Naomba nikili udhaifu huu nilio nao Mimi
Uwa napenda sana kuwasikiliza viongozi wetu, uwa nachukua muda mwingi kutafakari Kila wanachokisema.
Nimetangulia kusema ni udhaifu wangu maana unaweza ona nachukua muda mrefu kuwa najadiri neno moja baada ya jingine lilirotamkwa na watawala nasema watawala na sio viongozi.
Mfano kauli ya Mama yetu Samia kumuita Magufuli yakuwa alikuwa ni Simba wa Yuda ni kumfananisha na Yessu Kristi Ili ni kosa kubwa sana
Magufuli hakuwa Simba wa Yuda na hatokuwa walio muita hivyo ni wazindaki walio taka wapewe uraji.
Leo hii Mama Samia anamuita Magufuli Simba wa Yuda Tena kwa kumkashifu,sio kwa kumsifia anamuita Simba wa Yuda Alie ponya wagonjwa na kufia wenye dhambi?
Leo hii Simba wa Yuda Yessu unamfananisha na Magufuli kikashifa?mama umeanza kumkashifu Yessu kiristo ni kiburi Cha Uongozi hama ?
Yessu kiristo alimtisha nani?Simba wa Yuda alimtisha nani?
Mafuguli alikuwa mtu, kama watu wengine hawezi fananishwa na Simba wa Yuda nimwimbae kwenye nyimbo
Ewe unae soma Uzi huu imba kawimbo haka ka SImba wa Yudaa..........
Simba wa Yuda.....