Rais Samia atuombe msamaha Wakristo, Simba wa Yuda kwetu ni Yesu Kristo peke yake

Rais Samia atuombe msamaha Wakristo, Simba wa Yuda kwetu ni Yesu Kristo peke yake

Kweli kumwita Hayati Magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo.

Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda.

Rais kweli hapa si sawa kabisa.
Screenshot_20220402-175856.png
 
Haya hayakuhusu, wewe endelea kutembea na katambuga ukiamini zitakufikisha mbinguni.


Wapi imeandikwa hayo hayanihusu??!!--- wewe unadhani imani ya dini ni mali yako uliyorithi wewe peke yako kutoka kwa Babu yako!!!---- imani ya dini ni mali ya Mungu kwa wanadamu wote, usijipe mamlaka ya hati miliki ya mambo ya Mungu.
 
I Jah Man
Jahmaicah make una go smoke caribbean weed,una eyes go come open well well , even our corrupt leasders dem go come change and lead us good well well wen dem see una eyes dey red fear go enter dem body see lion Snoop don smoke Caribbean weed, now e don discover e root say na Rastafari Jahmaicah una too much oo ,coffee wey I dey drink for hia comot for my nose as I read this

https://kalaharireview.com › final-da...
Final Days in the Reign of Emperor Haile Selassie I, Lion of Judah

17 Jan 2017 — Final Days in the Reign of Emperor Haile Selassie I, Lion of Judah. Historical fiction tracing three young lives by Barbara Wyatt Olson....



4 March 2011
The Lion of Judah: Prince Ermias Sahle Selassie



His Royal Highness Prince Ermias Sahle Selassie Haile Selassie discusses his work.


His Royal Highness Prince Ermias Sahle Selassie Haile Selassie discusses his work. Prince Ermias Sahle Selassie Haile Selassie is president of the Crown Council of Ethiopia. He is the only son of Prince Sahle Selassie of Ethiopia and Princess Mahisente Habte Mariam. He is the grandson of Emperor Haile Selassie of Ethiopia, and also of Dejazmach Habte Mariam Gebre Igziabiher, the heir to the former Welega kingdom of Leqa Naqamte. Prince Ermias was named recipient of the ISSA Silver Star Award for Outstanding Contributions to Strategic Progress Through Humanitarian Achievement by the International Strategic Studies Association, for his work for Ethiopian refugees in Africa.

Source : Library of Congress
 
Rais Samia ametumia lugha ya picha tu kama mfano ili kufikisha ujumbe wa kile alichokuwa anaeleza kwenye hadhira!

Sema wengine ujumbe umewachoma sababu kuna ukweli wa kile alichosema kuhusu nidhamu ya woga ambayo jamaa alii-establish kwenye jamii [emoji108]

Jaribuni kuwa fair Rais ameongea ukweli!
 
Uzuri ni kwamba sisi huwa hatupaniki kama wanavyopaniki wavaa kobazi washikwa mahali
 
Acha waendelee na maneno ya kufuru, kilichompata aliyejiita kiongozi wa Malaika hakijatoa funzo kamili
 
Mafisadi, majangili, wauza madawa ya kulevya na wahuni walimchukia sana JPM.
Jpm alikuw jizi,
Rejea T1.5 hadi CAG akatolewa,
Kjn Makonda mshahara wa ukuu wa mkoa tu,
Leo anagombania mali ya B2,
etal,
 
Hivi ni wapi imeandikwa Simba wa Judah ni Yesu??!!
Ufunuo wa Yohana 5:1-5
1 Kisha nikaona katika mkono wa kuume wake yeye aliyeketi juu ya kile kiti cha enzi kitabu kilichoandikwa ndani na nyuma, kimetiwa muhuri saba.

2 Nikaona malaika mwenye nguvu akihubiri kwa sauti kuu, N'nani astahiliye kukifungua kitabu, na kuzivunja muhuri zake?

3 Wala hapakuwa na mtu mbinguni, wala juu ya nchi, wala chini ya nchi, aliyeweza kukifungua hicho kitabu, wala kukitazama.

4 Nami nikalia sana kwa kuwa hapakuonekana mtu astahiliye kukifungua hicho kitabu, wala kukitazama.

5 Na mmojawapo wa wale wazee akaniambia, Usilie; tazama, Simba aliye wa kabila ya Yuda, Shina la Daudi, yeye ameshinda apate kukifungua kile kitabu, na zile muhuri zake saba.
 
Huyu aliyetokewa na shetani pangoni akapigwa makofi? Kwanza ni mbakaji angekuwepo angekula mvua ya maiaka 30! Hakuna mtume mzinzi kama huyo!
Nyamaza Kafiri wee
Nuru ya Uislamu inaenea kama NURU YA JUA ulaya Makanisa yanageuzwa Misikiti Ukristo umebaki Afrika Tu Ulaya Makanisani wanaenda vizee tuu kwani Mungu wenu WA Usukumani Kesha toka jela?
 
Nyamaza Kafiri wee
Nuru ya Uislamu inaenea kama NURU YA JUA ulaya Makanisa yanageuzwa Misikiti Ukristo umebaki Afrika Tu Ulaya Makanisani wanaenda vizee tuu kwani Mungu wenu WA Usukumani Kesha toka jela?
Firauni ni wewe! Kuuza makanisa ni ngonjera zenu magaidi ni majitu yenye roho mbaya kila siku kulipua mabomu kwa kujitoa mhanga! Siku ukiju Muhamad alitokewa na shetani pangoni utakuwa ushachelewa! Hata majini mnasali nayo!
 
Wewe ni mkristo? Au unadandia treni front. Sisi wenyewe wakristo tumeona poa tu we wa dini ya mataifa unalalamika.
Kwani hamkuona au kusikia baadhi ya waheshimiwa wakimwita yule Mheshimiwa Mungu?
 
Back
Top Bottom