Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
kwamba ni mshua wako. usiamini kila story.Makonda akirudi kwenye madaraka nitaamini hii story inayotrend kuwa ni kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwamba ni mshua wako. usiamini kila story.Makonda akirudi kwenye madaraka nitaamini hii story inayotrend kuwa ni kweli
Mawazo ya kiwaki haya, tuna watanzania more than 60M why should we keep on recycling [emoji748] old staff??Ampe na teuzi.
Tz ni shamba la maajabu na maigizo. Duniani kote hayapoRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametunikuwa tuzo ya Kutambua mchango wake kwenye mapambano dhidi ya dawa za Kulevya nchini.
Tuzo hiyo imekabidhiwa kwake na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliyeiwasilisha kwa niaba ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA).
Rais Samia amepewa tuzo hiyo katika maadhimisho ya kitaifa ya kupiga vita matumizi na biashara ya dawa hizo duniani ambayo kitaifa yamefanyika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha leo Jumapili Juni 25, 2023.
Bro mi sipp hukokwamba ni mshua wako. usiamini kila story.
Watu wengi waliyokamatwa kipindi cha Paul,ilionekana walibambikiwaMakonda alikuwa anawabambika watu kesi A madawa ya kulevya halafu anapewa magari ya watu jambazi yule.
Usibishe.. Miujiza Huwa ipoSahau kuhusu hilo
Sawa kiwaki, Ila alivyopewa tuzo sio kiwaki?,Mawazo ya kiwaki haya, tuna watanzania more than 60M why should we keep on recycling [emoji748] old staff??
Umesema kweli sana!Kwenye tawala za kiafrika huwa kuna ujinga mwingi sana. Na unaweza kuta huo usanii hata rais anaona ni kweli anapambana na dawa za kulevya.
Naye anapokea kweli ,hata aibu hana jamaniKwenye tawala za kiafrika huwa kuna ujinga mwingi sana. Na unaweza kuta huo usanii hata rais anaona ni kweli anapambana na dawa za kulevya.
Tuzo za kinafkipale mteuliwa anapotoa tuzo kwa mteuzi wake what do you expect.
Hata kutamka tu madawa ya kulevya hamna sehem hata mmoja aliyowahi kulitamka hilo neno .Bi mchele angeona tu aibu asiichukueKweli kajipa;lini alipiga vita madawa na wapi?