Rais Samia atuondolee Waziri Gwajima na Msaidizi wake Dkt. Mollel, wana utoto mwingi na wanatusumbua hivi sasa

Hili pambano Gwaji girl anapoteza!!?
hakuna kosa la jinai hapo kuwa involve polisi...
labda madai /defamation
 
Reactions: mmh
Bishop Gwajima hataki tena kuwa Mbunge, dhambi ya wizi wa kura inamtafuna, aliyemuweka madarakani(sponsor) hayupo tena. Namna pekee ya kufanya ili afukuzwe ni kufanya mambo yasiyovumilika.Hizi kelele anazopiga ni style ya pepo aliyemwingia kutoka.
 
Mbona wote walipewa na hakuna aliyechaguliwa? Heri mmoja ni msomi na mwingine kihiyo na tapeli
Madhara ya wabunge wa Magufuli tumeyaona kwenye tozo wangekuwa wamechaguliwa na wananchi wasingepitisha tozo
 
Mbunge wangu Gwajima ndio anafanya utoto akimkwaza Rais Samia na serikali yake.

Anaongea mambo ya kitaalam huku akiwa haelewi zaidi ya nusu ya hayo anayoyasema.

Hizi sio chanjo za kwanza kuingizwa miilini mwetu tangu nchi hii ianze kuwepo, haingii akilini chanjo zile za zamani hazijatuathiri halafu hizi za covid ndio ziwe na nia mbaya kwetu.
 
Kweli kabisa. Gwajiboy hakupaswa kuropoka ropoka. Yeye kama hataki chanjo kimpango wake sio kupayuka payuka. Kila mtu ana maaumuzi ya kufanya sasa kila asiyetaka chanjo akipayuka patakalika kweli.

Anayechanjwa achanjwe asiyetaka asichanjwe lakini kila siku kuongelea na kuponda juhudi za wengine kutaka kujiokoa ni UTOTO kabisa.
 
Wewe ndo zero kabisa! Yaani chanjo zingine ulizochanjwa ziko sawa na hii?

Uliwahi kujaza consent form hizo chanjo zingine?
Unajua hizo chanjo zingine zilichukua miaka mingapi mpaka zilipoanza kutumika?

Madaktari wenyewe wameshindwa kumjibu Gwajima kitaalamu, wewe umebugia chai viazi ndo na wewe unamzodoa Gwajima 😂😂
 
Yeye anaongea akiwa Kanisani na waumini wake,kina kuuma Nini?
Yeye ameuliza maswali ameomba ajibiwe,hajajibiwa bado.

Au wewe Kama unamajibu mjibu basi. Hizo short term na long term za hiyo chanjo ni zipi?

Kwanini achomwe chanjo ikiwa hata akichanjwa bado ataambukizwa na kuambukiza na hata kufa kwa Corona?

Je hi chanjo ya Sasa inaweza kumkinga na huyu Delta, maana ni chanjo ya mdudu yule wa Kwanza?

Jibu Sasa wewe mwerevu kumzidi Gwajima.
 
I nahitaji uvumilivu mkubwa kuna na viongozi wa aina hii ya akina Mollel
 
Na wewe mropokaji basi tuseme umeshinda
 
INA'MAKE SENSE'!
 
Sisi tunavyojua ni kwamba hakuna kitu kinachoitwa Corona,kama wanataka kuchanja watu wakachanye familia zao,hachanjwi mtu hapa.
 
Sisi tunavyojua ni kwamba hakuna kitu kinachoitwa Corona,kama wanatakaka kuchanja watu wakachanye familia zao,hachanjwi mtu hapa.

Kwa sasa UVIKO siyo jambo la kutishia Taifa letu lakini hawa kila kukicha ni wao yaan..
 
Kuhapa=kuapa
 
Wa Bongo bwana!! Mtu akiteuliwa wanavyomwaga Sifa. Halafu baada ya muda wanaanza kama hivi Mara Chawa, Mara Jipu nk nk. Nakumbuka teuzi za kina Kabudi, Molel, Mulamula na wengine wengi tu.

Kuna huu uteuzi wa juzi nao wa balozi anayekwenda Marekani yaani ni full kusifia na kutupia ma CV humu.

Keshokutwa akiteuliwa mfano IGP Mpya tutasikia humu " huyu ndio mwenyewe, Msomi wa Harvard University sio vyuo vya ajabuajabu, alimaliza Mzumbe akapata 1 ya 3.

Tuwege na subira .
 
Gwajiboi ana watu
Kwanini asimtimue kupe na tapeli Josephat Gwajima askofu wa kujipachika na tapeli wa kunuka kwanza ambaye kama siyo CCM kudhulumu Kawe asingekuwa hata diwani?
 
Hii ni KWA Dr.Doroth gwajima pamoja na Dr.mollel.Mnapaswa kukaa pembeni Sasa Ili watu aina ya gwajima wawaelewe na hatimae kuchanjwa Sasa,lakini mkiendelea kuleta sura zenu za nyungu na ghafla covid mtaendelea kujiaibisha sana.

Please mama Samia tuondolee hizi comedy za Waziri wa Afya na Naibu wake,Muweke walau Ndungulile aongoze hiyo wizara maana walau yeye alikuepo na akapingana na JPM.

we stand with Askofu Gwajima hata kama yupo wrong,ila ndimi mbili ni kitu kibaya sana KWA kiongozi.
wacha Gwajima awang'ate inaweza saidia siku nyingine wakatumia akili na kuacha mkumbo.
 

Attachments

  • 1629289989815.mp4
    1.8 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…