Kwani Yesu alikuwa Simba kiukweli au ni maneno tu?Hakuna anayekataa kwamba Rais Samia anaponyesha majeraha yaliyoletwa na awamu zilizopita hususani ya tano lakini Simba wa Yuda si jina la kumfananisha na mwanadamu.
Yesu akusamehe hujui ulitendaloNyie nae hata mapadri na makasisi wasiooa wanaolawitiana mpaka na watoto wadogo kila kukicha mnawaita baba. Hamueleweki.
Basi tumwite panya wa Yuda.
Hapo Sasa!
Kwani Yesu alikuwa ni Simba kweli ama ni maneno tu ya waimba kwaya na mapambio?Naomba nikili udhaifu huu nilio nao Mimi
Uwa napenda sana kuwasikiliza viongozi wetu, uwa nachukua muda mwingi kutafakari Kila wanachokisema.
Nimetangulia kusema ni udhaifu wangu maana unaweza ona nachukua muda mrefu kuwa najadiri neno moja baada ya jingine lilirotamkwa na watawala nasema watawala na sio viongozi.
Mfano kauli ya Mama yetu Samia kumuita Magufuli yakuwa alikuwa ni Simba wa Yuda ni kumfananisha na Yessu Kristi Ili ni kosa kubwa sana
Magufuli hakuwa Simba wa Yuda na hatokuwa walio muita hivyo ni wazindaki walio taka wapewe uraji.
Leo hii Mama Samia anamuita Magufuli Simba wa Yuda Tena kwa kumkashifu,sio kwa kumsifia anamuita Simba wa Yuda Alie ponya wagonjwa na kufia wenye dhambi?
Leo hii Simba wa Yuda Yessu unamfananisha na Magufuli kikashifa?mama umeanza kumkashifu Yessu kiristo ni kiburi Cha Uongozi hama ?
Yessu kiristo alimtisha nani?Simba wa Yuda alimtisha nani?
Mafuguli alikuwa mtu, kama watu wengine hawezi fananishwa na Simba wa Yuda nimwimbae kwenye nyimbo
Ewe unae soma Uzi huu imba kawimbo haka ka SImba wa Yudaa..........
Simba wa Yuda.....
Mtu wa pwani yule!.Fuatilia mapigo ya sauti(intonation)alivyoitamka hiyo "Simba wa Yuda"!Hutopata shida.
Wewe ni mkristo? Au unadandia treni front. Sisi wenyewe wakristo tumeona poa tu we wa dini ya mataifa unalalamika.[/QUOTEAcha upumbavu, wewe nani hadi utusemee sisi wakristo [emoji848][emoji34]
Haya hayakuhusu, wewe endelea kutembea na katambuga ukiamini zitakufikisha mbinguni.
Kwahiyo kobasi ndo zitawafikisha mbinguni? Nyie ni watu wa hovyo sana.Yesu alivaa viatu gani ,katambuga au moccasins we pimbi
Ninyi, si huwa mnasema mnyezi mungu wenu hashindwi chochote, sasa inakuwaje tena ashindwe kujiwekea hali au umbile la simba [emoji848][emoji1787]Sasa Mungu anakuwaje Simba?
Au mwana wa mungu anakuwaje Simba?
Wakristo vita vya Yesu huwa tunamwachia Yeye Aliye Simba wa Kabila la Yuda.Kweli kumwita Hayati Magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo.
Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda.
Rais kweli hapa si sawa kabisa.
Imani ya mtu usiidharau! Aombe msamaha wakristu, asituchukulie poa!Wewe ni mkristo? Au unadandia treni front. Sisi wenyewe wakristo tumeona poa tu we wa dini ya mataifa unalalamika.
We mvaa kobazi mwenye user name ya Phillipo Kawawa aliitwa simba wa vitaKawawa aliitwa Simba wa Yuda, alikuwa na utukufu upi wenye kufanana na Yesu?. Mbona jina lake lilidumu na hakuna hata mmoja aliyeleta nongwa za kujifanya anamjua sana Yesu?.
Unajikuta mkongwe kumbe cheki bobu, Kawawa aliitwa simba wa vitaKawawa aliitwa Simba wa Yuda miaka ya awamu ya kwanza, au mkuu Markp ulikuwa bado hujazaliwa?.
Mjuaji sana huyo msengeremaKawawa aliitwa Simba wa vita....punguza ujuaji