sawaAmtumbue January mapema,anamharibia
Kazi nzuri sana Rais Samia Suluhu Hassan,
SureKuna watu walituchelewesha sana.
Hata kichwa cha habari janga lingine!Amepanda nini hadi akavuna hizo billion mia sita???
Aisee hii nchi upuuzi ni mwingi 🤣🤣🤣
Sisi wazanzibar tunazisubiri kwa hamu sasa, hakika ni zamu yetu kuneemeka.
Hata wewe pia una akili sana ila hujatambua tuHuyu Mama ni mtu mwenye akili sana,
Tanzania itafika mbali Sana
Sana kabisa aisee,Kuna watu walituchelewesha sana.
great Mamaa,We love you
...Amevuna?? Alilima Wapi?? Madeni Sasa ni Kuvuna??
Akija nazo ni ninyi sasa kukwapua na kusepa nazogreat Mamaa,We love you