Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu yetu katika imaniAcheni fyoko fyoko
Kabila la yudaKama Simba ni Yesu na huyo Yuda ni nani??
Acha upumbavuWewe ni mkristo? Au unadandia treni front. Sisi wenyewe wakristo tumeona poa tu we wa dini ya mataifa unalalamika.
Relax mkuu, mambo mengine let's it go usiwe very serious, President Samia amejaribu sana kuleta kitu ambacho watanzania wengi hatukuwa nacho, inaonekana sisi timeshares maisha ya kuburuzwa ulioandamana na ukatili but our President now anatufungulia njia tofauti kabisa na watangulizi wake, welldone my President ILA binafsi ccm siwapendi maana wameivuruga nchi mno,...tuna haki ya to disagreeKweli kumwita magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo. Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda.
Rais kweli hapa si sawa kabisa.
Sisi ni wingi tumia umojaWewe ni mkristo? Au unadandia treni front. Sisi wenyewe wakristo tumeona poa tu we wa dini ya mataifa unalalamika.
Hata mashoga na WASAGAJI walimchukia kweli mwendazakeMafisadi, majangili, wauza madawa ya kulevya na wahuni walimchukia sana JPM.
Mtu wa pwani yule!.Fuatilia mapigo ya sauti(intonation)alivyoitamka hiyo "Simba wa Yuda"!Hutopata shida.Kweli kumwita magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo. Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda.
Rais kweli hapa si sawa kabisa.