Rais Samia atuondolee Waziri Gwajima na Msaidizi wake Dkt. Mollel, wana utoto mwingi na wanatusumbua hivi sasa

Rais Samia atuondolee Waziri Gwajima na Msaidizi wake Dkt. Mollel, wana utoto mwingi na wanatusumbua hivi sasa

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
Kwani hi Chanjo ni jambo kubwa sana kama nchi iko vitani vile?

Kwanini wanakomalia sana as if hakuna shughuli nyingine za kufanya? Wananuka shombo na kama vile wananchi wamewachoka.

Hawa viongozi wana utoto mwingi na wanasababisha ukakasi kwenye hili suala la chanjo. Kuna wakati wangekaa kimya wafanye kazi zao na si kuhangaika na uongo waliouanzisha wao.

Mama punguza "CHAWA" kwenye Cabinet yako, wanakudhalilisha





Haya maelezo video ya chini yana Tofauti gani na Maelezo ya Askofu Gwajima?

Ni heri wakae kimya kufunga huu mjadala, Bladfaken
 
Kwanini asimtimue kupe na tapeli Josephat Gwajima askofu wa kujipachika na tapeli wa kunuka kwanza ambaye kama siyo CCM kudhulumu Kawe asingekuwa hata diwani?
 
Huyu Gwajiboy Mwenye Habari Za Kina Kuhusu Kuingia Kwenye Kamati Za Bunge Aliweza?
Sasa Iwapo Aliweza Hao Wenye Wizara Na Jobo Watulie
 
Msamehe Dorothy kichwani anaonekana kuna mshipa hauko sawa,

ile siku amechanjwa nakuhojiwa ndo niliamini kwenye kichwa yake kuna shida mahala.

223374777_176483141209099_1366941416414374166_n.jpg
 
Kwani hi Chanjo ni jambo kubwa sana kama nchi iko vitani vile?

Kwa nini wanakomalia sana as if hakuna shughuli nyingine za kufanya?. Wananuka shombo na kama vile wananchi wamewachoka.

Hawa viongozi wana utoto mwingi na wanasababisha ukakasi kwenye hili suala la chanjo. Kuna wakati wangekaa kimya wafanye kazi zao na si kuhangaika na uongo waliouanzisha wao.

Mama punguza "CHAWA" kwenye Cabinet yako, wanakudhalilisha


Tuache mifadhaiko katika kujenga hoja. Matumizi sahihi ya maneno yanafanya hoja kuwa na nguvu! Hapa utasemaje?
 

Attachments

  • IMG_3906.MP4
    12.9 MB
Kwani hi Chanjo ni jambo kubwa sana kama nchi iko vitani vile?

Kwa nini wanakomalia sana as if hakuna shughuli nyingine za kufanya?. Wananuka shombo na kama vile wananchi wamewachoka.

Hawa viongozi wana utoto mwingi na wanasababisha ukakasi kwenye hili suala la chanjo. Kuna wakati wangekaa kimya wafanye kazi zao na si kuhangaika na uongo waliouanzisha wao.

Mama punguza "CHAWA" kwenye Cabinet yako, wanakudhalilisha


Huyu mama sijuhi kwanini alipewa uwaziri,ana makelele sana kama kigagura,Swaga nyingi,masihara Mengi!!
Amejaa mipasho tu,anavyoongea utafikiri Mzalamo yupo kwenye ngoma ya mdundiko,Huyu mama,Kitira mkumbo,Kabudi,Mwigulu,mijitu imejaa masihara matupu.
Huyu mama anadai "amehapa mbele ya majeshi yote"anatoa maagizo kwa jeshi la polisi limkamate Raia!what a stupid comment
 
Kwanini asimtimue kupe na tapeli Josephat Gwajima askofu wa kujipachika na tapeli wa kunuka kwanza ambaye kama siyo CCM kudhulumu Kawe asingekuwa hata diwani?

Malizia, Na mbunge aliyedhulumiwa kawe akaamua kuunga mkono juhudi [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Malizia, Na mbunge aliyedhulumiwa kawe akaamua kuunga mkono juhudi [emoji3][emoji3][emoji3]
Unamaanisha huyu Halima aka Covid-19? Mie namaanisha yule dogo aliyepigwa chini pamoja na kupeta kwenye kura za maoni. Huyo Covid ni mali yao wanaweza kutumia watakavyo
 
Hata mimi nashangaa.
Huyu GwajiGirl alikuwa na akili nyingi sana shuleni.
Na alifaulu vizuri ktk mitihani yake karibu yote. Hadi chuoni.
Leo ukimwangalia kwa umakini unaona kabisa kama vinginevyo vile.
Huenda hawa akina Gwajima wanasumbuliwa na kuwa na akili nyingi kupita majukumu yao.
Inabidi waongezewe kazi za kufanya kuendana na akili zao kubwa.
Mkuu, akili za shuleni usifananishe na akili za kuongoza kitu
 
Unamaanisha huyu Halima aka Covid-19? Mie namaanisha yule dogo aliyepigwa chini pamoja na kupeta kwenye kura za maoni. Huyo Covid ni mali yao wanaweza kutumia watakavyo

Hahaha, wachana na Hawa wanasisiemu, Hawa ni walewale. Naongelea Halima, Yule mdada kada na kamanda wa chadema mtata sana ametulia kama sio yéyé vile na hasemi lolote neno kuhusu katiba mpya wala Kesi ya Mwenyekiti wake sababu hataki kuruin mkate wake wa kila siku,
Asikudanganye mtu, hakuna mkate mgumu mbele ya chai.
 
Ukoo wa gwajima nimegundua niwachambaji sana usijeukajichanganya kubeba Mke pale


Angalia gwajiboy
Angalia wazir
 
Huyu mama sijuhi kwanini alipewa uwaziri,ana makelele sana kama kigagura,Swaga nyingi,masihara Mengi!!
Amejaa mipasho tu,anavyoongea utafikiri Mzalamo yupo kwenye ngoma ya mdundiko,Huyu mama,Kitira mkumbo,Kabudi,Mwigulu,mijitu imejaa masihara matupu.
Huyu mama anadai "amehapa mbele ya majeshi yote"anatoa maagizo kwa jeshi la polisi limkamate Raia!what a stupid comment
Mbona P Katambi aliaguza polisi wamkamate Yule jamaa aliyekataa kuitwa mjinga hadharani?!
 
Back
Top Bottom