Rais Samia atoa zawadi za Eid kwa Wahitaji wa dini mbalimbali hapa nchini

DAAH HII KWELII.....HIVI KWANINI OMBA OMBA HUKAA KARIBU NA MISIKITI HASA SIKU YA IJUMAA.. ILA MAKANISANI HUWA SIWAONI

Kwa sababu Waislam hutoa kwa wahitaji tofauti na wanaomchangia mtu au taasisi Halafu wakijenga shule au hospitali wanaenda kulipia tena michango yao hiyo hiyo
Huwa najiuliza sana hili swali
Elon musk hapa kasema ukweli
 
Umenifurahisha sana dadake,
 
Mwenyezi Mungu ambariki na kumpa umri mrefu
 
Kwa kifupi unamaanisha wote wanaomuunga mkono SSH ni WAISLAMU NA WANZANZIBAR na wanaompinga ni WAKRISTO NA WATANGANYIKA.

HII NCHI IMEJAA VILAZA KUANZIA VIONGOZI HADI WANANCHI WA KAWAIDA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…