Rais Samia awabadili Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa Diwani Athuman na Katibu Mkuu Kiongozi Hussein Kattanga

Basically sio Demotion ni heavy promotion hiyo
Balozi awe juu ya katibu mkuu kiongozi? Unamaanisha hadi hoyce temu, polepole, togolani n.k wapo juu ya katibu mkuu kiongozi? Balozi boss wake ni katibu mkuu wizara ya mambo ya nje.

Kwa hiyo katibu mkuu wa wizara yupo juu ya katibu mkuu kiongozi? Huendaa hujui katibu mkuu kiongozi ni nani
 
Una uhakika mkuu tiss sio jeshi rasmi
Unajua vyeo vyao kama ni jeshi 🤣🤣🤣🤣 halafu bosi wao anaitwa mkurugenzi,

Kwaio unataka kufananisha TISS na FBI? maana hata CIA ni informants tu japo wana mafunzo ya kila namna, kuna taarifa zitafanyiwa kazi na wanasiasa zingine Jeshi kutegemeana na aina ya taarifa na mlaji wa hio taarifa ni nani
 
Mkurugenzi Usalama wa Taifa mpaka Katibu Mkuu ni kupanda au kushuka
 
Ili kuendana na mabadiliko ya kisiasa na kiuchumi 2023,Mh.Rais aendelee kufanya mabadiliko mengine mengi atakayoona inafaa.
Bado tuna safari ndefu 2035 ingawa kwa long plan ni muda mchache sana.
 
Haya mabadiliko yatateremsha bei ya maharage kilo sh. 4500 hali mbaya huku mitaani.
Possibly itawezekana maana mvua zimenyesha sana na wakati huo jamaa zetu Wanasiasa wanaingia mtaani kupoza njaa za chawa wao.
 
Promotion ya kutoka kuwa Karibu Mkuu kiongozi hadi kuwa balozi Marekani na wa kudumu UN?
KM ndio boss wa mabalozi wote
Sio mbaya kujitekenya na kucheka...hiyo ni demotion. Badala ya kuchagua watu, wewe unachaguliwa na kukaguliwa
 

Mkuu Mimi nimekuuliza tiss sio jeshi rasmi Hilo ndo suala langu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…