Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari nchi nzima

Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari nchi nzima

Kwani asingefanya mngemlaumu nani?



Anawezaje haya yote huyu mama?

SGR TZS 10.2T ni Yeye,
SG TZS 6.55T ni Yeye
Madarasa mapya manne kila sekondari nchi nzima,
Madawati 120 kila sekondari nchi nzima
Acheni ujuha nyie watu
Raisi hatoi pesa mfukoni mwake! Anachokifanya yeye ni kusimamia mgawo tu. Wala siyo HISANI au UPENDELEO. wewe na mm na bibi yako kijijini tutakuja kulipa.
Ni amma kwa kutojua kwako au kutanguliza siasa kuliko nchi kuwadanganya watu kwamba raisi SSH katoa hiki na hiki.
Mmezoeshwa kuongea UONGO na lile fedhuli LENU lilokufa kwa CORONA
MAJUHA WAKUBWA
 
Mikopo ni aina nyingine ya ukoloni ndio maana baba yenu mwendazake alikua anajitahidi kuikwepa, kwanza kwanini wanakopa wakati walisema tumekubaliana tozo na Kodi kwenye miamala na mafuta pesa zake zitatumika kujenga hiyo miundombinu waliyoitaja
Maskini ukikwepa mikopo utakufa,huo ujanja hakuwa nao
 
Aliefikiri kuwakopesha waathirika wa covid ni mwenye akili nyingi kuliko aliyekopa na kutumia hio pesa
Fedha hii hata JK asingeiacha

Fedha hii ingekwenda directly kwenye miradi ya kujenga uchumi
Umeme
Uzalishaji
Usafirishaji
nk

Ila anyway, viatu vya bwana yule ni vikubwa Sana
[emoji23][emoji23]
We kweli unaostahili pole..

Kwako wewe afya haijengi uchumi,umeme haujengi uchumi,utalii haujengi uchumi na uwekezaji kwenye sekta ya elimu haujengi uchumi.

Kujenga uchumi ni kujenga madaraja,umeme tuu 😄😄😄😄😄
 
Aache kuchukua afu uchumi uanguke ataona kama ataendelea kukalia hicho kiti saizi si ameshiba?

Pili kaulize kama Algeria haina mikopo 😝😝🤔🤔

Mwisho mkopo wenu ni consessional na grants wao hawana hiyo room ya kupata mkopo kama huu kulingana na uchumi wao.
Kwanini tunaenda kukopa wakati tayari tulishaweka mipango ya ndani kuwezesha hizo sekta ie tozo na Kodi kwenye miamala na mafuta tuliambiwa ni kwa ajili ya mambo yaleyale yanayotajwa kwenye huo mpango wa mkopo wa IMF huoni kuna harufu ya ufisadi hapo
 

Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima | Hakika awamu ya Sita Tanzania lazima iwe Tanzania.​

" Hakuna kama Samaia "​


Baada ya janga la Covid-19 kuvuruga Uchumi wa dunia na sisi tukiwemo, Shirika la fedha duniani ( IMF) pamoja na benki ya dunia ( WB) wameanza kuzisaidia nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania mikopo yenye masharti nafuu ili pesa hizo zitumike kama Economic Stimulus & Relief Fund na hapa muelewe vizuri Tanzania tunapokea mikopo na misaada ila "HATUITEGEMEI " ndio maana hata kwenye bajeti yetu hii ya FY2021|22 katia ya Tshs 36.33trl zilizotengwa pesa zetu ni 91.9% huku misaada na mikopo ikiwa ni 8.1% tu,

IMF tayari imeisaidia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu kiasi cha Tshs 1.3trl kwaajili ya kusisimua Uchumi wake uliodorora kwasababu ya covod-19 kwani niukweli usiopingika Tanzania tumeumizwa zaidi kwenye Sekta za Utalii,biashara na Usafirishaji,

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia pesa hizo na baada ya kutoa madarasa ya kisasa elfu 15 sawa na wastani wa madarasa manne kwenye kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima huku kipaumbele kikiwa ni shule zenye upungufu wa madarasa lakini furaha iliyoje Rais wetu ametoa tena jumla ya madawati 462,795 ambayo ni sawa na Wastani wa madawati 120 kwenye kila Shule ya Sekondari nchi nzima ambazo jumla ya shule hizo ni 3,863.

Sababu za Rais Samia Suluhu Hassan kutoa madarasa mapya manne ya kisasa na madawati mapya 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima ni kuhakikisha wazazi wa watoto watakaojiunga na kidato cha kwanza mwakani katika mwaka wa masomo 2021|2025 hawalipi hata Shilingia mia moja kwani Rais wetu mnyenyekevu ameshalipa pia ada za watoto wote 1M wanaotakiwa kuanza shule siku moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022,hii haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu,


VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

Huyu rais ni mchapakazi, huyu ndiye tuliyemhitaji.
 
Kwanini tunaenda kukopa wakati tayari tulishaweka mipango ya ndani kuwezesha hizo sekta ie tozo na Kodi kwenye miamala na mafuta tuliambiwa ni kwa ajili ya mambo yaleyale yanayotajwa kwenye huo mpango wa mkopo wa IMF huoni kuna harufu ya ufisadi hapo
Mipango kama imevurugwa na janga utaendelea na kusubiria mipango?
 

Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima | Hakika awamu ya Sita Tanzania lazima iwe Tanzania.​

" Hakuna kama Samaia "​


Baada ya janga la Covid-19 kuvuruga Uchumi wa dunia na sisi tukiwemo, Shirika la fedha duniani ( IMF) pamoja na benki ya dunia ( WB) wameanza kuzisaidia nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania mikopo yenye masharti nafuu ili pesa hizo zitumike kama Economic Stimulus & Relief Fund na hapa muelewe vizuri Tanzania tunapokea mikopo na misaada ila "HATUITEGEMEI " ndio maana hata kwenye bajeti yetu hii ya FY2021|22 katia ya Tshs 36.33trl zilizotengwa pesa zetu ni 91.9% huku misaada na mikopo ikiwa ni 8.1% tu,

IMF tayari imeisaidia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu kiasi cha Tshs 1.3trl kwaajili ya kusisimua Uchumi wake uliodorora kwasababu ya covod-19 kwani niukweli usiopingika Tanzania tumeumizwa zaidi kwenye Sekta za Utalii,biashara na Usafirishaji,

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia pesa hizo na baada ya kutoa madarasa ya kisasa elfu 15 sawa na wastani wa madarasa manne kwenye kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima huku kipaumbele kikiwa ni shule zenye upungufu wa madarasa lakini furaha iliyoje Rais wetu ametoa tena jumla ya madawati 462,795 ambayo ni sawa na Wastani wa madawati 120 kwenye kila Shule ya Sekondari nchi nzima ambazo jumla ya shule hizo ni 3,863.

Sababu za Rais Samia Suluhu Hassan kutoa madarasa mapya manne ya kisasa na madawati mapya 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima ni kuhakikisha wazazi wa watoto watakaojiunga na kidato cha kwanza mwakani katika mwaka wa masomo 2021|2025 hawalipi hata Shilingia mia moja kwani Rais wetu mnyenyekevu ameshalipa pia ada za watoto wote 1M wanaotakiwa kuanza shule siku moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022,hii haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu,


VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

Habari njema sana hii.
 
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7] Mkuu mimi nimejitoa kuonesha kuwa hata yule waliomdharau kumbe ni bora zaidi,

Wacha tuendelee tu kwani tusiposema sisi hata mawe yatasema hii kazi nzuri na kubwa ya Rais Samia,


#KAZIIENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
Kazi nzuri sana.
 
Huyu naona anaelekea kuwateka wananchi, naona kila dalili za kufanya vizuri tofauti na tulivyomchukulia katika mtazamo hasi! Taratibu anaeleweka.
Wataka atuteke mara ngapi?Na kila mwananchi ukimsomea hizi habari,anafurahi.
 
Kumbe kila Shule madawati 120,
Kila shule madarasa 4
Samia analeta raha sana huyu mama,
Mimi nimeshuhudia marais wanne ila huyu ni watofauti sana,
Huyu Rais,ni wa kipekee,kila mwananchi akisikia,anahutubia,anajisogeza kwenye TV,asikize mapya.
 

Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima | Hakika awamu ya Sita Tanzania lazima iwe Tanzania.​

" Hakuna kama Samaia "​


Baada ya janga la Covid-19 kuvuruga Uchumi wa dunia na sisi tukiwemo, Shirika la fedha duniani ( IMF) pamoja na benki ya dunia ( WB) wameanza kuzisaidia nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania mikopo yenye masharti nafuu ili pesa hizo zitumike kama Economic Stimulus & Relief Fund na hapa muelewe vizuri Tanzania tunapokea mikopo na misaada ila "HATUITEGEMEI " ndio maana hata kwenye bajeti yetu hii ya FY2021|22 katia ya Tshs 36.33trl zilizotengwa pesa zetu ni 91.9% huku misaada na mikopo ikiwa ni 8.1% tu,

IMF tayari imeisaidia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu kiasi cha Tshs 1.3trl kwaajili ya kusisimua Uchumi wake uliodorora kwasababu ya covod-19 kwani niukweli usiopingika Tanzania tumeumizwa zaidi kwenye Sekta za Utalii,biashara na Usafirishaji,

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia pesa hizo na baada ya kutoa madarasa ya kisasa elfu 15 sawa na wastani wa madarasa manne kwenye kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima huku kipaumbele kikiwa ni shule zenye upungufu wa madarasa lakini furaha iliyoje Rais wetu ametoa tena jumla ya madawati 462,795 ambayo ni sawa na Wastani wa madawati 120 kwenye kila Shule ya Sekondari nchi nzima ambazo jumla ya shule hizo ni 3,863.

Sababu za Rais Samia Suluhu Hassan kutoa madarasa mapya manne ya kisasa na madawati mapya 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima ni kuhakikisha wazazi wa watoto watakaojiunga na kidato cha kwanza mwakani katika mwaka wa masomo 2021|2025 hawalipi hata Shilingia mia moja kwani Rais wetu mnyenyekevu ameshalipa pia ada za watoto wote 1M wanaotakiwa kuanza shule siku moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022,hii haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu,


VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

Acha utoto! Hii kauli ya ....NCHI NZIMA tulishaizoea na ina ukakasi. Mlitwambia kila kijiji kitapewa 15M mwishoni mkatuchinjia baharini. Hatuna imani na ahadi zenu tena mjue!!!
 
Back
Top Bottom