Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashirika nyeti hayo hayafai watu wa kusoma kwa kuunga unga, mara bachelor degree evening classes nk. Na exposure hana zaidi ya siasa zetu uchwara sijui uvccm sijui nn...Mama awe makini naye
Hahahaha mkuu..!!Asante kwa taarifa,Namshauri Mh SSH atulie kwanza maana anavyofanya anaweza akajitengua hadi yeye.
Atakuja saini kitu then too late...hata Kigogo kasema huyu alikuwa DSO , kada wa CCM sasa haya mambo ta TPDC wapi nawapi? Samia analetwa mezani bila yeye kufanya personal scrutiny... kuna hatari mbele iakuja.. tena kubwa
😂😂😂Asante kwa taarifa,Namshauri Mh SSH atulie kwanza maana anavyofanya anaweza akajitengua hadi yeye.
KabisaAsante kwa taarifa,Namshauri Mh SSH atulie kwanza maana anavyofanya anaweza akajitengua hadi yeye.
Kuna tatizo linakuja huko mbele. mama hteui mwenyewe, analetewa bila yeye mwenyewe kufabya scrutiny!
Kweli mama yetu mitandao anaisoma, Na itamsaidia sana!
Hahahah mbavu zangu mimiMashirika nyeti hayo hayafai watu wa kusoma kwa kuunga unga, mara bachelor degree evening classes nk. Na exposure hana zaidi ya siasa zetu uchwara sijui uvccm sijui nn...
Ina maana sio yeye anayeteua hawa watu na kusaini pia? Mama anaanza kutuzingua.
Rais anafanya kazi na watu, anaweza kupokea na kudai taarifa muhimu kabla ya kufanya maamuzi ila hapa naona kabisa Kuna watu wanaenda kuwajibishwa na kutenguliwa kwa hilihuyu Rais siyo smart