Rais Samia aunda Wizara Mpya na kufanya Mabadiliko ya kimuundo baadhi ya Wizara. Amteua Profesa Kitila Mkumbo kuwa Waziri

Rais Samia aunda Wizara Mpya na kufanya Mabadiliko ya kimuundo baadhi ya Wizara. Amteua Profesa Kitila Mkumbo kuwa Waziri

IMG-20240604-WA0002.jpg
 
Naomba mwenye Majibu ya swali langu anisaidie, maana kwa akili yangu ndogo nimeshindwa kupata majibu, nina maanisha sababu hasa zilizomsukuma Rais kumteua huyu jamaa kwenye Uwaziri.

Angalizo: Sitaki atukanwe au adhalilishwe, nimeuliza hili kwa Maslahi Mapana ya Taifa

Naomba kuwasilisha.
ALIPWA ASANTE
 
Kwani vigezo vya kuwa waziri ni vipi?
Punguza chuki mkuu, hii ni personal sana...attack hoja zake
 
Naomba mwenye Majibu ya swali langu anisaidie, maana kwa akili yangu ndogo nimeshindwa kupata majibu, nina maanisha sababu hasa zilizomsukuma Rais kumteua huyu jamaa kwenye Uwaziri.

Angalizo: Sitaki atukanwe au adhalilishwe, nimeuliza hili kwa Maslahi Mapana ya Taifa

Naomba kuwasilisha.
Imekuwaje wewe uteuliwe kuwa Mwandishi wa CHADEMA?
 
Majukumu ya Waziri pamoja na kusimamia sera/ilani ni kumshauri Rais, hili mnaliona?
Ushauri wake sio final, unaweza kuchukuliwa au kuachwa, hatujui anashauri nini maana ni siri yake
 
Naomba mwenye Majibu ya swali langu anisaidie, maana kwa akili yangu ndogo nimeshindwa kupata majibu, nina maanisha sababu hasa zilizomsukuma Rais kumteua huyu jamaa kwenye Uwaziri.

Angalizo: Sitaki atukanwe au adhalilishwe, nimeuliza hili kwa Maslahi Mapana ya Taifa

Naomba kuwasilisha.
Sababu mamlaka ziliona anafaa,kwani ilikuwaje Mashinji akawa katibu mkuu chadema.
 
Naomba mwenye Majibu ya swali langu anisaidie, maana kwa akili yangu ndogo nimeshindwa kupata majibu, nina maanisha sababu hasa zilizomsukuma Rais kumteua huyu jamaa kwenye Uwaziri.

Angalizo: Sitaki atukanwe au adhalilishwe, nimeuliza hili kwa Maslahi Mapana ya Taifa

Naomba kuwasilisha.
Kwanza mpe heshima yake profesa, maana kusoma sio jambo la mchezo .Kisha tutaendelea na mengine
 
Naomba mwenye Majibu ya swali langu anisaidie, maana kwa akili yangu ndogo nimeshindwa kupata majibu, nina maanisha sababu hasa zilizomsukuma Rais kumteua huyu jamaa kwenye Uwaziri.

Angalizo: Sitaki atukanwe au adhalilishwe, nimeuliza hili kwa Maslahi Mapana ya Taifa

Naomba kuwasilisha.
Labda ungelitaja mapungufu then tokatoa feelings, reasoned ones tuweke nondo hapa.

All in all, ka title ka Uprofesa kanambeba na kujikomba kwingi. Profesa toka jalalani (as per Kabudi)
 
Back
Top Bottom