Rais Samia atua Namibia kumzika Hayati Dkt. Geingob

Rais Samia atua Namibia kumzika Hayati Dkt. Geingob

Kazi tunayo aisee.

Si alikua Ethiopia juzi tu hapo na tena ni baada ya kutoka Vatican, Norway, na kwenye mazishi ya Lowasa.

Ofisini anakaa saa ngapi huyu??
Unataka awe anakaa ofisini kama zuzu?, safari zote huwa za kikazi, hii ya leo ni ya mazishi.
 
Hivi hizi safari huwa anapanga yeye au anapangiwa watu wapige posho
Safari ya mazishi imepangwa na kifo mkuu.

Marais wa nje wamekuja kumzika rais wetu alipofariki.

Ni wajibu wetu kumtuma rais wetu aende kuzika marais wa nje wa nchi zenye uhusiano mzuri nasi.

Ndiyo diplomasia ya kimataifa inavyokwenda hivyo.

Hii kanuni ya diplomasia inaitwa "reciprocity".

Mnaweza kumlaumu Samia kwenye safari nyingine, lakini si kwa safari ya kwenda kumzika rais wa Namibia.

Namibia na Tanzania ni nchi zenye uhusiano mrefu sana.

Tumewa host wakimbizi wa Namibia wamekaa Tanzania mpaka wamepata uhuru.

Sasa tuje kuwatupa mkono leo kwenye msiba wa rais wao?
 
Kazi tunayo aisee.

Si alikua Ethiopia juzi tu hapo na tena ni baada ya kutoka Vatican, Norway, na kwenye mazishi ya Lowasa.

Ofisini anakaa saa ngapi huyu??
Yule Mama kasha changanyikiwa,anajifariji na safari tu!
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo, Ijumaa Februari 23.2024 amewasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako ulioko jijini Windhoek, nchini Namibia kwa ajili ya kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa Rais wa Namibia Hayati Dkt. Hage Geingob

View attachment 2913715

View attachment 2913717

View attachment 2913716

Shughuli za mazishi ya kitaifa ya Hayati Dkt. Geingob zinatarajia kufanyika katika jiji la Windhoek nchini humo kesho, Jumamosi Februari 24.2024
Dah
Anyways Mungu ampokee mja wake
 
Samia, she is really stateswoman. Pride of Tanzania and Africa.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo, Ijumaa Februari 23.2024 amewasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako ulioko jijini Windhoek, nchini Namibia kwa ajili ya kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa Rais wa Namibia Hayati Dkt. Hage Geingob

View attachment 2913715

View attachment 2913717

View attachment 2913716

Shughuli za mazishi ya kitaifa ya Hayati Dkt. Geingob zinatarajia kufanyika katika jiji la Windhoek nchini humo kesho, Jumamosi Februari 24.2024
Hivi huo mdudu unatumia fuel kidogo kuliko Gulf stream
 
Back
Top Bottom