Rais Samia avunja Bodi ya TRC, atengua uteuzi wa Wakala wa Ndege za Serikali. Aagiza wabadhirifu washughulikiwe

Rais Samia avunja Bodi ya TRC, atengua uteuzi wa Wakala wa Ndege za Serikali. Aagiza wabadhirifu washughulikiwe

Tatizo wewe una mihemko wala hutaki kuushirikisha ubongo wako vema ili ufanyekazi.

Nimesema hivi hakuwa na maamuzi ( nilimaanisha hivyo maana alikuwa ni makamo tu,unadhani kwa jiwe subordinate wake angeweza kumshawishi nini jiwe kubadili mawazo?
Wewe ni mpuuzi kabisa. Ninyi ndiyo mnatengeneza kauli za kuja kummaliza Rais Dkt Samia 2025, mnaanza na hizi kauli ili we rahisi kwenu kupindua meza. Yeye pamoja na kuwa makamu wa rais lakini alikuwa ndiye mwandani wa Dkt Magufuli na hakuna mtu aliyekuwa anampenda kama Dkt Samia. Alipenda sana ushirikina mawazo yake. Vyote alivyofanya Dkt Magufuli ilikuwa ni matokeo ya ushauri wa vyombo vyote including Dkt Samia. Na ndiyo maana kwa kauli yake Dkt Samia alishasema yeye na Dkt Magufuli ni kitu kimoja. Sasa hebu mpigie simu umuambie abadili kauli aseme yeye na Dkt Magufuli siyo kitu kimoja hapo sisi chawa wa mama tutakuelewa, zaidi ya hapo wewe ni pimbi mleta fujo hupaswi kusikilizwa mpuuzi kabisa
 
Rais Samia anaendelea kudhihirisha kwamba hakuna atakayebaki salama atakayechezea mali za umma. Tumezoea ripoti za CAG kila mwaka zinatoka lakini hakuna hatua za waziwazi zinachukuliwa, kwa mara ya kwanza Rais Samia anachukua hatua za waziwazi.

Rais Samia amemuelekeza Katibu Mkuu Kiongozi kuhakikisha kuwaeleza Makatibu Wakuu wote wasome ripoti ya CAG na kujibu hoja zote na kuzifanyia kazi huku akiagiza Watendaji wote wabadhirifu na wazembe wachukuliwe hatua za haraka za kisheria mara moja.

SOURCE: TAARIFA KWA UMMA KUTOKA IKULU MUDA HUU.
Hizo ni hatua za ki Uoga Uoga anapapasa tu,atengue mawaziri wanaosimamia hizo taasisi kama alivyowatoa wengine
 
Kazi imeanza......

, naamini safari hii hakuna atakaye salimika kama tu amehusika either moja kwa moja or indirect, au kazembea kutimiza wajibu wake au makosa yamefanywa na walio chini yake.
kwamb katibu akadili na waziri? kafunika mamb tusifuatilie zaid

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Inashangaza sana, kwanini Rais anawaagiza makatibu wakuu na watendaji wakuu wahakikishe wanapitia ripoti na kuwawajibisha wale waliohusika na uzembe?

Yeye kama Rais anachukua hatua gani kwa hao wakuu waliosimamia huo uzembe wakiwemo mawaziri?

Alichokifanya Rais hapo ni sawa na kufunika kombe mwanaharamu apite, sioni jipya.
Sio kweli, alichokifanya ni hatua kubwa sana maana yake wajikaange na mafuta yao wenyewe kwanza. Tupunguze kulalamika bila hata ya kufikiria kwa kina kuhusu kile kinachofanyika.
 
Baada ya kuitwa stupid hao wataambiwa tu wakaokote makaratasi bara barani kama kina Mramba.

Kesi kwisha na hela wamekula.
 
Tangu ripoti ya CAG ilivyo toka na Rais

kuonyeaha kukerwa ilitakiwa tuone baadhi ya

Viongozi wakijiuzulu lakini wapi wamejilausha

kama vile sio wao!!!!

Wanasubiri hadi wafukizwe
 
Nikasilke nini wakati mimi huu ndiyo muda wangu wa kuongezea kitambi changu?

Fuatilia thread zangu then utanelewa niko wapi!
" nikasilke " nikasirike!

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]! Hata uwe kaburini mkuu, kwangu hainihusu wala sihitaji kujua na wala haihusiani na lolote lililokufikisha hapa, wala si lazima ujielezee kwangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787], is non of my business! Kwa upande wangu mimi, nipo hapa hapa duniani sio huko unapotaka nijue ulipo

Pole sana!
JamiiForums2073952431.jpg


Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
 
Kwani hizi anazochukua sio hatua? Kumbuka Rais Huwa hana mihemko na hataki kumuonea mtu.

Ukweli ukibainika wote wataondoka.
kwamb mtendaj amshughulikie diwan ? huyo katibu sio wa kudili na mambo wazir anahusika , 42B sio pesa ya kupigwa na wanyonge , mama kaamua kuyapeleka mambo sehem hatuez fuatilia

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Sioni kitu hapo, maigizo tu, hao mawaziri na makatibu wakuu waliosimamia huo uzembe wanafanya nini ofisini?
 
Tangu ripoti ya CAG ilivyo toka na Rais

kuonyeaha kukerwa ilitakiwa tuone baadhi ya

Viongozi wakijiuzulu lakini wapi wamejilausha

kama vile sio wao!!!!

Wanasubiri hadi wafukuzwe
 
Toka Maktaba :

17 February 2023

BODI MPYA YA WAKURUGENZI TRC, WATANZANIA WAWE WAVUMILIVU NA MRADI WA SGR


PROF. KONDORO ATAMBULISHA WAJUMBE WAPYA BODI YA WAKURUGENZI TRC

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Shirika la Reli Tanzania Prof. John Wajanga Kondoro akiwa na wajumbe wapya wa Bodi ya Wakurugenzi TRC waliotambulishwa Bw. Benjamini Adam Mbimbi, Bw. Kondo Abdalah Kibugula, Bw. Joseph Elias Salema, Bw. Juma Samhando Kijavara na Bw. Peter Mayunga Noni wakipata maelezo


Habari kwa urefu :

17 February 2023
Dar es Salaam, Tanzania

WAJUMBE WAPYA WA BODI YA TRC WATEMBELEA SGR DAR-MORO, MWENYEKITI ANENA, MAENDELEO NA UJIO WA VIFAA. PIA WATANZANIA WAWE NA SUBIRA NA IMANI JUU YA MRADI



Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Shirika la Reli Tanzania – TRC Prof. John Wajanga Kondoro ametambulisha wajumbe wapya wa bodi ya wakurugenzi TRC na kuwaaga wajumbe waliomaliza muda wao katika hafla fupi iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano ofisi ya makao makuu TRC jijini Dar es Salaam, Februari 2023.

Wajumbe wapya wa Bodi ya Wakurugenzi TRC waliotambulishwa ni Bw. Benjamini Adam Mbimbi, Bw. Kondo Abdalah Kibugula, Bw. Joseph Elias Salema, Bw. Juma Samhando Kijavara na Bw. Peter Mayunga Noni.

Wajumbe waliomaliza muda wao ni Bw. Wolfgang Ephraim Salia, Bi. Consolata Chrisostom Ngimbwa, Bw. Karim Godfrey Mattaka, Bw. Rogatus Hussein Mativila na Bw. Mahamud Mashaka Mabuyu.

Mwenyekiti wa Bodi Prof. Kondoro kwa niaba ya uongozi wa TRC amewashukuru wajumbe waliomaliza muda wao kwa mchango waliotoa kipindi chote walichokuwa katika nafasi za ujumbe na kuliwezesha Shirika kupiga hatua na kuongeza ufanisi katika utendaji wa Shirika.

“Lengo la kukutana hapa ni kutambuana na kutambua mchango wa wajumbe ambao wamelitumikia Shirika la Reli, waliingia katika kipindi ambacho tulikuwa kwenye sekeseke kuhusu maendeleo ya mradi wa SGR na mpaka tulipofika hapa, kwahiyo ni vyema kutambua mchango wao lakini pia kuwashukuru na kuwakaribisha wajumbe wapya” alisema Prof. Kondoro

Wajumbe wanaoendelea na nafasi zao ni pamoja na Bw. Jabir Bakari na Bi Lilian Ngilangwa. Baadhi ya wajumbe waliomaliza muda wao walipata fursa ya kutoa neno kwa menejimenti ya Shirika na kupongeza jitihada kubwa zilizofanywa kuhakikisha watumishi wanafanya kazi kwa weledi na kuleta tija katika utendaji wa Shirika.

“Nataka niwapongeze sana menejimenti hususani Mkurugenzi Mkuu, tunashukuru kwamba mradi unaendelea na vipande vyote vina wakandarasi, awali niliona menejimenti ni ndogo lakini nikupongeze Mwenyekiti kwa kuboresha muundo wa Shirika” alisema Bi. Consolata

Aidha, wajumbe wapya wamepata fursa ya kutembelea mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kuanzia Dar es Salaam hadi Dodoma kwa lengo la kufahamu namna mradi wa SGR unavyotekelezwa na Shirika la Reli Tanzania.

“Lengo la ziara ni kwamba tumepata wajumbe wapya wa bodi, hivyo ni vizuri kuwapitisha wakajua mifumo na miundombinu watakayokuwa wanaisimamia ikiwemo hii SGR, hii ni sehemu ndogo tu lakini wakati mwingine watapata kutembelea maeneo mengine” alisema Prof. Kondoro.
Sources : TRC RELI TV / Mwanzo | TRC
Hii bodi haina muda sana
 
Sometimes uwe unatuliza kijambio
hasira za nini ? mbona hiyo kitu iko waz ? 41B hii kesi ilibid rais mwenyew aifuatilie sio kuwapa watu mzigo mzito hapo hadi mawazir wamo , unategemea huyo katibu atawaweza hao ? kesi ya fisi haimalizw na fisi , huyo katibu atapewa kitu kdg yataishia chini chini , nyiny wakijan ndo mnafanya nchi haipigi hatua maana ushabiki wa kijinga mmeweka mbele

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Katibu mkuu/mtendaji mkuu wa taasisi,idara na wakala wa serikali ndio maafisa masuuli na ndio wajibu hoja wakuu wa taarifa ya CAG
Sasa kwanini Rais akaagiza hao makatibu wakuu wawachunguze wa chini yao na ikibidi hatua dhidi yao zichukuliwe?

Inawezekana vipi hao wasaidizi kufanya jambo bila kushirikishwa makatibu wakuu? na kama makatibu wakuu walishirikishwa, kwanini wawachunguze hao wasaidizi ikiwa nao ni sehemu ya tatizo?
 
Dunia inavisa sana , huyu Rais, kama yeye ni muoga ,siatupishe .

Kwann Urais uwe mtamu Kwa fahari na ulaji ,lkn yeye mwenyewe mzembe na muoga ?.


Kwa kauli hiii inamaana Hawa Mawaziri waloguswa na CAG, wataendelea kudunda tu vizuri
Hii ndio inaitwa unaruka mkojo unakanyaga mavi
Usikute Tanzania ndio channel ya vichekesho Mbinguni
 
Back
Top Bottom