Rais Samia aunda Wizara Mpya na kufanya Mabadiliko ya kimuundo baadhi ya Wizara. Amteua Profesa Kitila Mkumbo kuwa Waziri

Rais Samia aunda Wizara Mpya na kufanya Mabadiliko ya kimuundo baadhi ya Wizara. Amteua Profesa Kitila Mkumbo kuwa Waziri

Mkumbo tokea zamani sana ilitakiwa apewe wizara, hasa hasa ya fedha.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Kitila Mkumbo kuwa Waziri. Aidha amefanya mabadiliko madogo ya miundo katika baadhi ya Wizara.

---
PROF. KITILA MKUMBO AWA WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI

Rais Samia Suluhu Hassan ameunda Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji na kumteua Prof. Kitila Alexander Mkumbo (Mbunge wa Jimbo la Ubungo) kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji

Ni baada ya kutungwa kwa Sheria ya Mipango ya Taifa ya Mwaka 2023 pamoja na uamuzi wa kuhamishia masuala a uwekezaji Ofisi ya Rais
-

DKT. MWIGULU NCHEMBA AWA WAZIRI WA FEDHA

Rais Samia Suluhu Hassan ameunda Wizara ya Fedha na kumteua Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri wa Fedha

Hapo awali alikuwa Waziri wa Fedha na Mipango
-

DKT. ASHATU KIJAJI AWA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA

Rais Samia Suluhu Hassan ameunda Wizara ya Viwanda na kumteua Dkt. Ashatu Kachwamba Kijaji kuwa Waziri wa Wizara hiyo

Hapo awali alikuwa Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara


View attachment 2679459

Naona anajiwekea wigo. Wengi wa walioteuliwa walikuwa kwenye hizo wizara, na hapakuwepo na ufanisi. Sasa anapotenga wizara moja na kuzifanya kuwa mbili, huu ni mzingo anawaongezea wananchi na matumizi mabaya ya kodi za wananchi.
 
Huyu Kitila si mama alisema anafikiria urais 2025!Sasa Yale mawazo yamefutika?
 
Mwanamke ni mwanamke tu. Tena Hawa wa namna ile shida tupu.
Ukiondoa wachache tunaowajua. Tatizo ni kuongozwa na Secretary
 
Habari jf , nimepitia taarifa hii ya leo tar 5/7/2023 kutoka Lilongwe nikaona kuna mambo makubwa mawili :-

1.Kuhamishiwa masuala ya uwekezaji kuwa chini ya ofisi ya Rais

2.Kuongezeka kwa ukubwa/viongozi wa serikali
IMG-20230705-WA0053.jpg


Nimepita social medianyingi habari ni kitila mkumbo nkajiuliza kuteuliwa kwake ni zaidi haya mambo mawili ?
 
Kwani hapo kabla Dr. Ashantu Kijaji alikuwa Waziri wa nini? Mteuzi sasa kachoka ili mradi tu habari itoke !
 
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Kitila Mkumbo kuwa Waziri. Aidha amefanya mabadiliko madogo ya miundo katika baadhi ya Wizara.

---
PROF. KITILA MKUMBO AWA WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI

Rais Samia Suluhu Hassan ameunda Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji na kumteua Prof. Kitila Alexander Mkumbo (Mbunge wa Jimbo la Ubungo) kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji

Ni baada ya kutungwa kwa Sheria ya Mipango ya Taifa ya Mwaka 2023 pamoja na uamuzi wa kuhamishia masuala a uwekezaji Ofisi ya Rais
-

DKT. MWIGULU NCHEMBA AWA WAZIRI WA FEDHA

Rais Samia Suluhu Hassan ameunda Wizara ya Fedha na kumteua Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri wa Fedha

Hapo awali alikuwa Waziri wa Fedha na Mipango
-

DKT. ASHATU KIJAJI AWA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA

Rais Samia Suluhu Hassan ameunda Wizara ya Viwanda na kumteua Dkt. Ashatu Kachwamba Kijaji kuwa Waziri wa Wizara hiyo

Hapo awali alikuwa Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara


View attachment 2679459
Aisee
 
Hapa ni kulenga ufanisi. Viwanda, Biashara na Uwekezaji. Ni nini hiki
 
Nchi zingine Rais haundi wizara bila Bunge kujadili na kupitisha...
Binafsi hakuna kitu kinanikera kama shule kuzipeleka wizara ya Tamisemi...
Yaani kuna wizara ya elimu ina dili na shule na bado tuna wizara ya Tamisemi ina dili na shule
Bado tuna safari ndefu
 
Salam wandugu,
Wiki kadhaa zilizopita kuna teuzi zilifanyika,ajabu ni baadhi ya watu hapa jukwaani na kwingineko kukaanza maandishi kua Mama anapendelea upande wa waislamu!!

Haya leo mtajitokeza?!!

Wengine tunafahamu nafasi nyingi nyeti zinashikiliwa na upande wa hao wanaolalamika na always imekuwepo hivyo.

Kuna mengi Watanzania kuyapambania,haswa ufisadi wa dola na wateuzi wake,wizi Ni wizi,hauna dini!!View attachment 2679520
Tumesha wazoea Dr Samia atabaki kuwa Rais wetu 2030
DP world inangwa vizuri , tujiongeze kuukataa huu mkataba
 

Attachments

  • 92FCAF70-78D8-4F1D-9784-EA4A1F4CCE8F.jpeg
    92FCAF70-78D8-4F1D-9784-EA4A1F4CCE8F.jpeg
    115 KB · Views: 1
Nchi zingine Rais haundi wizara bila Bunge kujadili na kupitisha...
Binafsi hakuna kitu kinanikera kama shule kuzipeleka wizara ya Tamisemi...
Yaani kuna wizara ya elimu ina dili na shule na bado tuna wizara ya Tamisemi ina dili na shule
Tamisemi wanadili na Shule Wizara ya Elimu inadili na Elimu!
 
Tunazidi kuongeza matumizi kwa kuumba na kunyumbua wizara mpya kila siku. Ili la bandari litakuja na mengi
 
Back
Top Bottom