Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zawadi alizomwaga kipindi cha Pasaka zikowapi? msipoleta picha Samia ni mdini
Ameshindwa tu kutupenda wafanyakazi na Wakristo [emoji1787][emoji1787]Mama huyu anaupendo wa dhati kabisa kwa Watanzania wake,
Asante mama lake,
Zigatia utamaduni wa hizo dini katika sikuu kuu zao, ni tofauti na zawadi pia ni tofauti ndo maana waona omba omba wanaenda kukaa karibu na misikiti sio karibu na makanisaZawadi alizomwaga kipindi cha Pasaka zikowapi? msipoleta picha Samia ni mdini
Full stop.
Mbona Christmas na pasaka hakusikika kutoa misaada kwa wahitaji?
Zigatia utamaduni wa hizo dini katika sikuu kuu zao, ni tofauti na zawadi pia ni tofauti ndo maana waona omba omba wanaenda kukaa karibu na misikiti sio karibu na makanisa
Zigatia utamaduni wa hizo dini katika sikuu kuu zao, ni tofauti na zawadi pia ni tofauti ndo maana waona omba omba wanaenda kukaa karibu na misikiti sio karibu na makanisa
DAAH HII KWELII.....HIVI KWANINI OMBA OMBA HUKAA KARIBU NA MISIKITI HASA SIKU YA IJUMAA.. ILA MAKANISANI HUWA SIWAONIZigatia utamaduni wa hizo dini katika sikuu kuu zao, ni tofauti na zawadi pia ni tofauti ndo maana waona omba omba wanaenda kukaa karibu na misikiti sio karibu na makanisa
Zigatia utamaduni wa hizo dini katika sikuu kuu zao, ni tofauti na zawadi pia ni tofauti ndo maana waona omba omba wanaenda kukaa karibu na misikiti sio karibu na makanisa
Nami nilitaka kuuliza hivyo siku ya pasaka alipeleka wapi na wapi.TumpongezeZawadi alizomwaga kipindi cha Pasaka zikowapi? msipoleta picha Samia ni mdini
Full stop.
Soma ulichoandikaDAAH HII KWELII.....HIVI KWANINI OMBA OMBA HUKAA KARIBU NA MISIKITI HASA SIKU YA IJUMAA.. ILA MAKANISANI HUWA SIWAONI
Mama huyu anaupendo wa dhati kabisa kwa Watanzania wake,
Asante mama lake,
Ushamba mwingi,Soma ulichoandika
Nami shida yangu ipo hapo tuNi ktk kipindi cha awamu ya 6 ndiyo naona wazanzibar na waislam wanasifia kila kitu anachokifanya rais.
Wazanzibari wanasema tusizitaje kero za muungano. Tutaje mazuri ya muungano.
Waislamu wanasema SSH kaupiga mwingi kwa kutoa zawadi za Idd ili hali pasaka hajatoa hata Senti.
DAAH HII KWELII.....HIVI KWANINI OMBA OMBA HUKAA KARIBU NA MISIKITI HASA SIKU YA IJUMAA.. ILA MAKANISANI HUWA SIWAONI
Mbona hii kagawa kwa watu wa dini zote na hakupeleka misikitini.Zawadi alizomwaga kipindi cha Pasaka zikowapi? msipoleta picha Samia ni mdini
Full stop.
Tuache udini, kama kuna kiongozi alikuwa mdini, mkanda lakini mchapa kazi alikuwa ni MAGUFULI, Wateule wa Serekali yake wengi walikuwa wa Dini moja na dhehebu moja na kanda yake, lakini hatukusubutu kukemea wala kulizungumzia.Ameshindwa tu kutupenda wafanyakazi na Wakristo [emoji1787][emoji1787]
Kwa kifupi unamaanisha wote wanaomuunga mkono SSH ni WAISLAMU NA WANZANZIBAR na wanaompinga ni WAKRISTO NA WATANGANYIKA.Ni ktk kipindi cha awamu ya 6 ndiyo naona wazanzibar na waislam wanasifia kila kitu anachokifanya rais.
Wazanzibari wanasema tusizitaje kero za muungano. Tutaje mazuri ya muungano.
Waislamu wanasema SSH kaupiga mwingi kwa kutoa zawadi za Idd ili hali pasaka hajatoa hata Senti.