Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 5,039
- 6,253
Dada ni mdini sana, kipindi kile alikua anasifu kila kituHuyu dada analeta nongwa kisa jina tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada ni mdini sana, kipindi kile alikua anasifu kila kituHuyu dada analeta nongwa kisa jina tu.
KabisaMafisadi, majangili, wauza madawa ya kulevya na wahuni walimchukia sana JPM.
Acha uwongoKawawa aliitwa Simba wa Yuda, alikuwa na utukufu upi wenye kufanana na Yesu?. Mbona jina lake lilidumu na hakuna hata mmoja aliyeleta nongwa za kujifanya anamjua sana Yesu?.
aliitwa simba wa vita we mburula.Kawawa aliitwa Simba wa Yuda, alikuwa na utukufu upi wenye kufanana na Yesu?. Mbona jina lake lilidumu na hakuna hata mmoja aliyeleta nongwa za kujifanya anamjua sana Yesu?.
Jirani yake Yesu aliomba msamaha kwa maneno yanayofanana na yale...Alikuwa anampiga dongo JPM. Ni mambo ya kawaida kwenye siasa.
Acha uongo wewe. Kawawa aliitwa Simba wa vita. Unapata nini kuandika uwongo kama huu ?Ushindwe kabisa na ulegeeKawawa aliitwa Simba wa Yuda, alikuwa na utukufu upi wenye kufanana na Yesu?. Mbona jina lake lilidumu na hakuna hata mmoja aliyeleta nongwa za kujifanya anamjua sana Yesu?.
Yesu ni Simba wa Yuda.Kasome geneology ya Yesu kwenye kitabu cha Mathayo 1.
Wewe utakuwa,ni mkristo fake maana mnasemaga Mungu hapiganiwi anajipigania mwenyeweKweli kumwita Hayati Magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo.
Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda.
Rais kweli hapa si sawa kabisa.
Simba wa Yuda ni Mwina Kaduguda KaduKweli kumwita Hayati Magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo.
Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda.
Rais kweli hapa si sawa kabisa.
Mwendakuzimu alipendwa na Majangili kama SabayaMafisadi, majangili, wauza madawa ya kulevya na wahuni walimchukia sana JPM.
Dada ni mdini sana, kipindi kile alikua anasifu kila kituHuyu dada analeta nongwa kisa jina tu.
Siasa hizi bhana...Mimi mwenyewe nimeshangaa sana. Kwani angemuita Simba wa Chato angepungukiwa nini!
Kweli kumwita Hayati Magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo.
Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda.
Rais kweli hapa si sawa kabisa.
Matumizi ya maneno Simba ya Yuda yasiwe ni nongwa ya kuonyesha hasira yako kwa SSH.Acha uongo wewe. Kawawa aliitwa Simba wa vita. Unapata nini kuandika uwongo kama huu ?Ushindwe kabisa na ulegee
Ujumbe umeelewaka, aache nongwa zisizo na sababu huyu mleta uzi.aliitwa simba wa vita we mburula.
wewe kama nan unamchagulia cha kuandika???Ujumbe umeelewaka, aache nongwa zisizo na sababu huyu mleta uzi.