Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti kavuna,shambani kwake!? Aisee mimi mtu anayechekelea mikopo namuona zuzu sana,I must be frank.Ni tabia za kitumwa na kupenda kutumikishwa.
Hatuoni hatusikii,tunatembeza bakuli tu,aibu sana.Ombaomba imerejea kwa kasi kubwa.
Fedha nje nje Zenj ,zinatiririka kama muto Nile. Mama almasi kweli.Sisi wazanzibar tunazisubiri kwa hamu sasa, hakika ni zamu yetu kuneemeka.
Hiyo kitu inamtesa snBaada ya kuahidi kumwachia mwamba Mbowe
Kweli tupuyoote anaikimbiza Zenji, deni na liba linabaki Tanganyika.....
Mwaka wenuSisi wazanzibar tunazisubiri kwa hamu sasa, hakika ni zamu yetu kuneemeka.
Kuweka rekodi sawa. 1961 ilikuwepo Tanganyika,Tanzania haikuwepoWenye wivu na akili fupi tayari wameshaanzisha ubaguzi. Sisi watanganyika na wao wazanzibari, wenye maono kama taa ya baiskeli wameshaanzisha chokochoko wakitaka kuvunja muungano.
Usiku wa kuamkia tarehe 9 Desemba 1961 nchi hii iliwekwa chini ya uangalizi wa Mungu pale Saint Joseph, huwa mfarakano wowote ule wenye nia ya kuvunja Tanzania unakufa kifo cha kawaida kabisa.
Ni hisia tu,Huyu mfaransa source ya civil wars nchi kibao atoe mabilion burebure lazima anania ovu ngoja tuone
Huyu Mama ni mtu mwenye akili sana,
Tanzania itafika mbali Sana
Mabeberu leo wafadhili!. Magufuli yeye alifanyaje kuweza bila kuombaomba??