Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Acheni ujuha nyie watuKwani asingefanya mngemlaumu nani?
Anawezaje haya yote huyu mama?
SGR TZS 10.2T ni Yeye,
SG TZS 6.55T ni Yeye
Madarasa mapya manne kila sekondari nchi nzima,
Madawati 120 kila sekondari nchi nzima
Mbona ukiambiwa utoe tozo au uchangie unakwepa ila unataka serikali ikupe darasa la mwanao?Yani Dona Kantre tunakopa kujenga madarasa 🤣🤣🤣
Serikali ya mh Rais Samia ndio imetoa hizo pesaPesa ya Umma kubinafsishwa kwa mtu ni ukakasi, hamsikii tu?
Aache kuchukua afu uchumi uanguke ataona kama ataendelea kukalia hicho kiti saizi si ameshiba?View attachment 1971419
Endeleeni kushangilia
Maskini ukikwepa mikopo utakufa,huo ujanja hakuwa naoMikopo ni aina nyingine ya ukoloni ndio maana baba yenu mwendazake alikua anajitahidi kuikwepa, kwanza kwanini wanakopa wakati walisema tumekubaliana tozo na Kodi kwenye miamala na mafuta pesa zake zitatumika kujenga hiyo miundombinu waliyoitaja
We kweli unaostahili pole..Aliefikiri kuwakopesha waathirika wa covid ni mwenye akili nyingi kuliko aliyekopa na kutumia hio pesa
Fedha hii hata JK asingeiacha
Fedha hii ingekwenda directly kwenye miradi ya kujenga uchumi
Umeme
Uzalishaji
Usafirishaji
nk
Ila anyway, viatu vya bwana yule ni vikubwa Sana
[emoji23][emoji23]
Kulikua na sababu gani kukopa 1.5trillions wakati tunanunua ndege kwa 4trillionsMaskini ukikwepa mikopo utakufa,huo ujanja hakuwa nao
Kwanini tunaenda kukopa wakati tayari tulishaweka mipango ya ndani kuwezesha hizo sekta ie tozo na Kodi kwenye miamala na mafuta tuliambiwa ni kwa ajili ya mambo yaleyale yanayotajwa kwenye huo mpango wa mkopo wa IMF huoni kuna harufu ya ufisadi hapoAache kuchukua afu uchumi uanguke ataona kama ataendelea kukalia hicho kiti saizi si ameshiba?
Pili kaulize kama Algeria haina mikopo 😝😝🤔🤔
Mwisho mkopo wenu ni consessional na grants wao hawana hiyo room ya kupata mkopo kama huu kulingana na uchumi wao.
Huyu rais ni mchapakazi, huyu ndiye tuliyemhitaji.Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima | Hakika awamu ya Sita Tanzania lazima iwe Tanzania.
" Hakuna kama Samaia "
Baada ya janga la Covid-19 kuvuruga Uchumi wa dunia na sisi tukiwemo, Shirika la fedha duniani ( IMF) pamoja na benki ya dunia ( WB) wameanza kuzisaidia nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania mikopo yenye masharti nafuu ili pesa hizo zitumike kama Economic Stimulus & Relief Fund na hapa muelewe vizuri Tanzania tunapokea mikopo na misaada ila "HATUITEGEMEI " ndio maana hata kwenye bajeti yetu hii ya FY2021|22 katia ya Tshs 36.33trl zilizotengwa pesa zetu ni 91.9% huku misaada na mikopo ikiwa ni 8.1% tu,
IMF tayari imeisaidia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu kiasi cha Tshs 1.3trl kwaajili ya kusisimua Uchumi wake uliodorora kwasababu ya covod-19 kwani niukweli usiopingika Tanzania tumeumizwa zaidi kwenye Sekta za Utalii,biashara na Usafirishaji,
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia pesa hizo na baada ya kutoa madarasa ya kisasa elfu 15 sawa na wastani wa madarasa manne kwenye kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima huku kipaumbele kikiwa ni shule zenye upungufu wa madarasa lakini furaha iliyoje Rais wetu ametoa tena jumla ya madawati 462,795 ambayo ni sawa na Wastani wa madawati 120 kwenye kila Shule ya Sekondari nchi nzima ambazo jumla ya shule hizo ni 3,863.
Sababu za Rais Samia Suluhu Hassan kutoa madarasa mapya manne ya kisasa na madawati mapya 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima ni kuhakikisha wazazi wa watoto watakaojiunga na kidato cha kwanza mwakani katika mwaka wa masomo 2021|2025 hawalipi hata Shilingia mia moja kwani Rais wetu mnyenyekevu ameshalipa pia ada za watoto wote 1M wanaotakiwa kuanza shule siku moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022,hii haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu,
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Nakubaliana na wewe 100%Huyu rais ni mchapakazi, huyu ndiye tuliyemhitaji.
Very Good chief,Kwani umeambiwa wananunua kutoka ndani? Hizo fedha za madawati zinaenda kwa mafundi na wauza mbao wa Tanzania
Kabisa tumepata Rais wa kweliNakubaliana na wewe 100%
Tanzania ilimngojea Samia Suluhu kwa muda mrefu sana,
Leo tumempata lazima tumlinde
Mipango kama imevurugwa na janga utaendelea na kusubiria mipango?Kwanini tunaenda kukopa wakati tayari tulishaweka mipango ya ndani kuwezesha hizo sekta ie tozo na Kodi kwenye miamala na mafuta tuliambiwa ni kwa ajili ya mambo yaleyale yanayotajwa kwenye huo mpango wa mkopo wa IMF huoni kuna harufu ya ufisadi hapo
Majibu mazuri sna hayaMipango kama imevurugwa na janga utaendelea na kusubiria mipango?
Habari njema sana hii.Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima | Hakika awamu ya Sita Tanzania lazima iwe Tanzania.
" Hakuna kama Samaia "
Baada ya janga la Covid-19 kuvuruga Uchumi wa dunia na sisi tukiwemo, Shirika la fedha duniani ( IMF) pamoja na benki ya dunia ( WB) wameanza kuzisaidia nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania mikopo yenye masharti nafuu ili pesa hizo zitumike kama Economic Stimulus & Relief Fund na hapa muelewe vizuri Tanzania tunapokea mikopo na misaada ila "HATUITEGEMEI " ndio maana hata kwenye bajeti yetu hii ya FY2021|22 katia ya Tshs 36.33trl zilizotengwa pesa zetu ni 91.9% huku misaada na mikopo ikiwa ni 8.1% tu,
IMF tayari imeisaidia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu kiasi cha Tshs 1.3trl kwaajili ya kusisimua Uchumi wake uliodorora kwasababu ya covod-19 kwani niukweli usiopingika Tanzania tumeumizwa zaidi kwenye Sekta za Utalii,biashara na Usafirishaji,
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia pesa hizo na baada ya kutoa madarasa ya kisasa elfu 15 sawa na wastani wa madarasa manne kwenye kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima huku kipaumbele kikiwa ni shule zenye upungufu wa madarasa lakini furaha iliyoje Rais wetu ametoa tena jumla ya madawati 462,795 ambayo ni sawa na Wastani wa madawati 120 kwenye kila Shule ya Sekondari nchi nzima ambazo jumla ya shule hizo ni 3,863.
Sababu za Rais Samia Suluhu Hassan kutoa madarasa mapya manne ya kisasa na madawati mapya 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima ni kuhakikisha wazazi wa watoto watakaojiunga na kidato cha kwanza mwakani katika mwaka wa masomo 2021|2025 hawalipi hata Shilingia mia moja kwani Rais wetu mnyenyekevu ameshalipa pia ada za watoto wote 1M wanaotakiwa kuanza shule siku moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022,hii haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu,
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA
Kazi nzuri sana.[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7] Mkuu mimi nimejitoa kuonesha kuwa hata yule waliomdharau kumbe ni bora zaidi,
Wacha tuendelee tu kwani tusiposema sisi hata mawe yatasema hii kazi nzuri na kubwa ya Rais Samia,
#KAZIIENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
Umesema kweli tupu.Hakuna wakupambana na Rais Samia 2025,
Mama ameshashinda uchaguzi wa 2025 kabla ya wakati
#KAZIIENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
Wataka atuteke mara ngapi?Na kila mwananchi ukimsomea hizi habari,anafurahi.Huyu naona anaelekea kuwateka wananchi, naona kila dalili za kufanya vizuri tofauti na tulivyomchukulia katika mtazamo hasi! Taratibu anaeleweka.
Huyu Rais,ni wa kipekee,kila mwananchi akisikia,anahutubia,anajisogeza kwenye TV,asikize mapya.Kumbe kila Shule madawati 120,
Kila shule madarasa 4
Samia analeta raha sana huyu mama,
Mimi nimeshuhudia marais wanne ila huyu ni watofauti sana,
Acha utoto! Hii kauli ya ....NCHI NZIMA tulishaizoea na ina ukakasi. Mlitwambia kila kijiji kitapewa 15M mwishoni mkatuchinjia baharini. Hatuna imani na ahadi zenu tena mjue!!!Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima | Hakika awamu ya Sita Tanzania lazima iwe Tanzania.
" Hakuna kama Samaia "
Baada ya janga la Covid-19 kuvuruga Uchumi wa dunia na sisi tukiwemo, Shirika la fedha duniani ( IMF) pamoja na benki ya dunia ( WB) wameanza kuzisaidia nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania mikopo yenye masharti nafuu ili pesa hizo zitumike kama Economic Stimulus & Relief Fund na hapa muelewe vizuri Tanzania tunapokea mikopo na misaada ila "HATUITEGEMEI " ndio maana hata kwenye bajeti yetu hii ya FY2021|22 katia ya Tshs 36.33trl zilizotengwa pesa zetu ni 91.9% huku misaada na mikopo ikiwa ni 8.1% tu,
IMF tayari imeisaidia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu kiasi cha Tshs 1.3trl kwaajili ya kusisimua Uchumi wake uliodorora kwasababu ya covod-19 kwani niukweli usiopingika Tanzania tumeumizwa zaidi kwenye Sekta za Utalii,biashara na Usafirishaji,
Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia pesa hizo na baada ya kutoa madarasa ya kisasa elfu 15 sawa na wastani wa madarasa manne kwenye kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima huku kipaumbele kikiwa ni shule zenye upungufu wa madarasa lakini furaha iliyoje Rais wetu ametoa tena jumla ya madawati 462,795 ambayo ni sawa na Wastani wa madawati 120 kwenye kila Shule ya Sekondari nchi nzima ambazo jumla ya shule hizo ni 3,863.
Sababu za Rais Samia Suluhu Hassan kutoa madarasa mapya manne ya kisasa na madawati mapya 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima ni kuhakikisha wazazi wa watoto watakaojiunga na kidato cha kwanza mwakani katika mwaka wa masomo 2021|2025 hawalipi hata Shilingia mia moja kwani Rais wetu mnyenyekevu ameshalipa pia ada za watoto wote 1M wanaotakiwa kuanza shule siku moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022,hii haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu,
VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA