maruudaniel
JF-Expert Member
- Dec 19, 2020
- 888
- 1,073
Mku kumsifu Mungu aliyetupa uhai huwa kuna Majina mengi huwa tunatumia likiwepo Simba wa Yuda.Umsamehe kwa.kosa lipi??
Kwani hapa Mama kwa kweli ameteleza japokuwa Kiimani siwezi kumsemea kwa babu anajua mwenyewe alimaanisha nini kwa kujua au kutokujua kwake.