Rais Samia atua mkoani Kilimanjaro tayari kuzungumza na Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi

Mazingira ya kuingia getini mmeweka sawa lakini

Ova
 
Just imagine huyu afisa ana kanyota kamoja na amevaa ndula zimevurugwa nanna hii kama ulimi WA umbwa za kolokoloni na bado haoni haja ya kusapoti movement ya kuboresha maisha yake na wanae. Bulukenge wahedi.
Mkuu, ndio maana hao wanachukuliwa wale waliofeli na hawana uwezo wa kuendelea kimasomo.

Ni rahisi sana kumuamrisha mtu mjinga kuliko mwerevu , mjinga ataenda kufanya kila atakachoambiwa ila mwerevu atakuwa na maswali na kipimo.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…