Rais Samia atua mkoani Kilimanjaro tayari kuzungumza na Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Ametua Mkoani Kilimanjaro na kupokelewa na viongozi mbalimbali wa mkoa huo pamoja na Arusha kwa ajili ya shughuli nzito ya hapo kesho .

Ambapo Rais wetu mpendwa anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi katika kufunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Wakuu waandamizi wa Jeshi la Polisi pamoja na maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi ,yatakayofanyika katika shule ya Polisi Tanzania,Moshi Kilimanjaro

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Nimefurahi kumwona compatriot P.M hapo....

#Kazi Iendelee😍
 
Chifu Hangaya anatosha sana tu....

Nchi ni zaidi ya siasa za mitandaoni na majukwaani......

#Nchi Kwanza😍

#UTAWALA HAUUZWI SOKONI
 
kwenye picha pale kati namwona mtoto wa mfalme wa oman
 
BASHITE kaenda fanya nini hapo? Angekuwa ametua arusha nursid babu angeenda?!
 
BASHITE kaenda fanya nini hapo? Angekuwa ametua arusha nursid babu angeenda?!
Unamzungumzia mh.mkuu wa mkoa Paul Christian Makonda ?!!

Huyo mwaminifu sana....sanaaa.....lazima ampokee mh.Rais kwani ni jirani tu hapo......

#Nchi Kwanza😍
 
Can't wait to see maofisa wakibubujikwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…