Khaaa!!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo, Ijumaa Februari 23.2024 amewasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako ulioko jijini Windhoek..
Jamani!!! Huyu mama anatoa wapi USD za kusafiria Kila WAKATI??Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo, Ijumaa Februari 23.2024 amewasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako ulioko jijini Windhoek...
Kuwa mzarendoooJamani!!! Huyu mama anatoa wapi USD za kusafiria Kila WAKATI??
Kodi ninalipia Kwa Tsh yeye anatumia USD kusarifiria nje ya nchi, na nchi inalia hakuna USD.Kuwa mzarendooo
We ripaa kodi [emoji1]
Ova
Raisi ni taasisi.Hivi hizi safari huwa anapanga yeye au anapangiwa watu wapige posho
Mwenyekiti sema tu lisije kukukaba 🤣🤣🤣🤔🤔🤔🤔
Kazi tunayo aisee.
Si alikua Ethiopia juzi tu hapo na tena ni baada ya kutoka Vatican, Norway, na kwenye mazishi ya Lowasa.
Ofisini anakaa saa ngapi huyu??
Ndio rais watanzania wanapenda, wanataka kuona muda wote akiwa kwenye ndege akitalii dunia..Mama kiguu na njia.Miguu yake itakuwa na magwambala .
Hapo wasukuma watakuwa wananuna sana kuona ndege waliyo inunua wao(huwa wanaona kama walitoa fedha mifukoni mwao) iki...
Inachukua abiria wangapi hii ndege?Hii ni ile Boeing Max 737-9 Max, ndege ya mwisho kabisa kupokelewa nchini...
Maza huwa anaitumia hii mpya....
Hii kumbe ilinunuliwa wakati wa maza? Nafuta kauli yanguHii ni ile Boeing Max 737-9 Max, ndege ya mwisho kabisa kupokelewa nchini...
Maza huwa anaitumia hii mpya....