Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Nisipompongeza Rais kwa hatua hii aliyoichukua nitakuwa mnafiki.Wale ndugu almaarufu "stupid people" mambo iko huku:
View attachment 2582521
Kwa aliyetajwa na CAG sasa ni suala la muda tu.
Aungurumapo simba mcheza nani?
Naamini kama ana uchungu na dhamana tuliyompa kwa kiapo atahakikisha serikali inarecover kwenye loss zilizotokea.
Najua amewaambia Makatibu wakuu kuchukua hatua lakini ni mtego kwao kwani sehemu kubwa ya upigaji ni connection
Kuna watu wanapokea unsolistcated money somewhere safe