Rais Samia avunja Bodi ya TRC, atengua uteuzi wa Wakala wa Ndege za Serikali. Aagiza wabadhirifu washughulikiwe

Rais Samia avunja Bodi ya TRC, atengua uteuzi wa Wakala wa Ndege za Serikali. Aagiza wabadhirifu washughulikiwe

Sio tuu kiuoga bali ni kukwepa kuwajibika au kuwajibisha watu sasa anamtupia mzigo katibu mkuu wakati report iko wazi ilibidi aagize watu wasimame kazi kwanza au mawaziri watoke….sasa sijui anaogopa nini?
Shida ni kutaka kuonekana mwema kwa kila mtu au kutaka kuonekana kuwa yuko parfect
Ukiona hivyo jua kuna % kadhaa alikula kwa wahusika, hivyo anasita sita kuchukua hatua, kwa hilo kaonesha udhaifu wa hali ya juu mno.
 
Wewe Ajuza bila kumtaja Hayati hujisikii, au masharti ya sheikh ni kwamba ukimtajataja ndio unaingia hedhi.
Mkuu nyboma , heshima ni kitu cha bure, huna sababu ya kumtukana kwa kutumia udhalilishaji wa hali ya wanawake wote!. Na kwa taarifa yako, kwa mujibu wa michango yake humu, FaizaFoxy ni mkubwa kidogo kwangu!, mimi naelekea miaka 60, hivyo na yeye kama bado, atakuwa anaelekea 60, hilo tukano halimhusu!.

Hata hvyo japo siujui umri wako lakini Faiza anaweza kabisa kuwa ni mama yako wa kukuzaa!. Kutukana mtu yoyote wa umri wa mama yako ni sawa na kumtukana mama yako yako!. Unajichumia a bad karma ya bure!. Please stop this nonsense!.
P
 
BUNGE liluchukua hatia Kwa reference ya RIPOTI ya nani???
Mkuu tunaposema utawala Bora ni kitu kipana sana heri utumie RIPOTI ya CAG na maazimio ya BUNGE kama ilivyokuwa kwenye Richmond au utumie njia ya JIWE kuachia kutumia RIPOTI ya CAG afu utumie kikosi Cha wasiojulikana makesi ya uhujumi uchumi na kuwekana kwenye viroba.

Jk ni genious kwenye siasa. Kumbuka siasa ni game of minds , unaliacha BUNGE lishugulike wewe unakuja kucement au utumie njia ya kichwa kichwa mkono wako unuke damu.
Umenisoma vizuri kaka
Hapo nimekusoma viZuri sana kiongozi. Asante sana
 
Ikimpendeza mama, anipe nafasi ya ya uenyekiti wa bodi niibadilishe TRC iweze kutengeneza faida...
 
Sure ila unakuta zikifuatwa kanuni na sheria hapo we wont get that more 😂😂. Lets lower our expectation.
Why should we lower our expectations,sioni sababu.Mkuu tukifanya hivyo tutaliharibu taifa.Remember yeye ni role model,so she must excel,ili wengine waige kwake.No,we demand excellence.So far no, no,no.
 
Kama nakuelewa vile. Report ya Udhibiti!
CAG ni Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa fedha za serikali.
Utaratibu wa matumizi ya fedha za serikali kutoka mfuko Mkuu hazina ni huu.
  1. Wizara, Idara na Wakala, zinatumia fedha za Mfuko Mkuu wa Hazina, hutuma maombi fedha za bajeti zao serikalini katika mafungu mawili, 1. Recurrent expenditure 2. Development budget
  2. Hupeleka bajeti hizo serikalini kwa the Councillor of the exchequer (MOF) ambapo Recurrent hupitishwa kama ilivyo.
  3. Kwenye recurrent upigaji ni mdogo, ukiondoa mishahara hewa, upigaji wa huku ni petty corruption ya kila mbuzi kula kwa urefu wa kamba yake,, just 10% kwa kuongeza kitu kidogo cha juu ambapo GIPSA imesaidia sana kupitia taneps.
  4. Development budget huangalia chungu kinaruhusu kupitisha bajeti ya kiasi gani na hapa ndipo madudu yote kufanyika na huku ndiko kwenye the grand Corruption.
  5. Siku zote Tanzania tunapanga bajeti ya kutumia fedha ambazo hatuna na matokeo yake ni kutemea makosanyo, mikopo na ufadhili.
  6. Siku zote baada ya hatuna ya Bajeti kusomwa wabunge wote hushangilia!, kila nikiangalia wanachoshangilia sikioni nikauliza huku sio kushangilia ujinga?!.
  7. CAG Prof. Assad akatoa ushauri wa maana sana lakini akapuuzia.
  8. Baada ya Exchequer kupitisha bajeti, bajeti hizo hupelekwa Bungeni kujadiliwa kupitishwa na kuidhinishwa.
  9. Hapa sasa ndipo the role ya Mdhibiti huanzia, fedha haziwezi kutolewa ndani ya mfuko Mkuu wa Hazina bila ya mdhibiti kuridhia.
  10. Mfano bajeti ya ununuzi wa ndege iliyoidhinishwa na Bunge ni kiasi kadhaa, fedha kabla hazijatoka lazima CAG aidhinishe na huo ndio Udhibiti.
  11. Fedha pekee kutoka mfuko Mkuu wa Hazina zinazotolewa bila idhini ya CAG ni fedha za dharura na maafa tuu.
  12. Na baada ya CAG kuidhinisha matumizi ndipo hupita kila taasisi kufanya auditing na kutoa Ripoti ya CAG.
  13. Kama CAG ndie muidhinishaji, iweje aidhinishe matumizi zaidi ya approved budget?!
  14. Sasa zaidi ya Ripoti ya CAG ya ukaguzi, lets demands
  15. Ripoti ya Udhibiti tuone CAG alidhibiti nini kikapuuzwa watu wakapiga pesa!.
  16. Ripoti ya value for money kwa sio tuu kwa kila projects, hata kwenye Recurrent expenditure. Kuna tenda za common user items zina bei za ajabu!.
  17. Sio kila ongezeko la bei ni upigaji. Ongezeko jingine la bei ni genuine
  18. Sio kila ripoti chafu ya ukaguzi lazima ni upigaji, sometimes ni ukiukwaji tuu wa taratibu.
  19. Na sio kweli kila audit queries za CAG hazijajibiwa, nyingine zimeisha jibiwa ila ni baada ya exit meeting hivyo ripoti hazionyeshi delivery na mfano mzuri ni ile tenda ya uniform za polisi, by the time ripoti ya CAG imetoka, ikasema polisi wamelipia bilioni 4 kununua mzigo hewa, kumbe mzigo uliisha ingia na yule bidada supplier akavuta mabilioni yake akayamwaga kwa wajumbe wa Kawe, akaongoza kura za maoni za Kawe, Blaza akamchinja na kutupatia yule tapeli kwasababu ni ...
  20. Hivyo natoa wito kwa CAG aongezwe bajeti, afanye Udhibiti kabla hatujapigwa na tupate ripoti ya Udhibiti na sio ya ukaguzi pekee!.

Jumatatu Njema ya Pasaka.

P
 
Mkuu nyboma , heshima ni kitu cha bure, huna sababu ya kumtukana kwa kutumia udhalilishaji wa hali ya wanawake wote!. Na kwa taarifa yako, kwa mujibu wa michango yake humu, FaizaFoxy ni mkubwa kidogo kwangu!, mimi naelekea miaka 60, hivyo na yeye kama bado, atakuwa anaelekea 60, hilo tukano halimhusu!.

Hata hvyo japo siujui umri wako lakini Faiza anaweza kabisa kuwa ni mama yako wa kukuzaa!. Kutukana mtu yoyote wa umri wa mama yako ni sawa na kumtukana mama yako yako!. Unajichumia a bad karma ya bure!. Please stop this nonsense!.
P

Nifahamuvyo mimi @FaizaFox amekuacha kidogo Umri ni dada yako wa mbali kidogo
Kaanza kazi 1989
 
Nifahamuvyo mimi @FaizaFox amekuacha kidogo Umri ni dada yako wa mbali kidogo
Kaanza kazi 1989
Then tunaweza kuwa tumepisha mwaka 1 tuu maana mimi nimeanza kazi 1990.
Kwangu imetokea tuu tuu huyu dada FaizaFoxy , sio tuu namheshimu kwa michango yake tuu humu, bali pia imetokea pia nampenda na niliisha mwambia, https://www.jamiiforums.com/threads/faizafoxy-wanaonitongoza-waje-hapa.1533667/post-34214287
japo alinitukana sana na ananitukana sana, ila sisi tuliojaaliwa jicho la ndani, tunauona moyo wake mpaka ndani yake, hivyo hata akitukana vipi ni just paying lip services na tunaendelea kupenda!.
P
 
Inashangaza sana, kwanini Rais anawaagiza makatibu wakuu na watendaji wakuu wahakikishe wanapitia ripoti na kuwawajibisha wale waliohusika na uzembe?

Yeye kama Rais anachukua hatua gani kwa hao wakuu waliosimamia huo uzembe wakiwemo mawaziri? Kama yupo serious angetakiwa kuwaita mawaziri awaulize, wakati huo wizi ukitokea kwenye wizara zao walikuwa wapi? asiporidhishwa na majibu fukuza.

Haiingii akilini, hawa ambao inawezekana wameshirikiana kwenye wizi, unaagiza wachunguzane, huku ni kudanganyana tu, ndio maana kuna wakati Rais nae anatiliwa shaka.

Alichokifanya Rais hapo ni sawa na kufunika kombe mwanaharamu apite, kuhangaika na dagaa huku mapapa wapo tu ofisini, mimi sioni jipya, kapanua magoli tu hao jamaa wapate visingizio.
Hana uwezo wa kusoma report ya CAG, hana upeo huo na brain hio, concentration hana, content ndio kila kitu. Rais inatakiwa awe na record nzuri academically
 
Mawazo yangu ni haya, hiyo hatua aliyochukua Rais kwangu ni sawa na amekimbia wajibu wake kwa kutatua tatizo kwa njia nyepesi huku akiwa na uwezo wa kufanya kubwa zaidi.

Nasema hivyo kwa sababu, haiwezekani anaagiza wadogo waitwe kuhojiwa, tena na wale wakubwa wao ambao inawezekana walishirikiana kwenye wizi.

Hilo kwangu naona ni igizo tu, yeye kwa nafasi yake anachukua hatua gani kuwawajibisha wale walio chini yake? kwanini amekimbilia kuhangaika na hao wadogo, hawa wakubwa juu yao amemuachia nani?

Mnasema ndio taratibu, kwanini hizo taratibu zisiende sambamba, wakati wadogo wakishughulikiwa na makatibu wakuu, yeye ashughulike na walio chini yake?

Tatizo lake anaonekana ni mtu wa kusubiri tu kuletewa taarifa, hataki kuisumbua akili yake, hii itasababisha apelekewe taarifa za uongo ili hao jamaa waliohusika walindane, huku nyie mkishangilia kwa hatua za kudanganyika alizochukua!

Nimekuelewa Mkuu!
 
CAG ni Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa fedha za serikali.
Utaratibu wa matumizi ya fedha za serikali kutoka mfuko Mkuu hazina ni huu.
  1. Wizara, Idara na Wakala, zinatumia fedha za Mfuko Mkuu wa Hazina, hutuma maombi fedha za bajeti zao serikalini katika mafungu mawili, 1. Recurrent expenditure 2. Development budget
  2. Hupeleka bajeti hizo serikalini kwa the Councillor of the exchequer (MOF) ambapo Recurrent hupitishwa kama ilivyo.
  3. Kwenye recurrent upigaji ni mdogo, ukiondoa mishahara hewa, upigaji wa huku ni petty corruption ya kila mbuzi kula kwa urefu wa kamba yake,, just 10% kwa kuongeza kitu kidogo cha juu ambapo GIPSA imesaidia sana kupitia taneps.
  4. Development budget huangalia chungu kinaruhusu kupitisha bajeti ya kiasi gani na hapa ndipo madudu yote kufanyika na huku ndiko kwenye the grand Corruption.
  5. Siku zote Tanzania tunapanga bajeti ya kutumia fedha ambazo hatuna na matokeo yake ni kutemea makosanyo, mikopo na ufadhili.
  6. Siku zote baada ya hatuna ya Bajeti kusomwa wabunge wote hushangilia!, kila nikiangalia wanachoshangilia sikioni nikauliza huku sio kushangilia ujinga?!.
  7. CAG Prof. Assad akatoa ushauri wa maana sana lakini akapuuzia.
  8. Baada ya Exchequer kupitisha bajeti, bajeti hizo hupelekwa Bungeni kujadiliwa kupitishwa na kuidhinishwa.
  9. Hapa sasa ndipo the role ya Mdhibiti huanzia, fedha haziwezi kutolewa ndani ya mfuko Mkuu wa Hazina bila ya mdhibiti kuridhia.
  10. Mfano bajeti ya ununuzi wa ndege iliyoidhinishwa na Bunge ni kiasi kadhaa, fedha kabla hazijatoka lazima CAG aidhinishe na huo ndio Udhibiti.
  11. Fedha pekee kutoka mfuko Mkuu wa Hazina zinazotolewa bila idhini ya CAG ni fedha za dharura na maafa tuu.
  12. Na baada ya CAG kuidhinisha matumizi ndipo hupita kila taasisi kufanya auditing na kutoa Ripoti ya CAG.
  13. Kama CAG ndie muidhinishaji, iweje aidhinishe matumizi zaidi ya approved budget?!
  14. Sasa zaidi ya Ripoti ya CAG ya ukaguzi, lets demands
  15. Ripoti ya Udhibiti tuone CAG alidhibiti nini kikapuuzwa watu wakapiga pesa!.
  16. Ripoti ya value for money kwa sio tuu kwa kila projects, hata kwenye Recurrent expenditure. Kuna tenda za common user items zina bei za ajabu!.
  17. Sio kila ongezeko la bei ni upigaji. Ongezeko jingine la bei ni genuine
  18. Sio kila ripoti chafu ya ukaguzi lazima ni upigaji, sometimes ni ukiukwaji tuu wa taratibu.
  19. Na sio kweli kila audit queries za CAG hazijajibiwa, nyingine zimeisha jibiwa ila ni baada ya exit meeting hivyo ripoti hazionyeshi delivery na mfano mzuri ni ile tenda ya uniform za polisi, by the time ripoti ya CAG imetoka, ikasema polisi wamelipia bilioni 4 kununua mzigo hewa, kumbe mzigo uliisha ingia na yule bidada supplier akavuta mabilioni yake akayamwaga kwa wajumbe wa Kawe, akaongoza kura za maoni za Kawe, Blaza akamchinja na kutupatia yule tapeli kwasababu ni ...
  20. Hivyo natoa wito kwa CAG aongezwe bajeti, afanye Udhibiti kabla hatujapigwa na tupate ripoti ya Udhibiti na sio ya ukaguzi pekee!.

Jumatatu Njema ya Pasaka.

P
Hivi katika Moja ya hadidu rejea za Kazi za usalama waTaifa ni kuzuia ubadhirifu. Sasa cha kushangaza Kwann haya yanatokea na wao wapo au muundo wa idara hauruhusu kuingilia Ata wakiona tunapigwa
 
Inashangaza sana, kwanini Rais anawaagiza makatibu wakuu na watendaji wakuu wahakikishe wanapitia ripoti na kuwawajibisha wale waliohusika na uzembe?

Yeye kama Rais anachukua hatua gani kwa hao wakuu waliosimamia huo uzembe wakiwemo mawaziri? Kama yupo serious angetakiwa kuwaita mawaziri awaulize, wakati huo wizi ukitokea kwenye wizara zao walikuwa wapi? asiporidhishwa na majibu fukuza.

Haiingii akilini, hawa ambao inawezekana wameshirikiana kwenye wizi, unaagiza wachunguzane, huku ni kudanganyana tu, ndio maana kuna wakati Rais nae anatiliwa shaka.

Alichokifanya Rais hapo ni sawa na kufunika kombe mwanaharamu apite, kuhangaika na dagaa huku mapapa wapo tu ofisini, mimi sioni jipya, kapanua magoli tu hao jamaa wapate visingizio.
Maajabu kweli kweli.
 
Hivi katika Moja ya hadidu rejea za Kazi za usalama waTaifa ni kuzuia ubadhirifu. Sasa cha kushangaza Kwann haya yanatokea na wao wapo au muundo wa idara hauruhusu kuingilia Ata wakiona tunapigwa
Hao TISS nao ni binadamu, kwenye kila bodi za taasisi zote za umma kuna ma TISS, kwenye kila management za taasisi za umma kuna ma TISS, ila ma TISS nao ni human beings!, unakumbuka issue ya fedha za Kagoda, Zakia Meghji alipigiwa simu na nani na kuelezwa fedha ni za TISS Mission aidhinishe, na baada ya simu ile akaidhinisha!, kumbe fedha hazikuwa za TISS, zilipigwa!. https://www.jamiiforums.com/threads/kagoda-haina-kesi-hawafikishwi-mahakamani-ngo.42737/
P
 
Hao TISS nao ni binadamu, kwenye kila bodi za taasisi zote za umma kuna ma TISS, kwenye kila management za taasisi za umma kuna ma TISS, ila ma TISS nao ni human beings!, unakumbuka issue ya fedha za Kagoda, Zakia Meghji alipigiwa simu na nani na kuelezwa fedha ni za TISS Mission aidhinishe, na baada ya simu ile akaidhinisha!, kumbe fedha hazikuwa za TISS, zilipigwa!. https://www.jamiiforums.com/threads/kagoda-haina-kesi-hawafikishwi-mahakamani-ngo.42737/
P
Kama ni hivyo basi tuna TISS ambao hawafai kabisa kuwepo. Hivi kwa mfano pale TRC hadi tunapigwa na wale wapo kwann nao wasiwajibishwe kwa kutofanya kazi yao kwa weledi. Hii nchi nazan Kuna sehemu kwenye maadili tumekosea
 
Back
Top Bottom