Rais Samia avunja Bodi ya TRC, atengua uteuzi wa Wakala wa Ndege za Serikali. Aagiza wabadhirifu washughulikiwe

Rais Samia avunja Bodi ya TRC, atengua uteuzi wa Wakala wa Ndege za Serikali. Aagiza wabadhirifu washughulikiwe

Kumbukumbu zako ziko vizuri kweli????
Unamjua inshu za Richmond iptl ziliibuliwa na RIPOTI ya nani na kipindi gani????
Kipindi Cha jk ofisi ya CAG ndo angalau ilianza pewa bajeti kubwa na kupewa angalau meno japo hayang'ati vizuri Hadi Sasa hivi
Amemsahau Mwakyembe alipo pata umaarufu akiwa mwenyekiti wa tume iliyo undwa na Jk
 
Huyo kwenye sukuma gang alikuwepo sababu ya kibarua tu
Mmawia wewr ni mpumbavu na hujaelimika. Kwa maana hiyo unataka tuamini kuwa kibarua cha Rais Dkt Samia enzi akiwa chini ya Dkt Magufuli ilikuwa kuratibu maujai ya bosi wake afe ili yeye awe rais???? Hii kauli yako Mmawia ni mbaya sana na inaharibu taswira ya uzalendo wa Rais Dkt Samia. Sisi kama chawa wa Rais Dkt Samia tunasema Dkt Samia na Dkt Magufuli ni kitu kimoja, wembe ule ule, yeye alitoa uhuru wa watendaji na wamejisahau sasa ngoja panga lipite.
 
Baada ya kifo Cha shujaa wetu magufuli kilikuwa na kinyongo Sana na utawala wa mama lakini tangazo hili ghafla limeanza kuikunjua Sasa roho yangu.
 
Mmawia wewr ni mpumbavu na hujaelimika. Kwa maana hiyo unataka tuamini kuwa kibarua cha Rais Dkt Samia enzi akiwa chini ya Dkt Magufuli ilikuwa kuratibu maujai ya bosi wake afe ili yeye awe rais???? Hii kauli yako Mmawia ni mbaya sana na inaharibu taswira ya uzalendo wa Rais Dkt Samia. Sisi kama chawa wa Rais Dkt Samia tunasema Dkt Samia na Dkt Magufuli ni kitu kimoja, wembe ule ule, yeye alitoa uhuru wa watendaji na wamejisahau sasa ngoja panga lipite.
Tatizo wewe una mihemko wala hutaki kuushirikisha ubongo wako vema ili ufanyekazi.

Nimesema hivi hakuwa na maamuzi ( nilimaanisha hivyo maana alikuwa ni makamo tu,unadhani kwa jiwe subordinate wake angeweza kumshawishi nini jiwe kubadili mawazo?
 
Kiukweli sikumbuki vizuri.

Nakaumbuka bunge ndio lilichukua hatua , jamaa alikua soft sana
BUNGE liluchukua hatia Kwa reference ya RIPOTI ya nani???
Mkuu tunaposema utawala Bora ni kitu kipana sana heri utumie RIPOTI ya CAG na maazimio ya BUNGE kama ilivyokuwa kwenye Richmond au utumie njia ya JIWE kuachia kutumia RIPOTI ya CAG afu utumie kikosi Cha wasiojulikana makesi ya uhujumi uchumi na kuwekana kwenye viroba.

Jk ni genious kwenye siasa. Kumbuka siasa ni game of minds , unaliacha BUNGE lishugulike wewe unakuja kucement au utumie njia ya kichwa kichwa mkono wako unuke damu.
Umenisoma vizuri kaka
 
Mbuzi wa Kafala wamechacha . Ametafutwa sungura wa kafala Haaa.

Akina Mashimba Ndaki mbuzi wa kafala, Kabudi mbuzi wa Kafala, Lukuvi mbuzi wa kafala. Haaa.
January Makamba Mbuzi wa kufugwa hawezi chinjwa, Makame Mbarawa mbuzi wa kufugwa haitaiweje hawezi kuchinjwa, Napee je Vp kuhusu Ummy Mwalimu,

je kuna inawezekana MKRISTO akawa mbuzi wa kufugwa? haaa, et nani......... mataje
Daaah hao walionewa tu
 
Rais kwa mamlaka yake kisheria, ana uwezo wa kuteua na kutengua walio chini yake, na kama imethibitika walisababisha uzembe uliozaa wizi mpaka aagize wadogo kuchunguzwa, hao wakubwa walio chini yake anawaacha wa kazi gani?
Sasa ndio maana katibu mkuu kiongozi ameambiwa afanyie kazi. Kumbuka suala la NDEGE halipo kwenye ripoti ya CAG
 
Back
Top Bottom