Rais Samia atua mkoani Kilimanjaro tayari kuzungumza na Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi

Chama cha hovyo kuwahi kutokea
 
Kuna wagonjwa wa milembe wako mitaani wanatumiwa kusifia ujinga na upuuzi
 
Daah...hadi nimeangalia tena....kumbe kweli n Makonda! Katupia pigo za kiAsia hadi nikamsahau.
Hata mie aisee nikarudi maana siku-pay attention Kwa kuwa nimemwona mkuu wa Kilimanjaro nikarudi tena nikasema mbona hayupo ndo nikarudi tena na kupitia nyuso zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…