Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Unataka awe anakaa ofisini kama zuzu?, safari zote huwa za kikazi, hii ya leo ni ya mazishi.Kazi tunayo aisee.
Si alikua Ethiopia juzi tu hapo na tena ni baada ya kutoka Vatican, Norway, na kwenye mazishi ya Lowasa.
Ofisini anakaa saa ngapi huyu??