Rais Samia aunda Wizara Mpya na kufanya Mabadiliko ya kimuundo baadhi ya Wizara. Amteua Profesa Kitila Mkumbo kuwa Waziri

Rais Samia aunda Wizara Mpya na kufanya Mabadiliko ya kimuundo baadhi ya Wizara. Amteua Profesa Kitila Mkumbo kuwa Waziri

Hujajibu nilichouliza.

Kwa nini unashindwa kupata majibu?
Kiranga anayeuliza siku zote maana yake ni kwamba hajui na anauliza ili kutaka ajulishwe, kama kigezo ni ubunge mbona si wengine wameteuliwa ila Kitilla tu?
 
Kiranga anayeuliza siku zote maana yake ni kwamba hajui na anauliza ili kutaka ajulishwe, kama kigezo ni ubunge mbona si wengine wameteuliwa ila Kitilla tu?
Kwanza kabisa si maswali yote ni kwa sababu mtu hajui au anataka kujua, kuna rhetoric questions, kuna Socratic questions za kukufanya wewe unayeulizwa ujue.

Pili.

Kitila si mbunge?
 
Kwanza kabisa si maswali yote ni kwa sababu mtu hajui au anataka kujua, kuna rhetoric questions, kuna Socratic questions za kukufanya wewe unayeulizwa ujue.

Pili.

Kitila si mbunge?
Lakini je ni wabunge wangapi wamekuwa mawaziri, Why Kitilla?
 
Lakini je ni wabunge wangapi wamekuwa mawaziri, Why Kitilla?
Wabunge wanachaguliwa kuwa mawaziri kwa vigezo vya kikatiba na utashi wa rais.

Rais halazimiki kutoa sababu anapoteua au kutengua.

Hakuna ajabu kwa rais kuteua mbunge kuwa waziri.

Swali zuri zaidi ni kwako wewe.

Kwa nini unaona Kitila hafai kuwa waziri?

Kitila ni mbunge, ametimiza kigezo cha kikatiba cha kuwa waziri.

Sasa kwa nini unaona Kitila hafai kuwa waziri?

Hao wabunge wengine walioteuliwa kuwa mawaziri wana kipi cha zaidi ambacho Kitila hana?
 
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Kitila Mkumbo kuwa Waziri. Aidha amefanya mabadiliko madogo ya miundo katika baadhi ya Wizara.

---
PROF. KITILA MKUMBO AWA WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI

Rais Samia Suluhu Hassan ameunda Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji na kumteua Prof. Kitila Alexander Mkumbo (Mbunge wa Jimbo la Ubungo) kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji

Ni baada ya kutungwa kwa Sheria ya Mipango ya Taifa ya Mwaka 2023 pamoja na uamuzi wa kuhamishia masuala a uwekezaji Ofisi ya Rais
-

DKT. MWIGULU NCHEMBA AWA WAZIRI WA FEDHA

Rais Samia Suluhu Hassan ameunda Wizara ya Fedha na kumteua Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri wa Fedha

Hapo awali alikuwa Waziri wa Fedha na Mipango
-

DKT. ASHATU KIJAJI AWA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA

Rais Samia Suluhu Hassan ameunda Wizara ya Viwanda na kumteua Dkt. Ashatu Kachwamba Kijaji kuwa Waziri wa Wizara hiyo

Hapo awali alikuwa Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara


View attachment 2679459
Mkumbo ni tumbo linamsumbua. Ni profesa wa jalalani! De
Nilijua tu. Kwa kelele zile za Mkumbo kwenye azimio la Bandari, anatafuta ulaji.
Mkumbo ni tumbo linamsumbua TU.
Nilijua tu. Kwa kelele zile za Mkumbo kwenye azimio la Bandari, anatafuta ulaji.
Mkumbo ni tumbo linamsumbua TU. Professor wa jalalani!
 
Hii hadhi ya u-'profesa' Tanzania haina maana yoyote. Weka machapisho na kazi zake hapa zilizompa huo u-profesa tuyaone kabla ya kudai "heshima".
Kutojua sheria hakukufanyi usihukumiwe,ujinga wako unauhamishaje kwa wengine?,wewe ndio unapaswa kuweka kutafuta machapisho maana yapo ,acha kuwa mnyonge wa akili ,ni nani asiyependa kulipwa 10+m ?ulishawahi kumuona profesa masikini?acha wivu rudi darasani
 
Kutojua sheria hakukufanyi usihukumiwe,ujinga wako unauhamishaje kwa wengine?,wewe ndio unapaswa kuweka kutafuta machapisho maana yapo ,acha kuwa mnyonge wa akili ,ni nani asiyependa kulipwa 10+m ?ulishawahi kumuona profesa masikini?acha wivu rudi darasani
Yapo yamejificha wapi, mbona wewe mwenyewe huna pa kuanzia kuyatafuta?
Sikiliza, ni watu wa aina yako wanaopapatikia huo u-profesa, kwa sababu hamjui maana yake ni nini?
Kitila Mkumbo hana hadhi ya kuwa profesa, na hata wengi wengine hapa nchini.

CCM imeshusha hadhi ya kila kitu humu nchini. Kila kitu ni utapeli tu wa kisiasa. Ndiyo maana nchi inaporomoka kila sehemu.
 
Back
Top Bottom