musoma, Mohammed Bakari, amesema kuwa uwanja huo utajengwa na Kampuni ya kikandarasi ya Beijing kutoka China na unatarajiwa kukamilika mwezi Desemba, 2022.

Amefafanua kuwa Mkandarasi huyo tayari ameshawasilisha vifaa vyake katika eneo la mradi kwa ajili ya kuanza rasmi ujenzi huo, na kusisitiza kuwa ujenzi wa uwanja huo unasimamiwa na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), mkoa wa Mara.Hakuna kama Samia,
Kama kuna wakati Tanzania inaweza kujivuna kuwa na Rais Makini basi ni huu,
 

RAIS SAMIA SULUHU ATOA TZS 35BL KUJENGA UWANJA WA NDEGE WA "MUSOMA AIRPORT " ILI KUMUENZI BABA WA TAIFA KWA VITENDO​

3-25.jpg
Huu ni muonekano wa baadhi ya vifaa vya ujenzi vya mkandarasi Beijing kutoka nchini China ambavyo vinatarajiwa kutumika katika kazi za maboresho ya uwanja wa ndege wa Musoma sehemu aliyozaliwa muasisi wa Taifa hili.

Serikali ya Rais Samia Suluhu imesema inatarajia kutumia kiasi cha TZS 35BL ili kuboresha uwanja wa ndege wa Musoma,

Maboresho hayo ni pamoja na kuweka lami na kuongeza urefu wa uwanja huo ili kuruhusu ndege kubwa na ndogo kuweza kutua.

Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Dkt. Khalfani Haule, amesema kuwa mradi huo ukikamilika utarahisisha huduma za usafiri na usafirishaji kwa wananchi wa Musoma na pia kuchochea biashara ya utalii kupitia Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ambayo ipo mkoani humo.

Ameongeza kuwa Uongozi wa Wilaya tayari umejipanga kwa kuupokea mradi huo na wameahidi kutoa ushirikiano wa kutosha kwa Mkandarasi huyo kwa kumpatia eneo la kuchimba mchanga na kokoto za ujenzi.

Naye, Meneja wa Uwanja wa ndege wa Musoma, Mohammed Bakari, amesema kuwa uwanja huo utajengwa na Kampuni ya kikandarasi ya Beijing kutoka China na unatarajiwa kukamilika mwezi Desemba, 2022.

Amefafanua kuwa Mkandarasi huyo tayari ameshawasilisha vifaa vyake katika eneo la mradi kwa ajili ya kuanza rasmi ujenzi huo, na kusisitiza kuwa ujenzi wa uwanja huo unasimamiwa na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), mkoa wa Mara.Hakuna kama Samia,
expand...
#nakupenda Tanzania

Quote Reply
Report Edit Delete
 

RAIS SAMIA SULUHU ATOA TZS 35BL KUJENGA UWANJA WA NDEGE WA "MUSOMA AIRPORT " ILI KUMUENZI BABA WA TAIFA KWA VITENDO​

3-25.jpg
Huu ni muonekano wa baadhi ya vifaa vya ujenzi vya mkandarasi Beijing kutoka nchini China ambavyo vinatarajiwa kutumika katika kazi za maboresho ya uwanja wa ndege wa Musoma sehemu aliyozaliwa muasisi wa Taifa hili.

Serikali ya Rais Samia Suluhu imesema inatarajia kutumia kiasi cha TZS 35BL ili kuboresha uwanja wa ndege wa Musoma,

Maboresho hayo ni pamoja na kuweka lami na kuongeza urefu wa uwanja huo ili kuruhusu ndege kubwa na ndogo kuweza kutua.

Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Dkt. Khalfani Haule, amesema kuwa mradi huo ukikamilika utarahisisha huduma za usafiri na usafirishaji kwa wananchi wa Musoma na pia kuchochea biashara ya utalii kupitia Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ambayo ipo mkoani humo.

Ameongeza kuwa Uongozi wa Wilaya tayari umejipanga kwa kuupokea mradi huo na wameahidi kutoa ushirikiano wa kutosha kwa Mkandarasi huyo kwa kumpatia eneo la kuchimba mchanga na kokoto za ujenzi.

Naye, Meneja wa Uwanja wa ndege wa Musoma, Mohammed Bakari, amesema kuwa uwanja huo utajengwa na Kampuni ya kikandarasi ya Beijing kutoka China na unatarajiwa kukamilika mwezi Desemba, 2022.

Amefafanua kuwa Mkandarasi huyo tayari ameshawasilisha vifaa vyake katika eneo la mradi kwa ajili ya kuanza rasmi ujenzi huo, na kusisitiza kuwa ujenzi wa uwanja huo unasimamiwa na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), mkoa wa Mara.Hakuna kama Samia,
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
 

RAIS SAMIA SULUHU ATOA TZS 35BL KUJENGA UWANJA WA NDEGE WA "MUSOMA AIRPORT " ILI KUMUENZI BABA WA TAIFA KWA VITENDO​

3-25.jpg
Huu ni muonekano wa baadhi ya vifaa vya ujenzi vya mkandarasi Beijing kutoka nchini China ambavyo vinatarajiwa kutumika katika kazi za maboresho ya uwanja wa ndege wa Musoma sehemu aliyozaliwa muasisi wa Taifa hili.

Serikali ya Rais Samia Suluhu imesema inatarajia kutumia kiasi cha TZS 35BL ili kuboresha uwanja wa ndege wa Musoma,

Maboresho hayo ni pamoja na kuweka lami na kuongeza urefu wa uwanja huo ili kuruhusu ndege kubwa na ndogo kuweza kutua.

Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Dkt. Khalfani Haule, amesema kuwa mradi huo ukikamilika utarahisisha huduma za usafiri na usafirishaji kwa wananchi wa Musoma na pia kuchochea biashara ya utalii kupitia Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ambayo ipo mkoani humo.

Ameongeza kuwa Uongozi wa Wilaya tayari umejipanga kwa kuupokea mradi huo na wameahidi kutoa ushirikiano wa kutosha kwa Mkandarasi huyo kwa kumpatia eneo la kuchimba mchanga na kokoto za ujenzi.

Naye, Meneja wa Uwanja wa ndege wa Musoma, Mohammed Bakari, amesema kuwa uwanja huo utajengwa na Kampuni ya kikandarasi ya Beijing kutoka China na unatarajiwa kukamilika mwezi Desemba, 2022.

Amefafanua kuwa Mkandarasi huyo tayari ameshawasilisha vifaa vyake katika eneo la mradi kwa ajili ya kuanza rasmi ujenzi huo, na kusisitiza kuwa ujenzi wa uwanja huo unasimamiwa na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), mkoa wa Mara.Hakuna kama Samia,
#Tanzania kaziiendelee
 
Cheap!
Kumuenzi Mwalimu Nyerere kiuhalisia ni kumaliza Bwawa la Nyerere hilo lilikuwa ni wazo lake na kuhamia Dodoma, Nyerere alianzisha Mji Mkuu mpya wa Dodoma.

Yote mawili Bwawa la Nyerere na Dodoma Samia anayapiga vita, kama si kwa maneno basi kwa vitendo, angalau kulingana na matendo ya watendaji wake.
Mengine yote usanii tu.
Always cheap is cheap
 
Wewe ndugu the bulldozer kama upo hapo Musoma mwambie mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya tuna taarifa za upigaji kwenye mradi huo, upigaji wenyewe unahusu malipo ya kuwahamisha wananchi wote wanaopisha mradi.

Kwa taarifa zilizopo wananchi wananchi asilimia kubwa wa eneo kuelekea kanisa la Afrika Inland Church wamelipwa fedha zao ila kuna urasimu wasimamizi wa mradi wamecheza wameacha kulipa nyumba takribani 17 kuelekea eneo maarufu (Cabin) kwa Kibin .

Hii ni hujuma au upigaji unaofanywa na hao watu ili wafoji documents za wamiliki wa nyumba hizo na baadaye ionekane walishalipwa.

Toka pesa zimetoka wananchi walikuwa wanalipwa kwa makundi ilihali kundi la mwisho lilikuwa halijaliowa ndilo hilo la nyumba kama 17 ambazo ni awamuya mwisho ili mkandarasi azugushe wig
o aendelee na ujenzi.

Mkuu wa mkoa Mheshimiwa Ally Hapi hili ni eneo lako la kimamlaka na isitoshe eneo lenyewe linatizama ofisi/geti lako so hawa wananchi kama hawajafika kwako taarifa ndiyo hizi wasije wakaupaka rangi nyeusi uongozi wako ndani ya mkoa huo Mara.

 
Mkuu hebu toa taarifa vizuri hii insue ni serious kama ni kweli,
Wewe ndugu the bulldozer kama upo hapo Musoma mwambie mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya tuna taarifa za upigaji kwenye mradi huo, upigaji wenyewe unahusu malipo ya kuwahamisha wananchi wote wanaopisha mradi.

Kwa taarifa zilizopo wananchi
 
Mkuu hebu toa taarifa vizuri hii insue ni serious kama ni kweli,
Mkuu niliandika Ikajisave kabla sijamaliza.
Kama upo hapo Musoma kuhakikisha hili nenda eneo nilitaja pale juu ufanye investigation yako uone hili jambo.
 
Mkuu hebu toa taarifa vizuri hii insue ni serious kama ni kweli,
Wewe ndugu the bulldozer kama upo hapo Musoma mwambie mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya tuna taarifa za upigaji kwenye mradi huo, upigaji wenyewe unahusu malipo ya kuwahamisha wananchi wote wanaopisha mradi.

Kwa taarifa zilizopo wananchi

Mkuu niliandika Ikajisave kabla sijamaliza.
Kama upo hapo Musoma kuhakikisha hili nenda eneo nilitaja pale juu ufanye investigation yako uone hili jambo.
Hapana sipo Musoma mkuu wangu,
 
Lakini aliona uwanja wa kijijini kwake ni priority ukilinganisha na viwanja vingine vyote.

Marehemu Magufuli hakujenga uwanja wa ndege mpya mahali popote isipokuwa kijijini kwake. Maeneo mengi kulifanyika ukarabati tu lakini kijijini wake alijenga uwanja mkubwa mpya.
 
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
 
Wewe ndugu the bulldozer kama upo hapo Musoma mwambie mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya tuna taarifa za upigaji kwenye mradi huo, upigaji wenyewe unahusu malipo ya kuwahamisha wananchi wote wanaopisha mradi.

Kwa taarifa zilizopo wananchi wananchi asilimia kubwa wa eneo kuelekea kanisa la Afrika Inland Church wamelipwa fedha zao ila kuna urasimu wasimamizi wa mradi wamecheza wameacha kulipa nyumba takribani 17 kuelekea eneo maarufu (Cabin) kwa Kibin .

Hii ni hujuma au upigaji unaofanywa na hao watu ili wafoji documents za wamiliki wa nyumba hizo na baadaye ionekane walishalipwa.

Toka pesa zimetoka wananchi walikuwa wanalipwa kwa makundi ilihali kundi la mwisho lilikuwa halijaliowa ndilo hilo la nyumba kama 17 ambazo ni awamuya mwisho ili mkandarasi azugushe wig
o aendelee na ujenzi.

Mkuu wa mkoa Mheshimiwa Ally Hapi hili ni eneo lako la kimamlaka na isitoshe eneo lenyewe linatizama ofisi/geti lako so hawa wananchi kama hawajafika kwako taarifa ndiyo hizi wasije wakaupaka rangi nyeusi uongozi wako ndani ya mkoa huo Mara.
Hii habari ni kweli
 
Maboresho hayo ni pamoja na kuweka lami na kuongeza urefu wa uwanja huo ili kuruhusu ndege kubwa na ndogo kuweza kutua mkoa wa Mara,,Uwanja huu pia utahudumia na maeneo ya jirani kama Simiyu na Mwanza,
Urefu wa njia utaongezwa kwenda wapi wakati uwanja wenyewe umeshakuwa katikati ya mji? Uwanja hauna extra space ya kurefusha njia ya kurukia. Labda waondoe makazi ya watu upande mmoja.
 
Back
Top Bottom