Rais Samia atua Chuo cha Taifa cha Ulinzi na kutoa Mhadhara juu ya Falsafa yake ya 4R katika kuongoza serikali yake

Huku wafanyabiahara wamefunga maduka
 
Nenda kenya ukaungane na wakenya wenzako.sisi Watanzania tunamsikiliza Rais wetu mpendwa na tuna imani na matumaini makubwa sana na uongozi wake pamoja na serikali yake.ndio sababu ya kuwa wasikivu na kumwamini pamoja kuendelea kumuunga mkono
Mjinga wewe
Sisi wengine sio mumbavu chawa kama wewe chawa mpumbavu

Raisi atoe kauli maduka yanafungwa asitekekezee watu wadogo atoe kauli na solution kama raisi asijifiche kwenye majukumu mengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…