Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo Yesu alikuwa ni kwa ajili ya hilo kabila la Yuda??!!---- na vipi yule Yuda Escariote??
Hongera kwa kuilinda imani maneno kutoka 2Timetheo 4:7 yanakufaa sana siku ya kutwaliwa kwako. Utakuja kushangaa viongozi wa dini wanaitetea kauli hiyoHapana wewe si mkristo wa kweli. Mimi ninaemwamini Yesu Kristo. Ninaposema Simba wa Yuda. Ninapata upako kabisa. Niliposikia anafananishwa na Magufuli kweli nilipata sikitiko kwa kweli.
Kweli kumwita Hayati Magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo.
Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda.
Rais kweli hapa si sawa kabisa.
Kweli kumwita Hayati Magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo.
Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda.
Rais kweli hapa si sawa kabisa.
yuda ni moja ya makabila 12 ya waisraelKama Simba ni Yesu na huyo Yuda ni nani??
Duh! Pure semantics. She doesn't know what the name "Simba wa Yuda" means.Kweli kumwita Hayati Magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo.
Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda.
Rais kweli hapa si sawa kabisa.
Kawawa aliitwa Simba wa Yuda, alikuwa na utukufu upi wenye kufanana na Yesu?. Mbona jina lake lilidumu na hakuna hata mmoja aliyeleta nongwa za kujifanya anamjua sana Yesu?.Kweli kumwita Hayati Magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo.
Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda.
Rais kweli hapa si sawa kabisa.
Kawawa aliitwa Simba wa Yuda miaka ya awamu ya kwanza, au mkuu Markp ulikuwa bado hujazaliwa?.yuda ni moja ya makabila 12 ya waisrael
mama kama hajui asipepende kuropoka siku nyingine ataropoka baya zaidi
Samehe 7 mara 70
Kawawa aliitwa Simba wa vita....punguza ujuajiKawawa aliitwa Simba wa Yuda, alikuwa na utukufu upi wenye kufanana na Yesu?. Mbona jina lake lilidumu na hakuna hata mmoja aliyeleta nongwa za kujifanya anamjua sana Yesu?.
simba wa yuda yupo moja hilo ni jina kuna anayejulikana kwa wakristo kumiliki hilo jina kwanini mama awe kiroporopo kwa asivyovijua.Kwani yuda Yuko mmoja tu
Huyu dada analeta nongwa kisa jina tu.Kawawa aliitwa Simba wa vita....punguza ujuaji
Alikuwa anampiga dongo JPM. Ni mambo ya kawaida kwenye siasa.Ufunuo 5:5 Na mmojawapo wa wale wazee akaniambia,Usilie;tazama Simba aliye wa kabila ya Yuda,Shina la Daudi,yeye ameshinda apate kukifungua kile kitabu,na zile muhuri zake saba.
yuda si jina tu bali ni kabila pia. Huyo yuda iskariyote ni jina lake la kwanza kulikuwa na yuda wengi ndio maana yule alitambuliwa kama yuda iskariote. Ila simba wa yuda ni moja tu YESU AITWAE KRISTOKwahiyo Yesu alikuwa ni kwa ajili ya hilo kabila la Yuda??!!---- na vipi yule Yuda Escariote??!!