Masheikh wanaolawitiana kwa kua wameoa it's ok; right?Nyie nae hata mapadri na makasisi wasiooa wanaolawitiana mpaka na watoto wadogo kila kukicha mnawaita baba. Hamueleweki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masheikh wanaolawitiana kwa kua wameoa it's ok; right?Nyie nae hata mapadri na makasisi wasiooa wanaolawitiana mpaka na watoto wadogo kila kukicha mnawaita baba. Hamueleweki.
Wewe aliyekwambia YESU ndio SIMBA WA YUDA ni nani??Naomba nikili udhaifu huu nilio nao Mimi
Uwa napenda sana kuwasikiliza viongozi wetu, uwa nachukua muda mwingi kutafakari Kila wanachokisema.
Nimetangulia kusema ni udhaifu wangu maana unaweza ona nachukua muda mrefu kuwa najadiri neno moja baada ya jingine lilirotamkwa na watawala nasema watawala na sio viongozi.
Mfano kauli ya Mama yetu Samia kumuita Magufuli yakuwa alikuwa ni Simba wa Yuda ni kumfananisha na Yessu Kristi Ili ni kosa kubwa sana
Magufuli hakuwa Simba wa Yuda na hatokuwa walio muita hivyo ni wazindaki walio taka wapewe uraji.
Leo hii Mama Samia anamuita Magufuli Simba wa Yuda Tena kwa kumkashifu,sio kwa kumsifia anamuita Simba wa Yuda Alie ponya wagonjwa na kufia wenye dhambi?
Leo hii Simba wa Yuda Yessu unamfananisha na Magufuli kikashifa?mama umeanza kumkashifu Yessu kiristo ni kiburi Cha Uongozi hama ?
Yessu kiristo alimtisha nani?Simba wa Yuda alimtisha nani?
Mafuguli alikuwa mtu, kama watu wengine hawezi fananishwa na Simba wa Yuda nimwimbae kwenye nyimbo
Ewe unae soma Uzi huu imba kawimbo haka ka SImba wa Yudaa..........
Simba wa Yuda.....
Yanaendelea madrasa kwa watoto wa kiume hujawahi kuyasikia?Nyie nae hata mapadri na makasisi wasiooa wanaolawitiana mpaka na watoto wadogo kila kukicha mnawaita baba. Hamueleweki.
Basi tumwite panya wa Yuda.
Hapo Sasa!
Hivi yule jamaa yenu alivyopambana na nguruwe nani alishinda?Nyie nae hata mapadri na makasisi wasiooa wanaolawitiana mpaka na watoto wadogo kila kukicha mnawaita baba. Hamueleweki.
Basi tumwite panya wa Yuda.
Hapo Sasa!
Na Mimi nakuonyesha tu kuwa kuitwa Simba wa Yuda siyo ISSUE. Kuna mchezaji wa Manchester City anaitwa Gabriel Jesus kabisa lakini Wakristu haatuna shida kabisaHapa tunasemea Rais wa nchi. Kaduguda ni a nobody.
Kweli kumwita Hayati Magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo.
Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda.
Rais kweli hapa si sawa kabisa.
Dada FaizaFoxy umetumia lugha nzito sana japo Mimi pamoja na kuwa ni Mkristu wa madhehebu ya RC, nakuunga mkono juu ya matumizi ya jina, hakuna big dealNyie nae hata mapadri na makasisi wasiooa wanaolawitiana mpaka na watoto wadogo kila kukicha mnawaita baba. Hamueleweki.
Basi tumwite panya wa Yuda.
Hapo Sasa!
Mpumbavu tu yule na roho mbaya yake! Ameshindwa kumpa heshima yake wakati alikuwa boss wake! Simba wa Yuda ni Yesu peke ake!Mimi mwenyewe nimeshangaa sana. Kwani angemuita Simba wa Chato angepungukiwa nini!
Simba ni MnyamaDiamond Simba,yesu Simba , magufuli Simba?
Na Simba nae atakuwa Nani?
Hakika huyu hata heshima hana!Rais Samia alikuwa Delila wa kwenye bibilia kwenye uongozi wa Simba wa Yuda
Kuna wakati aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani alimwita jpm kuwa ndie Kristo haikuwa shida, na mkuu mmoja wa mkoa wa tabora alimtaka Mungu ndio amshukuru rais kwa kazi mzuri anayofanyia watanzania, ilikuwa sawa kwa nini leo imekuwa nongwa?Hakuna anayekataa kwamba Rais Samia anaponyesha majeraha yaliyoletwa na awamu zilizopita hususani ya tano lakini Simba wa Yuda si jina la kumfananisha na mwanadamu.
Jitahidi uandike kiswahili vizuri basi mkuuNaomba nikili udhaifu huu nilio nao Mimi
Uwa napenda sana kuwasikiliza viongozi wetu, uwa nachukua muda mwingi kutafakari Kila wanachokisema.
Nimetangulia kusema ni udhaifu wangu maana unaweza ona nachukua muda mrefu kuwa najadiri neno moja baada ya jingine lilirotamkwa na watawala nasema watawala na sio viongozi.
Mfano kauli ya Mama yetu Samia kumuita Magufuli yakuwa alikuwa ni Simba wa Yuda ni kumfananisha na Yessu Kristi Ili ni kosa kubwa sana
Magufuli hakuwa Simba wa Yuda na hatokuwa walio muita hivyo ni wazindaki walio taka wapewe uraji.
Leo hii Mama Samia anamuita Magufuli Simba wa Yuda Tena kwa kumkashifu,sio kwa kumsifia anamuita Simba wa Yuda Alie ponya wagonjwa na kufia wenye dhambi?
Leo hii Simba wa Yuda Yessu unamfananisha na Magufuli kikashifa?mama umeanza kumkashifu Yessu kiristo ni kiburi Cha Uongozi hama ?
Yessu kiristo alimtisha nani?Simba wa Yuda alimtisha nani?
Mafuguli alikuwa mtu, kama watu wengine hawezi fananishwa na Simba wa Yuda nimwimbae kwenye nyimbo
Ewe unae soma Uzi huu imba kawimbo haka ka SImba wa Yudaa..........
Simba wa Yuda.....
Ona huyu naye kaingia na viatuAngemuita muhamadi s.w
Mbona kuna watu walimfananisha Maghufuli na Yesu na mwingine Mungu.Kweli kumwita Hayati Magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo.
Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda.
Rais kweli hapa si sawa kabisa.