Rais Samia Atuma Salamu Nzito za Pongezi kwa Rais wa Afrika kusini kwa kuchaguliwa kwake Awamu ya pili.

Rubbish
 
Ungalijua DA ni chama cha akinanani usingesifia hili. Unaingia katika kuiongoza nchi na wale watesi wenu wa hapo awali halafu unajidai kuiongoza nchi kwa kipindi kingine.
 
Ungalijua DA ni chama cha akinanani usingesifia hili. Unaingia katika kuiongoza nchi na wale watesi wenu wa hapo awali halafu unajidai kuiongoza nchi kwa kipindi kingine.
Embu niambie kwanini wananchi wamechagua na kukipatia kura chama cha Democratic Alliance? Kwamba wao hawaifahamu historia ya Taifa lao? Kwanini wasikipe EFF cha Malema au kile cha Zuma cha wapigania uhuru? Tambua kuwa wananchi wamevuka mstari wa ubaguzi na kuangalia chama chenye sera na ajenda zenye kugusa maisha yao ya kila siku. Kuna faida gani ya kung'ang'ania mtu anayekuumiza ,kukutesa,kukunyonya na kukuangamiza? Muache kidogo na kukaa naye mbali kidogo ili ajuwe kuwa hufurahii matendo yake .akijisahihisha na kujirekebisha utamrudia baadaye.
 
Acha uvivu na papala zako hapa.kioi ambacho hujaelewa hapo .taarifa ni kuwa Rais Samia kampongeza Mheshimiwa Ramaphosa kwa kuchaguliwa kwake Awamu ya pili.na na kuahidi kuendelea kushirikiana naye kuendeleza undugu na ushirikiano wetu wa kihistoria.
Safi sana. Embu angalia sasa ulivyoandika kwa ufupi na fasaha.

Ndiyo hivyo ulitakiwa kuandika.
 
Umenena vyema. Hata hapa Peru tujiulize kama kunavfaida gani kung'ang'snia hawa watesi wetu? Muda utaongea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…