Nisipompongeza Rais kwa hatua hii aliyoichukua nitakuwa mnafiki.Wale ndugu almaarufu "stupid people" mambo iko huku:
View attachment 2582521
Kwa aliyetajwa na CAG sasa ni suala la muda tu.
Aungurumapo simba mcheza nani?
Mkuu sikubalian na wewe kwenye hili.Inashangaza sana, kwanini Rais anawaagiza makatibu wakuu na watendaji wakuu wahakikishe wanapitia ripoti na kuwawajibisha wale waliohusika na uzembe?
Yeye kama Rais anachukua hatua gani kwa hao wakuu waliosimamia huo uzembe wakiwemo mawaziri?
Alichokifanya Rais hapo ni sawa na kufunika kombe mwanaharamu apite, sioni jipya.
Ni mpumbavu pekee anaefikiri kuna hatua zitachukuliwa zaidi ya hiyo ya kutenguliwa pekeeUkisoma vizuri Ile barua wamekabidhiwa kwa vyombo husika
Tumpe muda basi jamani....Na yeye si anaipitia kwa level yake? Kisha kama ambavyo hao watachukua hatua kwa wachini wao na yeye atachukua hatua kwa wale walio chini yake....Mimi naona Mh. Rais anachukua hatua kwakufuata sheria, kanuni na taratibu na ndiyo good governance hii....Inashangaza sana, kwanini Rais anawaagiza makatibu wakuu na watendaji wakuu wahakikishe wanapitia ripoti na kuwawajibisha wale waliohusika na uzembe?
Yeye kama Rais anachukua hatua gani kwa hao wakuu waliosimamia huo uzembe wakiwemo mawaziri?
Alichokifanya Rais hapo ni sawa na kufunika kombe mwanaharamu apite, sioni jipya.
Umewaza sawa na mimi...Mkuu sikubalian na wewe kwenye hili.
Jambo hili bado lipo mikononi mwa Rais kwa kias kikubwa...soma vizur hapo.. amemwelekeza "Katibu Mkuu Kiongozi"...huu ndo utawala wa kisheria unavyotaka mkuu.
Mpaka Hapo hamna shaka Mkuu labda useme katibu Mkuu Kiongozi hajiwezi au labda kama na yeye ni mtuhumiwa.
Hatua za kisheria ni kuhamishwa mkoaWale ndugu almaarufu "stupid people" mambo iko huku:
View attachment 2582521
Kwa aliyetajwa na CAG sasa ni suala la muda tu.
Aungurumapo simba mcheza nani?
Unashida binafsiNi mpumbavu pekee anaefikiri kuna hatua zitachukuliwa zaidi ya hiyo ya kutenguliwa pekee
Wale ndugu almaarufu "stupid people" mambo iko huku:
View attachment 2582521
Kwa aliyetajwa na CAG sasa ni suala la muda tu.
Aungurumapo simba mcheza nani?
Punguza ujuaji unaboa?Katibu mkuu/mtendaji mkuu wa taasisi,idara na wakala wa serikali ndio maafisa masuuli na ndio wajibu hoja wakuu wa taarifa ya CAG
Anaenda vizuri na bila ku panic ama kuleta panic kwa nchiUzuri wa Mama hana haraka, anajiridhisha kwanza ili maamuzi yakichukuliwa kusiwe tena na lawama za mtu kuonewa.
Akiguswa Maderu nitachinja kukuWale ndugu almaarufu "stupid people" mambo iko huku:
View attachment 2582521
Kwa aliyetajwa na CAG sasa ni suala la muda tu.
Aungurumapo simba mcheza nani?
Rais Samia ametengua uteuzi wa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ndege za Serikali (IGFA), Mhandisi John Nzulule.
Mkuu ulitaka afanye nini ? Huyu huwa hakurupuki kama mekoInashangaza sana, kwanini Rais anawaagiza makatibu wakuu na watendaji wakuu wahakikishe wanapitia ripoti na kuwawajibisha wale waliohusika na uzembe?
Yeye kama Rais anachukua hatua gani kwa hao wakuu waliosimamia huo uzembe wakiwemo mawaziri?
Alichokifanya Rais hapo ni sawa na kufunika kombe mwanaharamu apite, sioni jipya.
Hatua za kisheria ni kuhamishwa mkoa
Bado haitakuwa suluhisho.Nadhani ifike wakati serikali iondoe ajira za kudumu
Huyo kwenye sukuma gang alikuwepo sababu ya kibarua tuYaani hili tangazo limenifurahisha mno, na Rais Dkt Samia atakuwa mkali zaidi
Madelu na katelefoni wanaokoka vipi hapa kama ni fair deal?Akiguswa Maderu nitachinja kuku
Sipati picha kwa sukuma gang wanajisikiaje muda huu maana miradi yote walikwepo wao tuNi Moto Umewashwa na Rais Samia bila huruma kwa wezi wote