Rais Samia atuombe msamaha Wakristo, Simba wa Yuda kwetu ni Yesu Kristo peke yake

Rais Samia atuombe msamaha Wakristo, Simba wa Yuda kwetu ni Yesu Kristo peke yake

Naomba nikili udhaifu huu nilio nao Mimi

Uwa napenda sana kuwasikiliza viongozi wetu, uwa nachukua muda mwingi kutafakari Kila wanachokisema.

Nimetangulia kusema ni udhaifu wangu maana unaweza ona nachukua muda mrefu kuwa najadiri neno moja baada ya jingine lilirotamkwa na watawala nasema watawala na sio viongozi.

Mfano kauli ya Mama yetu Samia kumuita Magufuli yakuwa alikuwa ni Simba wa Yuda ni kumfananisha na Yessu Kristi Ili ni kosa kubwa sana

Magufuli hakuwa Simba wa Yuda na hatokuwa walio muita hivyo ni wazindaki walio taka wapewe uraji.

Leo hii Mama Samia anamuita Magufuli Simba wa Yuda Tena kwa kumkashifu,sio kwa kumsifia anamuita Simba wa Yuda Alie ponya wagonjwa na kufia wenye dhambi?
Leo hii Simba wa Yuda Yessu unamfananisha na Magufuli kikashifa?mama umeanza kumkashifu Yessu kiristo ni kiburi Cha Uongozi hama ?
Yessu kiristo alimtisha nani?Simba wa Yuda alimtisha nani?

Mafuguli alikuwa mtu, kama watu wengine hawezi fananishwa na Simba wa Yuda nimwimbae kwenye nyimbo

Ewe unae soma Uzi huu imba kawimbo haka ka SImba wa Yudaa..........
Simba wa Yuda.....
Wewe aliyekwambia YESU ndio SIMBA WA YUDA ni nani??
 
Nyie nae hata mapadri na makasisi wasiooa wanaolawitiana mpaka na watoto wadogo kila kukicha mnawaita baba. Hamueleweki.

Basi tumwite panya wa Yuda.

Hapo Sasa!
Yanaendelea madrasa kwa watoto wa kiume hujawahi kuyasikia?
 
Wala hamna neno ameongea kama mfano tu !

Msifanye mambo kuwa magumu!

Mbona ameeleweka tu !
 
Nyie nae hata mapadri na makasisi wasiooa wanaolawitiana mpaka na watoto wadogo kila kukicha mnawaita baba. Hamueleweki.

Basi tumwite panya wa Yuda.

Hapo Sasa!
Hivi yule jamaa yenu alivyopambana na nguruwe nani alishinda?
 
Hapa tunasemea Rais wa nchi. Kaduguda ni a nobody.
Na Mimi nakuonyesha tu kuwa kuitwa Simba wa Yuda siyo ISSUE. Kuna mchezaji wa Manchester City anaitwa Gabriel Jesus kabisa lakini Wakristu haatuna shida kabisa
 
Kweli kumwita Hayati Magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo.

Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda.

Rais kweli hapa si sawa kabisa.

Toa kelele za kinafiki hapa Yesu tangulini akaitwa majina ya ajabu hivi
 
Nyie nae hata mapadri na makasisi wasiooa wanaolawitiana mpaka na watoto wadogo kila kukicha mnawaita baba. Hamueleweki.

Basi tumwite panya wa Yuda.

Hapo Sasa!
Dada FaizaFoxy umetumia lugha nzito sana japo Mimi pamoja na kuwa ni Mkristu wa madhehebu ya RC, nakuunga mkono juu ya matumizi ya jina, hakuna big deal
 
Hakuna anayekataa kwamba Rais Samia anaponyesha majeraha yaliyoletwa na awamu zilizopita hususani ya tano lakini Simba wa Yuda si jina la kumfananisha na mwanadamu.
Kuna wakati aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani alimwita jpm kuwa ndie Kristo haikuwa shida, na mkuu mmoja wa mkoa wa tabora alimtaka Mungu ndio amshukuru rais kwa kazi mzuri anayofanyia watanzania, ilikuwa sawa kwa nini leo imekuwa nongwa?
 
Naomba nikili udhaifu huu nilio nao Mimi

Uwa napenda sana kuwasikiliza viongozi wetu, uwa nachukua muda mwingi kutafakari Kila wanachokisema.

Nimetangulia kusema ni udhaifu wangu maana unaweza ona nachukua muda mrefu kuwa najadiri neno moja baada ya jingine lilirotamkwa na watawala nasema watawala na sio viongozi.

Mfano kauli ya Mama yetu Samia kumuita Magufuli yakuwa alikuwa ni Simba wa Yuda ni kumfananisha na Yessu Kristi Ili ni kosa kubwa sana

Magufuli hakuwa Simba wa Yuda na hatokuwa walio muita hivyo ni wazindaki walio taka wapewe uraji.

Leo hii Mama Samia anamuita Magufuli Simba wa Yuda Tena kwa kumkashifu,sio kwa kumsifia anamuita Simba wa Yuda Alie ponya wagonjwa na kufia wenye dhambi?
Leo hii Simba wa Yuda Yessu unamfananisha na Magufuli kikashifa?mama umeanza kumkashifu Yessu kiristo ni kiburi Cha Uongozi hama ?
Yessu kiristo alimtisha nani?Simba wa Yuda alimtisha nani?

Mafuguli alikuwa mtu, kama watu wengine hawezi fananishwa na Simba wa Yuda nimwimbae kwenye nyimbo

Ewe unae soma Uzi huu imba kawimbo haka ka SImba wa Yudaa..........
Simba wa Yuda.....
Jitahidi uandike kiswahili vizuri basi mkuu
 
Kweli kumwita Hayati Magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo.

Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda.

Rais kweli hapa si sawa kabisa.
Mbona kuna watu walimfananisha Maghufuli na Yesu na mwingine Mungu.

Halafu kuna yule Mwanri alisema Mungu ndo anayetakiwa kumshukuru jiwe.
 
Back
Top Bottom