Rais Samia avunja Bodi ya TRC, atengua uteuzi wa Wakala wa Ndege za Serikali. Aagiza wabadhirifu washughulikiwe

CEO wa TGFA aliteuliwa na Rais February 2022 ametenguliwa cheo chake April 2023.amedumu kwenye wadhifa huo kwa kipindi cha miezi 14.
-Kutengua uteuzi,ina maana anarudi kwenye nafasi yake ya mwanzo(mtumishi wa kawaida).
-Hii ni ishara CEO anawajibika kwa makosa ya wasaidizi wake, ambao Mamlaka zao za uteuzi ni bodi au manejimenti ya taasisi au Waziri mwenye dhamana na taasisi hiyo.
-Rais ameonyesha mfano, wasaidizi wake msaidieni kwa kutimiza Majukumu yenu
-uchunguzi ufanyake na wote watakaobainika kutaka kuhujumu, Sheria ichukue mkondo wake.
 
Bora huyu kuliko Kikwete.
JK sidhani kama alichukua hatua yoyote
 
Yaani katibu mkuu wa wizara ambaye ndiye mshitakiwa namba moja apitie report ya CAG na kuwakamata wezi ndani ya wizara yake?
 
We huna akili
 
Bora huyu kuliko Kikwete.
JK sidhani kama alichukua hatua yoyote
Kumbukumbu zako ziko vizuri kweli????
Unamjua inshu za Richmond iptl ziliibuliwa na RIPOTI ya nani na kipindi gani????
Kipindi Cha jk ofisi ya CAG ndo angalau ilianza pewa bajeti kubwa na kupewa angalau meno japo hayang'ati vizuri Hadi Sasa hivi
 
huyu mkurugenzi wa wakala wa ndege za umma ndio alihusika kipandisha bei ndege ya mizigo invoice ikaja mlima wa pesa
 
Kumbukumbu zako ziko vizuri kweli????
Unamjua inshu za Richmond iptl ziliibuliwa na RIPOTI ya nani na kipindi gani????
Kipindi Cha jk ofisi ya CAG ndo angalau ilianza pewa bajeti kubwa na kupewa angalau meno japo hayang'ati vizuri Hadi Sasa hivi
Kiukweli sikumbuki vizuri.

Nakaumbuka bunge ndio lilichukua hatua , jamaa alikua soft sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…