Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna anayekataa kwamba Rais Samia anaponyesha majeraha yaliyoletwa na awamu zilizopita hususani ya tano lakini Simba wa Yuda si jina la kumfananisha na mwanadamu.Relax mkuu, mambo mengine let's it go usiwe very serious, President Samia amejaribu sana kuleta kitu ambacho watanzania wengi hatukuwa nacho, inaonekana sisi timeshares maisha ya kuburuzwa ulioandamana na ukatili but our President now anatufungulia njia tofauti kabisa na watangulizi wake, welldone my President ILA binafsi ccm siwapendi maana wameivuruga nchi mno,...tuna haki ya to disagree
Kabila la yuda
Bila shaka Dkt Shoo atatoa tamko kukemeawachungaji na mapadri wajitokeze kukemea
Hakuna anayekataa kwamba Rais Samia anaponyesha majeraha yaliyoletwa na awamu zilizopita hususani ya tano lakini Simba wa Yuda si jina la kumfananisha na mwanadamu.
Kweli kumwita Hayati Magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo.
Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda.
Rais kweli h
Kweli kumwita Hayati Magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo.
Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda.
Rais kweli hapa si sawa kabisa.
Haya hayakuhusu, wewe endelea kutembea na katambuga ukiamini zitakufikisha mbinguni.Sasa Mbona huyo Yesu hapo mnamfanisha na "Mnyama Simba"--- kipi bora Yesu afananishwe na mtu au afananishwe na mnyama wa porini??![emoji3]
Kwa hiyoo?Mafisadi, majangili, wauza madawa ya kulevya na wahuni walimchukia sana JPM.
Yesu alivaa viatu gani ,katambuga au moccasins we pimbiHaya hayakuhusu, wewe endelea kutembea na katambuga ukiamini zitakufikisha mbinguni.
Naamini Bwana Yesu Kristo atajitetea mwenyewe.Hapa ndipo maneno kutoka Timetheo wa pili sura ya nne ule mstari wa saba huwa yanatamkwa kidhihaka. Inabidi maaskofu, wachungaji na mapadri wajitokeze kukemea
Hapana wewe si mkristo wa kweli. Mimi ninaemwamini Yesu Kristo. Ninaposema Simba wa Yuda. Ninapata upako kabisa. Niliposikia anafananishwa na Magufuli kweli nilipata sikitiko kwa kweli.Wewe ni mkristo? Au unadandia treni front. Sisi wenyewe wakristo tumeona poa tu we wa dini ya mataifa unalalamika.