Rais Samia atoa TZS 35BL Ujenzi wa Musoma Airport kumuenzi Baba wa Taifa

Rais Samia atoa TZS 35BL Ujenzi wa Musoma Airport kumuenzi Baba wa Taifa

Tunazidi kufeli kila kukicha yaani Kuna shule hazina madarasa halafu tuna kazi ya kuenziana tu kweli Kama tz tumelogwa mchawi wetu yupo karibu Sana na sisi kuhakikisha hatufurukuti
Lakini si afadhali huyu anayejenga airport Musoma kuliko yule aliyeamua kujenga uwanja mkubwa kijijini kwao?
 
Lakini aliona uwanja wa kijijini kwake ni priority ukilinganisha na viwanja vingine vyote.

Marehemu Magufuli hakujenga uwanja wa ndege mpya mahali popote isipokuwa kijijini kwake. Maeneo mengi kulifanyika ukarabati tu lakini kijijini wake alijenga uwanja mkubwa mpya.
 
Lakini si afadhali huyu anayejenga airport Musoma kuliko yule aliyeamua kujenga uwanja mkubwa kijijini kwao?
Mkuu usione kidole ukasifu kuwa Kuna juhudi za kufukua wakati mwili mzima bado upo kwenye kifudi kidole ni Nini katika sehemu ya mwili mzima? Ndio mwanzo wao hawa wote ni watoto wa mama mmoja hivyo hakuna afadhali katika nafuu

Sent from my CPH1933 using JamiiForums mobile app
 
Cheap!
Kumuenzi Mwalimu Nyerere kiuhalisia ni kumaliza Bwawa la Nyerere hilo lilikuwa ni wazo lake na kuhamia Dodoma, Nyerere alianzisha Mji Mkuu mpya wa Dodoma.

Yote mawili Bwawa la Nyerere na Dodoma Samia anayapiga vita, kama si kwa maneno basi kwa vitendo, angalau kulingana na matendo ya watendaji wake.
Mengine yote usanii tu.
Sahihi
 
We kweli akili zako ziko ma ta koni,samia anaendelea kutoa fedha kuhenga hilo bwawa la nyerere na ameenda misri kwa nia hiyohiyo leo unasema anaupiga vita?
Hizo fedha katoa samia au serikali ndo imetoa
 
Kwa hiyo kuboresha Uwanja wa Ndege wa Musoma, alikozaliwa Mwalimu sio kumuenzi? Mwendazake alifanya unafiki mkubwa kwa kutoanzisha mradi wowote mpya mkoani Mara, japo alikuwa anajifanya anamuenzi Mwalimu. Mradi pekee aliowazuga watu wa mkoa wa Mara ni kukamilisha (sio kujenga) mawodi mawili matatu ya akinamama wajawazito na watoto kwenye hospitali ya Kwangwa, Musoma zaidi ya hilo hakuna. Hata mradi wa maji wa Bunda aliukuta ukiwa unaendelea tangu enzi za Kikwete. Mama kaamua kutengeneza airport ili kufungua njia nyingine za kiuchumi ikiwemo utalii maana wazungu wakishuka Musoma ni rahisi kwenda Serengeti

Aliyeanzisha huo mchakato ni jpm, mm sio shabiki yake lakn kwa hayo unayoyasema unamsingizia! Pamoja na mchakato huo wa uwanja aliwakumbuka kwa kumalizia hyo hsptl coz ilisahaulika, miradi ya maji mingi sana jpm ameanzisha mara, barabara za rami bunda vijiji na musoma vijijin zilianzia kwake, maboresho makubwa ya shule ya msingi mwisenge, now musoma mjini karbu kila mtaa una rami zote zimejengwa awamu ya tano! So kusema jpm alitenga Mara sio Kweli ni uongo.
 
Tunazidi kufeli kila kukicha yaani Kuna shule hazina madarasa halafu tuna kazi ya kuenziana tu kweli Kama tz tumelogwa mchawi wetu yupo karibu Sana na sisi kuhakikisha hatufurukuti
Uwanja wa ndege wa Musoma una tija katika uchumi wetu kuliko wa chato kwani Musoma ni jirani sana na mvuga kubwa ya Serengeti wageni/watalii wanasafiri umbali mrefu kutoka Kia/dar kwenda Serengeti..... Kikubwa ni wadau kuwekeza kwenye mahotel musoma mjini/, mugumu na bunda kama ilivyo karatu kwani sio watalii wote wanamudu gharama kubwa za hotel zilizo ndani ya mbuga
 

BILIONI 35 KUJENGA UWANJA WA NDEGE MUSOMA KUMUENZI BABA WA TAIFA KWA VITENDO​

3-25.jpg
Huu ni muonekano wa baadhi ya vifaa vya ujenzi vya mkandarasi Beijing kutoka nchini China ambavyo vinatarajiwa kutumika katika kazi za maboresho ya uwanja wa ndege wa Musoma sehemu aliyozaliwa muasisi wa Taifa hili.

Serikali ya Rais Samia Suluhu imesema inatarajia kutumia kiasi cha TZS 35BL ili kuboresha uwanja wa ndege wa Musoma,

Maboresho hayo ni pamoja na kuweka lami na kuongeza urefu wa uwanja huo ili kuruhusu ndege kubwa na ndogo kuweza kutua.

Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Dkt. Khalfani Haule, amesema kuwa mradi huo ukikamilika utarahisisha huduma za usafiri na usafirishaji kwa wananchi wa Musoma na pia kuchochea biashara ya utalii kupitia Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ambayo ipo mkoani humo.

Ameongeza kuwa Uongozi wa Wilaya tayari umejipanga kwa kuupokea mradi huo na wameahidi kutoa ushirikiano wa kutosha kwa Mkandarasi huyo kwa kumpatia eneo la kuchimba mchanga na kokoto za ujenzi.

Naye, Meneja wa Uwanja wa ndege wa Musoma, Mohammed Bakari, amesema kuwa uwanja huo utajengwa na Kampuni ya kikandarasi ya Beijing kutoka China na unatarajiwa kukamilika mwezi Desemba, 2022.

Amefafanua kuwa Mkandarasi huyo tayari ameshawasilisha vifaa vyake katika eneo la mradi kwa ajili ya kuanza rasmi ujenzi huo, na kusisitiza kuwa ujenzi wa uwanja huo unasimamiwa na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), mkoa wa Mara.Hakuna kama Samia,
Daaah kweli Mama anachapa kazi aise duuuh,
 
Cheap!
Kumuenzi Mwalimu Nyerere kiuhalisia ni kumaliza Bwawa la Nyerere hilo lilikuwa ni wazo lake na kuhamia Dodoma, Nyerere alianzisha Mji Mkuu mpya wa Dodoma.

Yote mawili Bwawa la Nyerere na Dodoma Samia anayapiga vita, kama si kwa maneno basi kwa vitendo, angalau kulingana na matendo ya watendaji wake.
Mengine yote usanii tu.
mtateseka kwelikweli aise
 
Raisi wa Tanzania ni tajiri mkumbwa utasikia Raisi ametoa pesa kadha, Raisi ametoa, rais ametoa.... ajili za wanasiasa wanazijua wenyewe.
 
Cheap!
Kumuenzi Mwalimu Nyerere kiuhalisia ni kumaliza Bwawa la Nyerere hilo lilikuwa ni wazo lake na kuhamia Dodoma, Nyerere alianzisha Mji Mkuu mpya wa Dodoma.

Yote mawili Bwawa la Nyerere na Dodoma Samia anayapiga vita, kama si kwa maneno basi kwa vitendo, angalau kulingana na matendo ya watendaji wake.
Mengine yote usanii tu.
Yote haya yanatendekea mkuu
 
Hii mradi kanda ya ziwa tu,,mikoa ya mbeya iringa njombe songea ccm wanawaona mapimbi sana
Huu ni muda wa kuifuta ccm mikoa ya nyanda za juu
Utaifutaje wakati kura zipo kanda ya ziwa? Ccm ni rahisi kufutika ikikataliwa kanda ya ziwa sababu kura za kuwaweka hapo zipo huko...usishangae unapomuona kila mara anakimbilia huko.
 
Cheap!
Kumuenzi Mwalimu Nyerere kiuhalisia ni kumaliza Bwawa la Nyerere hilo lilikuwa ni wazo lake na kuhamia Dodoma, Nyerere alianzisha Mji Mkuu mpya wa Dodoma.

Yote mawili Bwawa la Nyerere na Dodoma Samia anayapiga vita, kama si kwa maneno basi kwa vitendo, angalau kulingana na matendo ya watendaji wake.
Mengine yote usanii tu.
Sidhani kama kuna ukweli kuwa anapinga,ana dira ile ile ya kuendeleza ila in her own style,in her own perception.Ukumbuke kila mtu lazima awe na mbinu zake katika uongozi sio kila kitu unachofanya kinakuwa copy n paste...
 
Cheap!
Kumuenzi Mwalimu Nyerere kiuhalisia ni kumaliza Bwawa la Nyerere hilo lilikuwa ni wazo lake na kuhamia Dodoma, Nyerere alianzisha Mji Mkuu mpya wa Dodoma.

Yote mawili Bwawa la Nyerere na Dodoma Samia anayapiga vita, kama si kwa maneno basi kwa vitendo, angalau kulingana na matendo ya watendaji wake.
Mengine yote usanii tu.
cheap
 

RAIS SAMIA SULUHU ATOA TZS 35BL KUJENGA UWANJA WA NDEGE WA "MUSOMA AIRPORT " ILI KUMUENZI BABA WA TAIFA KWA VITENDO​

3-25.jpg
Huu ni muonekano wa baadhi ya vifaa vya ujenzi vya mkandarasi Beijing kutoka nchini China ambavyo vinatarajiwa kutumika katika kazi za maboresho ya uwanja wa ndege wa Musoma sehemu aliyozaliwa muasisi wa Taifa hili.

Serikali ya Rais Samia Suluhu imesema inatarajia kutumia kiasi cha TZS 35BL ili kuboresha uwanja wa ndege wa Musoma,

Maboresho hayo ni pamoja na kuweka lami na kuongeza urefu wa uwanja huo ili kuruhusu ndege kubwa na ndogo kuweza kutua.

Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Dkt. Khalfani Haule, amesema kuwa mradi huo ukikamilika utarahisisha huduma za usafiri na usafirishaji kwa wananchi wa Musoma na pia kuchochea biashara ya utalii kupitia Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ambayo ipo mkoani humo.

Ameongeza kuwa Uongozi wa Wilaya tayari umejipanga kwa kuupokea mradi huo na wameahidi kutoa ushirikiano wa kutosha kwa Mkandarasi huyo kwa kumpatia eneo la kuchimba mchanga na kokoto za ujenzi.

Naye, Meneja wa Uwanja wa ndege wa Musoma, Mohammed Bakari, amesema kuwa uwanja huo utajengwa na Kampuni ya kikandarasi ya Beijing kutoka China na unatarajiwa kukamilika mwezi Desemba, 2022.

Amefafanua kuwa Mkandarasi huyo tayari ameshawasilisha vifaa vyake katika eneo la mradi kwa ajili ya kuanza rasmi ujenzi huo, na kusisitiza kuwa ujenzi wa uwanja huo unasimamiwa na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), mkoa wa Mara.Hakuna kama Samia,
 
Back
Top Bottom