Rais Samia Atunukiwa Tuzo Mapambano Dhidi ya Dawa za Kulevya

Tz ni shamba la maajabu na maigizo. Duniani kote hayapo
 
Makonda alikuwa anawabambika watu kesi A madawa ya kulevya halafu anapewa magari ya watu jambazi yule.
 
akisafishwa na kuondolewa international sanctions aliyowekewa, Paul Christian Makonda Bashite anaweza kua kiongozi mzuri tu. Kumuingiza serikalini akiwa na kikwazo kimataifa ni kuikaribisha Jumuiya ya kimataifa kuanza kuchunguza serikali yako inafanya nini na bwana huyu.
 
Mawazo ya kiwaki haya, tuna watanzania more than 60M why should we keep on recycling [emoji748] old staff??
Sawa kiwaki, Ila alivyopewa tuzo sio kiwaki?,
 
Kwenye tawala za kiafrika huwa kuna ujinga mwingi sana. Na unaweza kuta huo usanii hata rais anaona ni kweli anapambana na dawa za kulevya.
Naye anapokea kweli ,hata aibu hana jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…