Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Unataka awe anakaa ofisini kama zuzu?, safari zote huwa za kikazi, hii ya leo ni ya mazishi.Kazi tunayo aisee.
Si alikua Ethiopia juzi tu hapo na tena ni baada ya kutoka Vatican, Norway, na kwenye mazishi ya Lowasa.
Ofisini anakaa saa ngapi huyu??
5-180+Inachukua abiria wangapi hii ndege?
Kwa hiyo huko kaondoka na watu wote hao au?5-180+
Acha tu linikabe nikufe 🤣Mwenyekiti sema tu lisije kukukaba 🤣🤣🤣
Yaani tulipigwa hapa.Ndio rais watanzania wanaopenda, wanataka kuona muda wote akiwa kwenye ndege...
Ila kwa huyu bibi hapana, tulikosewa sana Watanzania
Hii kumbe ilinunuliwa wakati wa maza? Nafuta kauli yangu
Inachukua abiria wangapi hii ndege?
Safari ya mazishi imepangwa na kifo mkuu.Hivi hizi safari huwa anapanga yeye au anapangiwa watu wapige posho
Yule Mama kasha changanyikiwa,anajifariji na safari tu!Kazi tunayo aisee.
Si alikua Ethiopia juzi tu hapo na tena ni baada ya kutoka Vatican, Norway, na kwenye mazishi ya Lowasa.
Ofisini anakaa saa ngapi huyu??
Kwa hiyo huko kaondoka na watu wote hao au?
DahRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo, Ijumaa Februari 23.2024 amewasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako ulioko jijini Windhoek, nchini Namibia kwa ajili ya kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa Rais wa Namibia Hayati Dkt. Hage Geingob
View attachment 2913715
View attachment 2913717
View attachment 2913716
Shughuli za mazishi ya kitaifa ya Hayati Dkt. Geingob zinatarajia kufanyika katika jiji la Windhoek nchini humo kesho, Jumamosi Februari 24.2024
Sawa ila muwe naye makini anaweza kutoa rambirambi ya dola milioni moja kama alivyotoa kule Uturuki wakati huku nyumbani kuna uhaba wa dola!Unataka awe anakaa ofisini kama zuzu?, safari zote huwa za kikazi, hii ya leo ni ya mazishi.
Mara pa,Hangaya katoa rambirambi ya dola milioni moja!Acha tu linikabe nikufe [emoji1787]
Hivi hizi safari huwa anapanga yeye au anapangiwa watu wapige posho
Hivi huo mdudu unatumia fuel kidogo kuliko Gulf streamRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo, Ijumaa Februari 23.2024 amewasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako ulioko jijini Windhoek, nchini Namibia kwa ajili ya kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa Rais wa Namibia Hayati Dkt. Hage Geingob
View attachment 2913715
View attachment 2913717
View attachment 2913716
Shughuli za mazishi ya kitaifa ya Hayati Dkt. Geingob zinatarajia kufanyika katika jiji la Windhoek nchini humo kesho, Jumamosi Februari 24.2024
Utakua huna kisogo wewe, ukimjukisha huyo mamako na JK.Samia, she is really stateswoman. Pride of Tanzania and Africa.
Msafara haukosi watu 100+