Rais Samia atua Namibia kumzika Hayati Dkt. Geingob

Rais Samia atua Namibia kumzika Hayati Dkt. Geingob

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo, Ijumaa Februari 23.2024 amewasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako ulioko jijini Windhoek, nchini Namibia kwa ajili ya kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa Rais wa Namibia Hayati Dkt. Hage Geingob

20240223_203439.jpg


20240223_203426.jpg


20240223_203440.jpg


Shughuli za mazishi ya kitaifa ya Hayati Dkt. Geingob zinatarajia kufanyika katika jiji la Windhoek nchini humo kesho, Jumamosi Februari 24.2024
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo, Ijumaa Februari 23.2024 amewasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako ulioko jijini Windhoek..
Khaaa!!
 
kwen safari ya kwenda msibani sioni kulaumiwa kwake.
apumzike kwa amani raisi aliyefariki.
 
Back
Top Bottom